kanonb
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 391
- 328
Habari wanajamvi poleni na misongo ya mawazo (tozo) na mengine mengi.
Tafadhali naomba wajuvi wa mambo naomba kuuliza swali hivi hawa watu walenga shabaha (snipers ) wanapatikanaje jeshini ni mafunzo tuu au na kipaji cha mtu kinachangia?
Je, training zao zipo kama za askari wa kawaida au kuna la ziada na katika kikosi kimoja cha askari huwa wanakaa wangapi (katika mission)?
Tafadhali naomba wajuvi wa mambo naomba kuuliza swali hivi hawa watu walenga shabaha (snipers ) wanapatikanaje jeshini ni mafunzo tuu au na kipaji cha mtu kinachangia?
Je, training zao zipo kama za askari wa kawaida au kuna la ziada na katika kikosi kimoja cha askari huwa wanakaa wangapi (katika mission)?