Member wa jukwaa kwema!
Kuna vitu au mambo fulani hutendeka/hutendwa na tunayachukulia kawaida tuuu. Ila hivi ulishajiuliza hayo hayo mambo tunayoyachukulia kawaida yangetendeka au kutendwa sehemu zingine na watu tofauti na waliyoyatenda ingekuaje [emoji23][emoji23]?
Mfano1 : track ya WAPO ya Ney angeifanya HAMORRAPER halafu akaitwa central polisi na mlolongo mzima wa kuitwa na waziri hivi ingekuaje[emoji23][emoji23]? Kwa ishu ya NAPE tu kidogo ajitoe meno kwa mbio. Sasa kama yeye ndiye aliyekamatwa ingekuwaje? ????
Na wewe Karibu tuambie ingekuwa hivi ingekuwaje.