Hivi umeshawahi kukutana na mwanamke mwenye kigugumizi?

Hivi umeshawahi kukutana na mwanamke mwenye kigugumizi?

Ili apate 'stata' ya kutamka maneno.... zamani tukiwa wadogo tulikuwa tunamtania, akianza kuongea mnamwambia "subiri", mnamsogeza kwenye mti au ukuta au kitu chochote anachoweza kukipiga ili aweze kuongea then mnamwambia "haya, endelea sasa"๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ila sasa hivi naona kinapungua.
Nyie ndo mnatutiaga hasira ๐Ÿ˜ก ๐Ÿ˜ก ๐Ÿ˜ก ๐Ÿ˜ก
 
Thanks. Nilivyokuwa mdogo ilikuwa balaa zaidi nikitaka kuongea hadi nipige mguu chini, yaani nitahangaika hapo utanionea huruma, pumzi sijui nini inakata kabisa nashindwa kuongea. Now kipo ila nimeweza kumanage kuongea kwa pozi, ila nikiwa na hasira au uwoga kinakuja kwa kasi.
I feel you.,
Hadi nili'google ili nijisomee zaidi about it

ni kweli its involuntary na inaanzia utotoni
Tiba as u said pia ni kama nilivyosoma wanaita 'speech therapy'..mazoezi ya kujifunza hizo style za kuongea with 'pauses' kuendana na how u feel ama maneno yanavyokuja

Hongera kwa kukimudu

My source

Na ni kweli wanaume wanaathiriwa zaidi na hii hali kuliko wanawake.,ratio 4:1,
 
I feel you.,
Hadi nili'google ili nijisomee zaidi about it

ni kweli its involuntary na inaanzia utotoni
Tiba as u said pia ni kama nilivyosoma wanaita 'speech therapy'..mazoezi ya kujifunza hizo style za kuongea with 'pauses' kuendana na how u feel ama maneno yanavyokuja

Hongera kwa kukimudu

My source

Na ni kweli wanaume wanaathiriwa zaidi na hii hali kuliko wanawake.,ratio 4:1,
4 kwa 1! Ratio ni kubwa sana...ndiyo maana binafsi sijawahi kukutana physically na mwanamke mwenye kigugumizi....ndo kwa mara ya kwanza nawaona kwenye huu uzi...
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nimemiss kelele zake..dah!!
Alikuwa akiongea neno Kuna muda anakwama Sasa nilikuwa namsaidia kumalizia neno analotaka kutamka..mfano tulienda..anavyoivuta Sasa..namwambia enhee mlienda..uwii alikuwa anachukia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ..nakumiss Mary wngu
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Kwa sisi wenye kigugumizi hiyo tabia huwa inatukera sana.
 
I feel you.,
Hadi nili'google ili nijisomee zaidi about it

ni kweli its involuntary na inaanzia utotoni
Tiba as u said pia ni kama nilivyosoma wanaita 'speech therapy'..mazoezi ya kujifunza hizo style za kuongea with 'pauses' kuendana na how u feel ama maneno yanavyokuja

Hongera kwa kukimudu

My source

Na ni kweli wanaume wanaathiriwa zaidi na hii hali kuliko wanawake.,ratio 4:1,
Safi.
 
Nilikuwa nacho nilipokuwa mdogo, Nilipoona nimeuchoka huo ugonjwa, nikaanza kuusoma taratibu.

Nikajua ni maneno ya aina gani hiwa yananitesa kuanza kuongea (SIRI IPO HAPO)

Nilipojua, nikaacha kuyatumia kama maneno ya funguzi za sentensi zangu, nikayatafutia maneno ambayo kwangu ni malaini kuyatamka, nikawa naanza nayo then haya magumu nayaweka kati.

Kigugumizi kikaanza kupotea taratibu,

Japo sometimes tumekuwa tukikitumia kwa faida yetu...

Mf. Niliwahi kumtesa mwalimu wangu wa hesabu kwenye table, muda ninaoweka kigugumizi ndio niliotumia kupiga hesabu za kichwa.

Nilipokuwa na misala nilikiongeza hivyo unakuta mtu anaishia kucheka na kukuacha..

Sasaivi nimezeeka napiga maneno kama cherehani na unaweza usijue kama nina kugugumizi.
 
Back
Top Bottom