Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
- Thread starter
- #21
๐๐๐๐๐Mama mwana alininyima mbususu mwezi mzima lakini nilisamehe
NB:Sio mama mwana mleta mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Mama mwana alininyima mbususu mwezi mzima lakini nilisamehe
NB:Sio mama mwana mleta mada
mbona unanifundisha sala zisizokua zangu? kuwasamehe nimejitahidi ila siwez tu kua kama mwanzoPole sana, tena sana! Kibinadamu si rahisi kusamehe ulipoumizwa. Yataka neema ya Mungu.
Natoa ushauri tu, kwa mtu yeyote aliye katika hali ya kupitia machungu (bitterness), kutelekezwa au kukataliwa (rejection), msongo wa mawazo (stress) au mfadhaiko/upweke (depression), aanze kufanya au kufikiria lolote lililo zuri, lolote lililo safi, lolote lenye haki, lolote lenye staha, lolote lenye sifa njema, lolote lenye ukweli, lolote lenye kupendeza na lolote lenye heshima katika maisha.
Pili, mshukuru Mungu kwa kukupa uhai na uzima ulionao sasa, ambapo unapumua vizuri wakati wengine wamelazwa hospitalini au wameishakufa. Mungu kakuongezea siku ya leo ili utimize kusudi lake alilokuleta duniani, ikiwemo kumwabudu Yeye pekee katika roho na kweli.
Tatu, mwombe Mungu auchunguze moyo wako kama kuna yoyote uliyowakosea, kuwakwaza au kuwaumiza wengine maana hakuna mkamilifu.
Nne, tubu kwa Mungu makosa yako na tubu kwa uliowakosea kama wapo karibu au unaoweza kuwasiliana nao. Aidha, mwombe Mungu akupe neema ya kuwasamehe bure wote waliokukosea, kukukwaza au kukuumiza.
Kisha, kwa kumaanisha moyoni mwako popote ulipo sema hivi: "Yesu Kristo karibu moyoni mwangu uniokoe niwe mwana wa Mungu kwa kuzaliwa upya rohoni na kuongozwa na Roho Mtakatifu."
Amani utakayoipata moyoni mwako ni ya pekee sana! Mpe Mungu utukufu, sifa, heshima na shukrani.
kumbe nipo sahihiKuna baadhi ya watu sometimes ili uishi nao vizuri yakufaa uwe mbali nao.
Fanya majirani zako kuwa ndugu zako kwa kuwatembelea na wewe kuwakaribisha kwako.nilimjibu tu nimechoka kufatafata watu ambo sioni umuhim wao kwangu nikampa ukweli wa moyo lakini bado nafsi yangu kama ina kinyongo dhidi yao nifanyeje iniepuke hii hali?
okayHuwa nabalance tu matarajio yangu ili mtu akinitendea ubaya nisione kama ni kitu kipya.
Ila Ukiona nafsi yako hajaridhia kuendelea nao katika maisha, ongeza distance kati yenu lakini usitangaze vita nao kwa sababu haina haja ya kutengeneza maadui zaidi au kuweka vinyongo ambavyo mwisho wa siku vinakutesa hadi unaanzishia uzi, ishi maisha yako huku ukibalance shobo ๐๐ฝ๐๐ฝ
okayFanya majirani zako kuwa ndugu zako kwa kuwatembelea na wewe kuwakaribisha kwako.
Hao ndugu zako wa damu wapotezee tu
Komenti nzuri sana hii bageshi/nkamu.Pole sana, tena sana! Kibinadamu si rahisi kusamehe ulipoumizwa. Yataka neema ya Mungu.
Natoa ushauri tu, kwa mtu yeyote aliye katika hali ya kupitia machungu (bitterness), kutelekezwa au kukataliwa (rejection), msongo wa mawazo (stress) au mfadhaiko/upweke (depression), aanze kufanya au kufikiria lolote lililo zuri, lolote lililo safi, lolote lenye haki, lolote lenye staha, lolote lenye sifa njema, lolote lenye ukweli, lolote lenye kupendeza na lolote lenye heshima katika maisha.
Pili, mshukuru Mungu kwa kukupa uhai na uzima ulionao sasa, ambapo unapumua vizuri wakati wengine wamelazwa hospitalini au wameishakufa. Mungu kakuongezea siku ya leo ili utimize kusudi lake alilokuleta duniani, ikiwemo kumwabudu Yeye pekee katika roho na kweli.
Tatu, mwombe Mungu auchunguze moyo wako kama kuna yoyote uliyowakosea, kuwakwaza au kuwaumiza wengine maana hakuna mkamilifu.
Nne, tubu kwa Mungu makosa yako na tubu kwa uliowakosea kama wapo karibu au unaoweza kuwasiliana nao. Aidha, mwombe Mungu akupe neema ya kuwasamehe bure wote waliokukosea, kukukwaza au kukuumiza.
Kisha, kwa kumaanisha moyoni mwako popote ulipo sema hivi: "Yesu Kristo karibu moyoni mwangu uniokoe niwe mwana wa Mungu kwa kuzaliwa upya rohoni na kuongozwa na Roho Mtakatifu."
Amani utakayoipata moyoni mwako ni ya pekee sana! Mpe Mungu utukufu, sifa, heshima na shukrani.
Kinachokuumiza ni nini sasa?sasa hawa hawa wanasema hawajui walichonikosea sio kwamba sina matukio mazito ninayo dada shida ni hii hili limenishinda kabisa kulichilia
Naimekuelewa sana, binadamu hawana jema Kabisa bora kumtegemea Mungu tu maana hatakuacha.Haya maisha haya, unakutana na mambo mengi sana ya kukuumiza moyo na kukufurahisha yes dunia imeumbwa hivyo.
je wewe umeweza kusamehe kila jambo lililokutokea au linalokutokea katika maisha yako? mimi nimeshindwa, kuna watu bwana nilikua nao very close, katika maisha yetu mimi ndie nilikua nakwenda kuwatembelea.
Nikisikia wanaumwa nishafunga safari, nikijua tu nina muda sijaonana nao najikuta nishafunga safari, ikumbukwe hapo ninapokaa ni karibu na barabara kuu, yani huwez kua una safari ya mjini au kurud bila kupita ninapokaa lakini hakujatokea hata mmoja kuja kunitembelea na ukiona umetembelewa ujue mtu alikua anakuja eneo la jiran ulilopo ndio mtu anapita.
Kisa kinakuja hapa kuna mambo flan flani niliyataka yafanyike kwao, hawa ni ndugu zangu upande wa baba, bas pia wakanipigisha danadana lisifanyike na maneno ya kejeli nikaona isiwe kesi jambo likafanyikia nyumban kwa wazazi wangu, since then nimekua na hasira nao kiasi nashindwa kumove on.
Yaani hata ile kwenda kuwatembelea sifanyi tena na mimi naweza kuwa nnashida na maeneo waliyopo nahata nisiende na naweza kupanga kabisa ngoja niende moyo wangu ukawa mzito mpaka naghairisha kuna mmoja nilikutana naye ananiuliza mbona huji siku hizi nilimjibu tu nimechoka kufatafata watu ambo sioni umuhim wao kwangu nikampa ukweli wa moyo lakini bado nafsi yangu kama ina kinyongo dhidi yao nifanyeje iniepuke hii hali?
Kusamehe kwa binadamu wengi huwa ni shida,lakini kama kweli umedhamiria kusamehe na unashindwa,omba Mungu kila siku akupe nguvu ya kusamehe kama yeye anavyotusamehe dhambi zetu,kwakuwa yeye anaona dhamira iliyoko ndani ya moyo wako atakujalia hiyo neema na iko siku hata hutawakumbuka wala kuumia tena...Haya maisha haya, unakutana na mambo mengi sana ya kukuumiza moyo na kukufurahisha yes dunia imeumbwa hivyo.
je wewe umeweza kusamehe kila jambo lililokutokea au linalokutokea katika maisha yako? mimi nimeshindwa, kuna watu bwana nilikua nao very close, katika maisha yetu mimi ndie nilikua nakwenda kuwatembelea.
Nikisikia wanaumwa nishafunga safari, nikijua tu nina muda sijaonana nao najikuta nishafunga safari, ikumbukwe hapo ninapokaa ni karibu na barabara kuu, yani huwez kua una safari ya mjini au kurud bila kupita ninapokaa lakini hakujatokea hata mmoja kuja kunitembelea na ukiona umetembelewa ujue mtu alikua anakuja eneo la jiran ulilopo ndio mtu anapita.
Kisa kinakuja hapa kuna mambo flan flani niliyataka yafanyike kwao, hawa ni ndugu zangu upande wa baba, bas pia wakanipigisha danadana lisifanyike na maneno ya kejeli nikaona isiwe kesi jambo likafanyikia nyumban kwa wazazi wangu, since then nimekua na hasira nao kiasi nashindwa kumove on.
Yaani hata ile kwenda kuwatembelea sifanyi tena na mimi naweza kuwa nnashida na maeneo waliyopo nahata nisiende na naweza kupanga kabisa ngoja niende moyo wangu ukawa mzito mpaka naghairisha kuna mmoja nilikutana naye ananiuliza mbona huji siku hizi nilimjibu tu nimechoka kufatafata watu ambo sioni umuhim wao kwangu nikampa ukweli wa moyo lakini bado nafsi yangu kama ina kinyongo dhidi yao nifanyeje iniepuke hii hali?
wazazi wangu hawanielewi, wananambia ubaya hulipwi kwaubya na kunilazimisha niendeleze mambo za kuwafata fata ambapo n kitu kimenishindaKinachokuumiza ni nini sasa?
ohh thank you ๐Kusamehe kwa binadamu wengi huwa ni shida,lakini kama kweli umedhamiria kusamehe na unashindwa,omba Mungu kila siku akupe nguvu ya kusamehe kama yeye anavyotusamehe dhambi zetu,kwakuwa yeye anaona dhamira iliyoko ndani ya moyo wako atakujalia hiyo karama na iko siku hata hutawakumbuka wala kuumia tena...
hlf et mimi kuwapa distance sasa ndio naonekana kubwa la maaduuNaimekuelewa sana, binadamu hawana jema Kabisa bora kumtegemea Mungu tu maana hatakuacha.
Ukienda ndo utapata na sonona kazia hapo hapo, baada ya muda utazoea kuwa hawapo kwenye maisha yakowazazi wangu hawanielewi, wananambia ubaya hulipwi kwaubya na kunilazimisha niendeleze mambo za kuwafata fata ambapo n kitu kimenishinda
Ndio ile wanasema mkuki kwa nguruwe mtamu ila kwa binadamu mchungu, kama mkikutana unawasalimia hiyo inatosha kabisa (ibaki heshima tu).hlf et mimi kuwapa distance sasa ndio naonekana kubwa la maaduu
Sala itakayokusaidia ndiyo yako! Isiyokusaidia achana nayo kama unaweza, uko huru kuamua. Yesu ni wa walimwengu wote, si kwa wajiitao wakristo tu kwa jina. Mungu alimtoa kwa ukombozI wa watu wote ukiwemo wewe.mbona unanifundisha sala zisizokua zangu? kuwasamehe nimejitahidi ila siwez tu kua kama mwanzo
Amina, nawe pia ubarikiwe!Komenti nzuri sana hii bageshi/nkamu.
Ubarikiwe!
kitu pekee kinaniumiza kichwa wazazi wangu wananiambia nisilipe baya kwa baya et hata hio distance nikama nimewalipa kutokana na wanayoyafanya niendelee kuwafata fata tu kitu ambacho moyo wangu umegoma katu katuNdio ile wanasema mkuki kwa nguruwe mtamu ila kwa binadamu mchungu, kama mkikutana unawasalimia hiyo inatosha kabisa (ibaki heshima tu).
Endelea tu na mipango yako mingine ili wajue na wewe una msimamo na maisha yako binafsi, tena usikubali tena kuingia chini ya waliokutelekeza maana watakudharau tu.