Hivi, ukipewa bahasha yenye details za kifo chako utafungua?

Hivi, ukipewa bahasha yenye details za kifo chako utafungua?

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Eti Wadau,

Ghafla paaap, bahasha hiyo hapo, huko ndani kuna karatasi yenye details zote za kifo chako

Mfano: Tarehe, Mwaka na Mahali

Utafungua????🤣🤣🤣🤣🤣

My take: Mie nitafungua jamani, I'm such a curious being. Nitafungua ili nijue lini naacha kazi nianze kula mafao yangu😭

Zile report forms za Shule tunaambiwa Usifungua hadi umpe Mzazi mie nafungua zangu nijue kuna kipigo au laaa sembuse tarehe ya kufa????

Nafunguaaaaa🤣👋

Haya karibuni mtoe maoni yenu
 
Eti Wadau,

Ghafla paaap, bahasha hiyo hapo, huko ndani kuna karatasi yenye details zote za kifo chako

Mfano: Tarehe, Mwaka na Mahali

Utafungua????🤣🤣🤣🤣🤣

My take: Mie nitafungua jamani, I'm such a curious being. Nitafungua ili nijue lini naacha kazi nianze kula mafao yangu😭

Zile report forms za Shule tunaambiwa Usifungua hadi umpe Mzazi mie nafungua zangu nijue kuna kipigo au laaa sembuse tarehe ya kufa????

Nafunguaaaaa🤣👋

Haya karibuni mtoe maoni yenu
ukipewa bahasha na detail za kifo ?. sasa hiyo bahasha itakuwa wazi si ushasoma .subiri biliani leo ijumaa ujambe vizuri
 
Eti Wadau,

Ghafla paaap, bahasha hiyo hapo, huko ndani kuna karatasi yenye details zote za kifo chako

Mfano: Tarehe, Mwaka na Mahali

Utafungua????🤣🤣🤣🤣🤣

My take: Mie nitafungua jamani, I'm such a curious being. Nitafungua ili nijue lini naacha kazi nianze kula mafao yangu😭

Zile report forms za Shule tunaambiwa Usifungua hadi umpe Mzazi mie nafungua zangu nijue kuna kipigo au laaa sembuse tarehe ya kufa????

Nafunguaaaaa🤣👋

Haya karibuni mtoe maoni yenu
Usipoifungua utajuaje hizo details ?

Mpk umejua hizo details means umeifungua
 
Nafungua ili nijue ni lini nitaachana na mzagamuo wa ba tamu.

Naogopa kufa, kwa kuacha mzagamuo, kila napokua mzagamuoni nikiwaza kufa, huwa inakataaa sanaa

Mzagamuo!!!!! [emoji91][emoji91]
😂😂😂😂 Mwehu wee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mwehu wee
[emoji23][emoji23][emoji23] uduguu wallah nakuambiaa, hata niwe naumwa ntamuambia ba tamu tufanye taratibu bas je nikifa, si iwe umenipa ya kuagia..

Aumwe yeye ntamuambia jikaze bas, lala nijipmiee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Najitazamaga najisemeaga nalt za ubongo zimelegea.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] uduguu wallah nakuambiaa, hata niwe naumwa ntamuambia ba tamu tufanye taratibu bas je nikifa, si iwe umenipa ya kuagia..

Aumwe yeye ntamuambia jikaze bas, lala nijipmiee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Najitazamaga najisemeaga nalt za ubongo zimelegea.
😂😂😂 Uduguu una ashki sana!!
Mi nikiumwa sitaki usumbufu kabisaa.!!
Tatizo kule kudeka kwangu ndio kunamtia genye muuguzaji mpk anaomba 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Back
Top Bottom