Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
πππ Ndio hivyo bhanaSiwezi shangaa maana ile inarusha hadi mita 500 mwisho inategemea wewe mpigaji umeseti mwisho iwe ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
kinaanza kipaji alafu inakuja trainning kwa hiyo huwa havitengani hivyoHabari wanajamvi poleni na misongo ya mawazo (tozo) na mengine mengi.
Tafadhali naomba wajuvi wa mambo naomba kuuliza swali hivi hawa watu walenga shabaha (snipers ) wanapatikanaje jeshini ni mafunzo tuu au na kipaji cha mtu kinachangia?
Je, training zao zipo kama za askari wa kawaida au kuna la ziada na katika kikosi kimoja cha askari huwa wanakaa wangapi (katika mission)?
Kwny kuwinda jorowe na jiji mi mwenyewe niko njema sana.
Fasta peleka maombi ukawateketeze...Kwny kuwinda jorowe na jiji mi mwenyewe niko njema sana.