Hivi, ukipewa bahasha yenye details za kifo chako utafungua?

Hivi, ukipewa bahasha yenye details za kifo chako utafungua?

[emoji23][emoji23][emoji23] Uduguu una ashki sana!!
Mi nikiumwa sitaki usumbufu kabisaa.!!
Tatizo kule kudeka kwangu ndio kunamtia genye muuguzaji mpk anaomba [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu hapo sikatai, kwenye mzagamuo bora nikose kulaa.
Nikiwaza kuna kufa, inakataa sanaa.
 
Nafungua ili nijue ni lini nitaachana na mzagamuo wa ba tamu.

Naogopa kufa, kwa kuacha mzagamuo, kila napokua mzagamuoni nikiwaza kufa, huwa inakataaa sanaa

Mzagamuo!!!!! [emoji91][emoji91]
Unapenda mchezo
 
Apostle Maboya:

^Mtu akikwambia leo lazima utakufa kwa ajali barabarani, wewe muulize tukio litakuwa saa ngapi. Akisema saa 4, wewe kaa ndani, usitoke. Ikifika saa 7 nenda uendako. Akamon!^ 😂😂😂
 
Nafungua tu. Wengine kifo ni sehemu ya maisha
 
Eti Wadau,

Ghafla paaap, bahasha hiyo hapo, huko ndani kuna karatasi yenye details zote za kifo chako

Mfano: Tarehe, Mwaka na Mahali

Utafungua????🤣🤣🤣🤣🤣

My take: Mie nitafungua jamani, I'm such a curious being. Nitafungua ili nijue lini naacha kazi nianze kula mafao yangu😭

Zile report forms za Shule tunaambiwa Usifungua hadi umpe Mzazi mie nafungua zangu nijue kuna kipigo au laaa sembuse tarehe ya kufa????

Nafunguaaaaa🤣👋

Haya karibuni mtoe maoni yenu
Yaan nafunga mapemaa mnoo ! Nijue nakaa vipi
 
Back
Top Bottom