TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,763
- 11,873
[emoji3][emoji3][emoji3]Wacheki hawa,kuna la kujifunza hapa
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]Wacheki hawa,kuna la kujifunza hapa
Ova
Kushindwa kwa sniper kunatokana na kazi kuwa haramu, wao hufunzwa kwa ajili ya kazi halali tu.Nasikia yule jamaa wa 2017 kule dodoma jiji aliye mnani nani alikuwa ni sniper sasa mbona alishindwa kazi na alitumwa na yule aliye kuwa nani. 🙅🤒🤒
Hahaha.. Bonge mzembe sanaWacheki hawa,kuna la kujifunza hapa
Ova
Kuna wenye vipaji vyao wanabahatikaga kuingia huko na kuna vile vile kuna wenye vipaji vyao ambao wapo tuu hawajulikani pia ila kwa wale waliotreiniwa huwa na mafunzo zaidi yaani step by step .Habari wanajamvi poleni na misongo ya mawazo (tozo) na mengine mengi.
Tafadhali naomba wajuvi wa mambo naomba kuuliza swali hivi hawa watu walenga shabaha (snipers ) wanapatikanaje jeshini ni mafunzo tuu au na kipaji cha mtu kinachangia?
Je, training zao zipo kama za askari wa kawaida au kuna la ziada na katika kikosi kimoja cha askari huwa wanakaa wangapi (katika mission)?
Safii baba umeivaMkiwa jeshini, kwa ajili ya mafunzo (military course) achana na hii kwa mujibu wa sheria, pamoja na mafunzo mengi mtakayopitia baadae mtaanza mafunzo ya kutumia silaha, kwa maana ya kuifahamu silaha kuanzia kuifungua, kuisafisha, kuifunga tena na kisha kuitumia.
Kwenye mafunzo ya kuitumia (range) kuruta (wanafunzi wa kijeshi) wote mtapewa silaha na idadi sawa ya risasi then tunaelekea uwanja wa range ambako tutakuwa na kazi ya kuilenga ile bull (target) kwa idadi ya risasi 5 kwa kila kuruta, hapo sasa ndo tunaanza kuwapata mananga na walioiva (hapo mnakuwa mshapewa maelekezo jinsi ya kulenga.) Sasa usnipa unaanzia hapo, i.e kipaji +maelekezo mliyopewa.
Kwenye risasi 5, kuna mmoja hatagusa kabisa bull, kuna mwingine atapiga tu body, kuna mwingine atapiga bull risas moja na kuna mtu atapiga 4 ..hapo sasa ndo mchujo ushaanza ndugu yangu kuelekea usnaipani,
Nimejaribu kueleza kwa kifupi!
Ila sio mita 3000 ni mia 300 bhana huyo aliekuambia 3000 kakudanganyaNina swali la kizushi, je ni kweli risasi ya SMG ikipigwa inasafiri km 3? Yaani mita 3000?
Msaaada tafadhali.
Ni kipaji tu hicho brother!Habari wanajamvi poleni na misongo ya mawazo (tozo) na mengine mengi.
Tafadhali naomba wajuvi wa mambo naomba kuuliza swali hivi hawa watu walenga shabaha (snipers ) wanapatikanaje jeshini ni mafunzo tuu au na kipaji cha mtu kinachangia?
Je, training zao zipo kama za askari wa kawaida au kuna la ziada na katika kikosi kimoja cha askari huwa wanakaa wangapi (katika mission)?
Kwa hiyo Hamza alikuwa anarusha risasi umbali wa viwanja vitatu vya mpiraIla sio mita 3000 ni mia 300 bhana huyo aliekuambia 3000 kakudanganya
Sub Machine Gun haina uwezo huo wa kusafiri 3000m,mita 400 inaweza kutembea au ikitembea zaidi ya hapo haiwi na madhara kwa tageti..Nina swali la kizushi, je ni kweli risasi ya SMG ikipigwa inasafiri km 3? Yaani mita 3000?
Msaaada tafadhali.
Kwa pale haikufika umbali huo ni karibuKwa hiyo Hamza alikuwa anarusha risasi umbali wa viwanja vitatu vya mpira
Njoo hapa karibu na bwawani nikudondoshee ukucha kwa umbali wa 200m hadi ushangae🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Daaah noma sana aiseee 🙌🙌🙌🙌Yule alie mnanii nanii siyo sniper sniper anapiga risas moja tu akikosa Target anaweza kurudia ya pili lakin akikosa mission inakua imefeli na anaondoka eneo la tukio kwa haraka sana Sasa yule alie mnanii nanii alipiga risasi zaid ya 16 inaonekana ilitumika bunduki ya kivita na siyo silaha maalum kwaajili ya sniper
And vice versa is true daaah!Kushindwa kwa sniper kunatokana na kazi kuwa haramu, wao hufunzwa kwa ajili ya kazi halali tu.
Wengi walikuwa wazuri kwenye kuwinda ndege na manati...
Siwezi shangaa maana ile inarusha hadi mita 500 mwisho inategemea wewe mpigaji umeseti mwisho iwe ngapiNjoo hapa karibu na bwawani nikudondoshee ukucha kwa umbali wa 200m hadi ushangae[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]