Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Sio kwamba watu hawamuogopi Samia ila hana uwezo wa kuongoza Taifa hili.Chuma Hayati Magufuli, Alipigaga tu Marufuku Umeme kukatika katika, kweli banaaa Biashara ya Majenereta ikafa.
Baada ya Mama kushika Hatamu, Licha ya kua ana JNHEPP Umeme bado unakatika tu.
SGR yenyewe ndo mnajionea, Wamiliki wa Ma Bus hao 🤣.
Sio kwamba Hana Taarifa, anazo sema anazipuuza .
KUNA ULAZIMA WA DOLA, KUHAKIKISHA MAMA ANAPUMZIKA , MWAKA HUU ALETWE KICHAA MMOJA AMBAYE ATAUKOMESHA HUU UFEDHULI.
Zile hela za kununua magoli ya Simba na Yanga hazitoshi kununua vipuri kadhaa?Umeme unakatika kutokana na uchakavu wa miundombinu ya TANESCO na sio uhaba wa umeme.
Hivi ni kweli tumbili au kunguru zinasababishaga Treni ya SGR isimame?? Wanakuwa wamezubaa sana hadi kushindwa kuisikia Treni ikikaribia?🤭Chuma Hayati Magufuli, Alipigaga tu Marufuku Umeme kukatika katika, kweli banaaa Biashara ya Majenereta ikafa.
Baada ya Mama kushika Hatamu, Licha ya kua ana JNHEPP Umeme bado unakatika tu.
SGR yenyewe ndo mnajionea, Wamiliki wa Ma Bus hao 🤣.
Sio kwamba Hana Taarifa, anazo sema anazipuuza .
KUNA ULAZIMA WA DOLA, KUHAKIKISHA MAMA ANAPUMZIKA , MWAKA HUU ALETWE KICHAA MMOJA AMBAYE ATAUKOMESHA HUU UFEDHULI.
Uchakavu wa miundombinu ni pamoja na administration na technical team mbovu.Umeme unakatika kutokana na uchakavu wa miundombinu ya TANESCO na sio uhaba wa umeme.
Duh, sgr inaedeshwa Kwa umeme wa Tanesco? Kwani mradi umekamilika?Chuma Hayati Magufuli, Alipigaga tu Marufuku Umeme kukatika katika, kweli banaaa Biashara ya Majenereta ikafa.
Baada ya Mama kushika Hatamu, Licha ya kua ana JNHEPP Umeme bado unakatika tu.
SGR yenyewe ndo mnajionea, Wamiliki wa Ma Bus hao 🤣.
Sio kwamba Hana Taarifa, anazo sema anazipuuza .
KUNA ULAZIMA WA DOLA, KUHAKIKISHA MAMA ANAPUMZIKA , MWAKA HUU ALETWE KICHAA MMOJA AMBAYE ATAUKOMESHA HUU UFEDHULI.