Hivi Ulengaji shabaha (sniping) ni kipaji au unapitia mafunzo maalumu?

Hivi Ulengaji shabaha (sniping) ni kipaji au unapitia mafunzo maalumu?

Kuna kajamaa kanawinda mitaa fulani namba 3 huko, huwa kanauliza, nipige wapi? Kwenye paji? Unataka nimzibue jicho?la kulia la kushoto? Hakosi, ata umpe goroli hakosi, si mmmoja, baba yeke pia, na babu yao pia, kama risasi ni tatu watapiga swala watatu na ni katikati ya jicho..wanaoijua hiyo familia wanawajua hao jamaa, NB hawajapita jeshi, japo washapata vichapo sana toka kwa wanajeshi ktk harakati zao za uwindaji...mmoja ni chongo huyo ndo nuksi kweli kweli
 
Habari wanajamvi poleni na misongo ya mawazo (tozo) na mengine mengi.

Tafadhali naomba wajuvi wa mambo naomba kuuliza swali hivi hawa watu walenga shabaha (snipers ) wanapatikanaje jeshini ni mafunzo tuu au na kipaji cha mtu kinachangia?

Je, training zao zipo kama za askari wa kawaida au kuna la ziada na katika kikosi kimoja cha askari huwa wanakaa wangapi (katika mission)?
kinaanza kipaji alafu inakuja trainning kwa hiyo huwa havitengani hivyo
 
Back
Top Bottom