Hivi ukiwa kiongozi kama Rais Samia unaweza kuwatambua machawa na wanafiki wako?

Hivi ukiwa kiongozi kama Rais Samia unaweza kuwatambua machawa na wanafiki wako?

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Najiuliza tu maana kama sisi watu wa nje tunaona RAIS WETU anachezewa. Wanamrai rai ilo wanufaike kupitia yeye, sio kwamba ni kweli wanampenda na kwamba yale wanayomsifia ni kweli yupo nayo.

Ina maana hajui hawa si kweli wanayosema juu yangu. Ni wananipaka mafuta kwa mgongo wa chupa kwa sababu kuna kitu wanataka kwangu. Hamna lolote.

Hili hata yeye alilishuhudia kwa mtangulizi wake Mzee magu. Na sasa imehamia upande wake.

Mimi ningekuwa Rais moja katika kigezo cha kukutumbua ni kunisifia sifia, nakufukuza kazi. Eleza kazi unayofanya, sio unisifie. Na siteui anayenisifia.

Je, Mama hajui hawa no machawa tu. Hili narefer niliposikiliza mara moja matokeo ya uchaguzi wao CCM DODOMA.

YAANI NI NYIMBO NA MAPAMBIO TU.
 
Sio MAMA sema RAIS! Kumwita Mama tayari hapo nadharia ya Uchawa ishachukua nafasi. Akiwa Kazini ni MH RAIS pale yupo kazini hao wote wanaojifanya ma step son ni TATIZO pengine hawawaeshimu hata MAMA zao wa kuwazaa lakini kutokana na Maslah wapo tayari kumwita RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAMA BADALA YA MUHESHIMIWA RAIS.

Nawe pia jirekebishe MKUU,
 
Machawa wapo tu coz hata YESU na MTUME walikuwa na machawa ndo hao tunawaita MITUME au MAswahaba
 
Inawezekana vile anavyodanganywa na machawa wale ndivyo anavyoamini ni kweli ilivyo... Anaamini watu wanampenda na kumuamini sana... Na wals ambao wanammsema vibaya ni watu wenye chuki na wivu tu... Yaani wapinzani tu.
 
Itategemea upeo wa akili yako kuchakata mambo.
 
Ule ndio utaratibu wa Chama, iwe unafanya mazuri au mabaya lazima usifiwe kwani hakuna itikadi za kumpinga Mwenyekiti, na hii ndio maana ukaona nafasi ya kugombea uenyekiti haiwekwi mpinzani yeyote.
 
Wameanza kukiri wenyewe bila shuruti kuwa nchi inaongozwa na mbumbumbu
 
Najiuliza tu maana kama sisi watu wa nje tunaona RAIS WETU anachezewa. Wanamrai rai ilo wanufaike kupitia yeye, sio kwamba ni kweli wanampenda na kwamba yale wanayomsifia ni kweli yupo nayo.

Ina maana hajui hawa si kweli wanayosema juu yangu. Ni wananipaka mafuta kwa mgongo wa chupa kwa sababu kuna kitu wanataka kwangu. Hamna lolote.

Hili hata yeye alilishuhudia kwa mtangulizi wake Mzee magu. Na sasa imehamia upande wake.

Mimi ningekuwa Rais moja katika kigezo cha kukutumbua ni kunisifia sifia, nakufukuza kazi. Eleza kazi unayofanya, sio unisifie. Na siteui anayenisifia.

Je, Mama hajui hawa no machawa tu. Hili narefer niliposikiliza mara moja matokeo ya uchaguzi wao CCM DODOMA.

YAANI NI NYIMBO NA MAPAMBIO TU.
Wanadamu walio wengi, hupenda sifa na utukufu. Sasa kama na yeye yupo kwenye hilo kundi la wengi, kamwe hawezi kukuelewa.
 
Najiuliza tu maana kama sisi watu wa nje tunaona RAIS WETU anachezewa. Wanamrai rai ilo wanufaike kupitia yeye, sio kwamba ni kweli wanampenda na kwamba yale wanayomsifia ni kweli yupo nayo.

Ina maana hajui hawa si kweli wanayosema juu yangu. Ni wananipaka mafuta kwa mgongo wa chupa kwa sababu kuna kitu wanataka kwangu. Hamna lolote.

Hili hata yeye alilishuhudia kwa mtangulizi wake Mzee magu. Na sasa imehamia upande wake.

Mimi ningekuwa Rais moja katika kigezo cha kukutumbua ni kunisifia sifia, nakufukuza kazi. Eleza kazi unayofanya, sio unisifie. Na siteui anayenisifia.

Je, Mama hajui hawa no machawa tu. Hili narefer niliposikiliza mara moja matokeo ya uchaguzi wao CCM DODOMA.

YAANI NI NYIMBO NA MAPAMBIO TU.
Uchawa ni urithi wa rohoni yeye mwenyewe hawezi ishi bila kusifiwa kwa hio anastahili Hilo, Kwa maana hana umaarufu ndani ya chama chake, na hana Uzito ndani ya system ndio kwanza yuko form 2
 
Uchawa ni gonjwa la enzi na enzi kama biashara ya ukahaba tu na uraibu wa madawa ya kulevya. Viongozi wasiojiamini hasa wa Afrika hutegemea sana machawa kujiimarisha. Hata Nyerere alikuwa nao na aliwafahamu vizuri sana.

Mfalme (emperor) Marcus Aurelius wa himaya ya Warumi (161-180 AD) aliamua kufuatana na mtumishi aliyekuwa akimkumbusha full time kuwa yeye ni binadamu tu kwamba na atakufa wakati wowote. Hii ni kutokana na kuandamwa na mvua ya mapambio ya sifa na utukufu toka kwa maelfu ya machawa.
 
Back
Top Bottom