Hivi ukitaka kusoma Open University Tanzania (OUT) lazima kupata ruhusa ya Muajiri?

Hivi ukitaka kusoma Open University Tanzania (OUT) lazima kupata ruhusa ya Muajiri?

JAMBONIA LTD

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2014
Posts
584
Reaction score
274
Habari wakuu,

Naomba kujua ukiwa mtumishi wa serikali na ukataka kujiendeleza kupitia Open University of Tanzania ambapo bado utaendelea na majukumu yako ya kazi, ni lazima uombe barua ya ruhusa ya mwajiri ya kujiendeleza kimasomo?

Au unaweza kupiga kimya kimya tu haiana haja kama ya wale wanaoena Campus?

Ahsante
 
Inategemea na course unayosoma na uwasilishwaji wake. Maana kuna course za e-learning ambazo ni za distance, na kuna blended mode ambazo ni distance learning na kuna wakati wa kuwa chuoni kufundishwa ( face to face) na ukizingatia vipindi ni vya muda mfululizo itakuwia ngumu kusoma bila taarifa maana itafikia kipindi utahesabika km mtoro kazini,

Ila kama ni course za 0del yaani online delivery na distance learning kipindi cha mitihani kwakuwa ni kipindi kifupi unaweza kausha bila taarifa na kipindi cha paper unaomba ruhusa kawaida tu.

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Inategemea na course unayosoma na uwasilishwaji wake. Maana kuna course za e-learning ambazo ni za distance, na kuna blended mode ambazo ni distance learning na kuna wakati wa kuwa chuoni kufundishwa ( face to face) na ukizingatia vipindi ni vya muda mfululizo itakuwia ngumu kusoma bila taarifa maana itafikia kipindi utahesabika km mtoro kazini,

Ila kama ni course za 0del yaani online delivery na distance learning kipindi cha mitihani kwakuwa ni kipindi kifupi unaweza kausha bila taarifa na kipindi cha paper unaomba ruhusa kawaida tu.

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Samahani mkuu naomba nikuulize kitu,mi napenda kusoma bachelor of food nutrition and dietetics lakini open university wanataka GPA ya 3.5 kwa diploma holder....je kuna utaratibu wowote kwa mwenye diploma ya chini ya hapo kujiunga na kozi hiyo?
 
Samahani mkuu naomba nikuulize kitu,mi napenda kusoma bachelor of food nutrition and dietetics lakini open university wanataka GPA ya 3.5 kwa diploma holder....je kuna utaratibu wowote kwa mwenye diploma ya chini ya hapo kujiunga na kozi hiyo?
Ulijiunga OUT?
 
Ukifanikiwa kujiunga na foundation , kwa koz ya food,foundation wanafundisha masomo gani
 
Msaada wakuu, Naomba mwenye course outline ya foundation course open university anisaidie tafadhali.
 
Piga kimya kimya huku unahudhuria kazini kwani vipindi vya out huanza kufundishwa saa nane na nusu mchana, ukisha maliza peleka gamba kwa mwajiri wako usubiri kupanda daraja
 
Wazoefu naomba mwongozo wa kusoma masters course ya project management vipi Ina hesabu ngumu?
 
Back
Top Bottom