Muhimu kuzitoa genye.😄😅[emoji23][emoji23] Amna mkuu uyo manzi badae nilijuta kumuacha mana alizidi kuwa mtamu kweli,,
alfu alikuwa anakata kiuno kama Feni mpya
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu kama mtoto ni wako we muhudumie tuMimi nilimkata makofi hata kaa asahau sababu alizidisha dharau na sipendagi ujinga na mahusiano yakafa hapo hapo. Sasa hivi ni single mother full kunipigia simu anaomba hela ya maziwa ya mtoto.Sipokeagi wala sijibu text zake.
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Ndio tulikuwa tunaigiza.Alivyozima akaamka akataka kukupeleka polisi
😂😂😂😆Ndio tulikuwa tunaigiza.
Sio wangu mkuu alizaa baadae sana ilikua imeshapita mwaka na nusu baada ya kuachana[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu kama mtoto ni wako we muhudumie tu
Yaani jamaa ametuangusha sanampaka anasifiwa mtam bado unamuomba msamaha tu, wanaume tumebaki wachache.
mpaka anasifiwa mtam bado unamuomba msamaha tu, wanaume tumebaki wachache.
mwamba anayumba sana.Yaani jamaa ametuangusha sana
Jamaa mzito sana, yaani demu anamsifia jemba afu bado anarudiana nae... Huu ni Utopiamwamba anayumba sana.