Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
muda huo huoEti Wadau,
Ghafla paaap, bahasha hiyo hapo, huko ndani kuna karatasi yenye details zote za kifo chako
Mfano: Tarehe, Mwaka na Mahali
Utafungua????🤣🤣🤣🤣🤣
My take: Mie nitafungua jamani, I'm such a curious being. Nitafungua ili nijue lini naacha kazi nianze kula mafao yangu😭
Zile report forms za Shule tunaambiwa Usifungua hadi umpe Mzazi mie nafungua zangu nijue kuna kipigo au laaa sembuse tarehe ya kufa????
Nafunguaaaaa🤣👋
Haya karibuni mtoe maoni yenu
Acha nifie hapo tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angalia usijefia ukiifinyiapo
Ni ushauri tu 😂Acha nifie hapo tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi sawaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni ushauri tu [emoji23]
Miye namwachia MSAGA SUMU aifungueSo ndio vizuri niponde mali nisiachie mtu hata senti, nafungua vizuri kabisa na plans za msiba wangu huenda nikaziandaa mwenyewe.
Aahahha hhaMiye namwachia MSAGA SUMU aifungue