ngome1838
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 2,027
- 2,490
Huyo ni mtu wa watu, ni kundi maalum katika jamii ambao wanazaliwa katika mwaka uliopo katika kundi la namba shufwa na sio shufwaaLeo jamaa yangu ameniboa,tukipiga hatua kidogo atasimama kusalimiana na watu,hivi hii hali kama ilishakutokea ulifanya nini?jee ulimuacha au ulikuwa unamsubiria?