Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Eti Wadau,
Ghafla paaap, bahasha hiyo hapo, huko ndani kuna karatasi yenye details zote za kifo chako
Mfano: Tarehe, Mwaka na Mahali
Utafungua????🤣🤣🤣🤣🤣
My take: Mie nitafungua jamani, I'm such a curious being. Nitafungua ili nijue lini naacha kazi nianze kula mafao yangu😭
Zile report forms za Shule tunaambiwa Usifungua hadi umpe Mzazi mie nafungua zangu nijue kuna kipigo au laaa sembuse tarehe ya kufa????
Nafunguaaaaa🤣👋
Haya karibuni mtoe maoni yenu
Ghafla paaap, bahasha hiyo hapo, huko ndani kuna karatasi yenye details zote za kifo chako
Mfano: Tarehe, Mwaka na Mahali
Utafungua????🤣🤣🤣🤣🤣
My take: Mie nitafungua jamani, I'm such a curious being. Nitafungua ili nijue lini naacha kazi nianze kula mafao yangu😭
Zile report forms za Shule tunaambiwa Usifungua hadi umpe Mzazi mie nafungua zangu nijue kuna kipigo au laaa sembuse tarehe ya kufa????
Nafunguaaaaa🤣👋
Haya karibuni mtoe maoni yenu