Hivi ukubwa Simba SC uko wapi?

Hivi ukubwa Simba SC uko wapi?

Kukujua ukuu wa simba ni upofu wako tuu,timu inafanya vizuri inamashabiki wengi, wachezaji wengi
 
Umejitahidi Leo, umeongea pumba yenye chengachenga zinazofaa kwa kuku wanao taga,[emoji38][emoji38] hebu chukua sumu ya panya hapo dukani nakuja kulipia kesho wakati wa kuzika...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji706]
 
Ukubwa wa 5imba ni ule uwezo wake wa kuhimili migoli mi5 mi5 kutoka kwa AS VITA na AL AHLY ndani ya wiki mbili bila kuomba maji. Kwa kifupi 5imba ni 'mama kubwa'
 
Halafu anadhani watakuwa hapo milele. Wasubiri ranking inayokuja baada ya UD Songo kuwaweka mahala pao.
Tutashuka endapo walioko nyuma yetu watafanya vizuri, endapo wasipofanya vizuri, tunaweza bak hapo hapo au kushuka kidogo sana
 
Yanga imefika robo fainali ya CAF baada ya miaka mingapi?
Haji Manara anajitapa,mashabiki wanajitapa,viongozi wanajitapa kwamba Simba ni klabu kubwa. Hv ukubwa Simba uko wapi labda wenzangu mnisaidie.Yaani kufika robo fainali Caf champions ligi baada ya miaka zaidi ya 15 ndo mnajimwambafai kwa kiasi hicho? Vipi TPMazembe au Vita wasemeje? Kujiona wakubwa ndio maana mnafukuza makocha ovyo ovyo huku mnaongoza ligi, maajabu ya Dunia aisee. Hv mnaelewa maana ya ukubwa wa club?

Club inaendeshwa kwa majungu na fitina na bila weledi ukubwa wake uko wapi? Ni kweli Simba km ilivyo kwa Yanga ni miongoni mwa timu maarufu Africa mashariki na Afrika kwa ujumla lakn si kubwa kiivo. Kuna mengiiii sn ya kuendelea kujifunza ili kuufikia huo ukubwa wanaoutaja.

Shida tunajidanganya sn, Ausems kaondoka kwa sababu ya uchanga wa club zetu ambazo hazitaki kujifunza miaka nenda rudi. Kwa staili hii mspobadilika Simba itarudi tena robo fainali baada ya miaka 15.
 
Hiki ni kidomo-domo baada ya mbeleko kukatika,Simba ndo iliwapeleka CAF nyie mabwege
 
Back
Top Bottom