EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Nyie ndo mnatutiaga hasira π‘ π‘ π‘ π‘Ili apate 'stata' ya kutamka maneno.... zamani tukiwa wadogo tulikuwa tunamtania, akianza kuongea mnamwambia "subiri", mnamsogeza kwenye mti au ukuta au kitu chochote anachoweza kukipiga ili aweze kuongea then mnamwambia "haya, endelea sasa"πππ
Ila sasa hivi naona kinapungua.
I feel you.,Thanks. Nilivyokuwa mdogo ilikuwa balaa zaidi nikitaka kuongea hadi nipige mguu chini, yaani nitahangaika hapo utanionea huruma, pumzi sijui nini inakata kabisa nashindwa kuongea. Now kipo ila nimeweza kumanage kuongea kwa pozi, ila nikiwa na hasira au uwoga kinakuja kwa kasi.
Kuna jamaa yangu anakigugumizi yeye hanunuagi dakika n sms tu zinamtosha
4 kwa 1! Ratio ni kubwa sana...ndiyo maana binafsi sijawahi kukutana physically na mwanamke mwenye kigugumizi....ndo kwa mara ya kwanza nawaona kwenye huu uzi...I feel you.,
Hadi nili'google ili nijisomee zaidi about it
ni kweli its involuntary na inaanzia utotoni
Tiba as u said pia ni kama nilivyosoma wanaita 'speech therapy'..mazoezi ya kujifunza hizo style za kuongea with 'pauses' kuendana na how u feel ama maneno yanavyokuja
Hongera kwa kukimudu
My source
Na ni kweli wanaume wanaathiriwa zaidi na hii hali kuliko wanawake.,ratio 4:1,
π π π π πNyie ndo mnatutiaga hasira π‘ π‘ π‘ π‘
π π π πππππ
Nimemiss kelele zake..dah!!
Alikuwa akiongea neno Kuna muda anakwama Sasa nilikuwa namsaidia kumalizia neno analotaka kutamka..mfano tulienda..anavyoivuta Sasa..namwambia enhee mlienda..uwii alikuwa anachukia ππ ..nakumiss Mary wngu
Ha ha ha haaaaaaaKuna jamaa yangu anakigugumizi yeye hanunuagi dakika n sms tu zinamtosha
Safi.I feel you.,
Hadi nili'google ili nijisomee zaidi about it
ni kweli its involuntary na inaanzia utotoni
Tiba as u said pia ni kama nilivyosoma wanaita 'speech therapy'..mazoezi ya kujifunza hizo style za kuongea with 'pauses' kuendana na how u feel ama maneno yanavyokuja
Hongera kwa kukimudu
My source
Na ni kweli wanaume wanaathiriwa zaidi na hii hali kuliko wanawake.,ratio 4:1,
Dah...toka lini? Labda iwe jana [emoji23][emoji23][emoji2960]Mimi ninacho