Ngulii
Senior Member
- Jun 15, 2023
- 127
- 203
Kweli kabisa totooEm sema kweliii, [emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa totooEm sema kweliii, [emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu hapo sikatai, kwenye mzagamuo bora nikose kulaa.[emoji23][emoji23][emoji23] Uduguu una ashki sana!!
Mi nikiumwa sitaki usumbufu kabisaa.!!
Tatizo kule kudeka kwangu ndio kunamtia genye muuguzaji mpk anaomba [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Bas sawaa.Kweli kabisa totoo
😂😂😂😂 Uduguu umenishinda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu hapo sikatai, kwenye mzagamuo bora nikose kulaa.
Nikiwaza kuna kufa, inakataa sanaa.
Unapenda mchezoNafungua ili nijue ni lini nitaachana na mzagamuo wa ba tamu.
Naogopa kufa, kwa kuacha mzagamuo, kila napokua mzagamuoni nikiwaza kufa, huwa inakataaa sanaa
Mzagamuo!!!!! [emoji91][emoji91]
Yaan nafunga mapemaa mnoo ! Nijue nakaa vipiEti Wadau,
Ghafla paaap, bahasha hiyo hapo, huko ndani kuna karatasi yenye details zote za kifo chako
Mfano: Tarehe, Mwaka na Mahali
Utafungua????🤣🤣🤣🤣🤣
My take: Mie nitafungua jamani, I'm such a curious being. Nitafungua ili nijue lini naacha kazi nianze kula mafao yangu😭
Zile report forms za Shule tunaambiwa Usifungua hadi umpe Mzazi mie nafungua zangu nijue kuna kipigo au laaa sembuse tarehe ya kufa????
Nafunguaaaaa🤣👋
Haya karibuni mtoe maoni yenu
Nadhani unaelezwa na mesenger kilichomo na kisha unapewa option ya kuchagua kufungua ama kuacha!Usipoifungua utajuaje hizo details ?
Mpk umejua hizo details means umeifungua
Hahahahaha, hapo sawaNadhani unaelezwa na mesenger kilichomo na kisha unapewa option ya kuchagua kufungua ama kuacha!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Uduguu umenishinda
Sanaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23]Unapenda mchezo
Mtakua mtundu sana weweSanaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Em sema kweliiMtakua mtundu sana wewe
hapo ndio nimemalizqEm sema kwelii
[emoji23][emoji23][emoji23] bas sawaa.hapo ndio nimemalizq
Umeelewa[emoji23][emoji23][emoji23] bas sawaa.
Haswaaah!!!Umeelewa
Angalia usijefia ukiifinyiapoSanaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23]