Hivi Ulengaji shabaha (sniping) ni kipaji au unapitia mafunzo maalumu?

Nasikia yule jamaa wa 2017 kule dodoma jiji aliye mnani nani alikuwa ni sniper sasa mbona alishindwa kazi na alitumwa na yule aliye kuwa nani. πŸ™…πŸ€’πŸ€’
Kushindwa kwa sniper kunatokana na kazi kuwa haramu, wao hufunzwa kwa ajili ya kazi halali tu.
 
Kuna wenye vipaji vyao wanabahatikaga kuingia huko na kuna vile vile kuna wenye vipaji vyao ambao wapo tuu hawajulikani pia ila kwa wale waliotreiniwa huwa na mafunzo zaidi yaani step by step .
Picha inawekwa full risasi 5 unaambiwa lenga sehem fulan 5 sehem fulani 5 sehem fulan 5 sehem fulan wakati huo hiyo sehemu ambayo ushalenga hiyo picha inabadilishwa kulinga na unapolenga.
Kwa mfano kama ni kiuno baada ya 5 hizo kinaondolewa(kufutwa pale kwenye target)kama ni shingo hivyo hovyo kama ni kichwa tena jichoni au ile sehemu ya paji la uso (ile sehemu wanaosali sana inaota sijida) givyo hivyo hadi hatua ya mwisho amboayo sasa point unawekewa nukta (yenye muonekano kwa mbali )naa...
Naomba niishie hapo kwa leo.
 
Safii baba umeiva
 
Ni kipaji tu hicho brother!
angalia hapa
 
Udunguaji ili uwe bora ni lazima uende kozi maalum,japo wapo wenye shabaha kiasili lakini bado ili uwe mdunguaji mzuri itakubidi uende kozi..
Utaenda kozi kwa kuwa utatakiwa kujua matumizi sahihi ya silaha ya kudungulia,ujue mahesabu,ujue kujificha usionekane,pia uwe na mbio na mambo mengine muhimu..
 
Nina swali la kizushi, je ni kweli risasi ya SMG ikipigwa inasafiri km 3? Yaani mita 3000?

Msaaada tafadhali.
Sub Machine Gun haina uwezo huo wa kusafiri 3000m,mita 400 inaweza kutembea au ikitembea zaidi ya hapo haiwi na madhara kwa tageti..
 
Ni kipaji tu angalia hapa
 

Attachments

  • VID-20210415-WA0000.mp4
    6.4 MB
  • VID-20210415-WA0006.mp4
    2.1 MB
Daaah noma sana aiseee πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Pale kibaha kuna majamaa yanashinda asubuhi to jioni kazi yao ni moja tu,hayo mambo ya kulenga shabaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…