Hivi ulishajiuliza ingekuwa hivi ingekuwaje?

Duuuh!
 
Hivi mfano,
Husna angenishobokea mimi, alafu akaja PM kwangu tukachonga kukutana. Alafu baadae tunakutana na kukutanisha vikojoleo, hivi unafikiri nini kingetokea? Aaagh, ningemtia alama D tumboni.

Hivi Daby ungekuwa wewe unashuhudia Husna ananishobokea hivi ungechukuliaje?

Acha tu vitu vingine tuendelee ku-imagine.

Hahahaha
 
aseee! bora ubaki kuwa mfano hivo hivo maana ingekuwa kweli sijui wadada wa jf wangetokea wapi!
 

Ni sheeda ingekuwa aise
 
Usuper staa umatawi ya juu kujifanya wazuri kujifanya wana pesaa kwa baadhi ya memba kungeisha kwani ningejua yule ni KIBORI NANGAAYA na yule ni anyosisye kamtombeleza wa tukuyu
Ha ha ha ha kamtombeleza duuh
 
Yaani mmoja kati ya hao, angenipiga life ban.....
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Je ingekuwajee kamaa nyosoo angechezaa timu pinzanii alafuu yulee boko aliyechomwa dolee jee angekuwaa ankoo magu ndio nyosoo alimfanya vile ..una hisi nyosoo leoo angekuwaa wapiii.....
Hizi ban zingine ni zakujitakia aiseeeee.....[emoji45] [emoji45]
 
Hapana bwana.
Unamjua mudi mmoja anampigaga ban the bold? Walikuwa wanamgombania mtoto cheupe Nifah .. ila huyu mtoto nngoja tu siku The bold ameteme.. nitamchukua juu kwa juu
Mkuu.....
Imenifanya nimecheka kwa nguvu, hadi nionao hapa wanatafuta kamba wanifunge kwamba nimechanganyikiwa...[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Eti Mudi mmoja anae mpigaga bani ze bold.....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] jiran haya ya mtakatifu ni kweli? Nimchinjie baharini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…