Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndio bahalia [emoji23]Mwngne huyu nilisikia tetesi kuna Lizee fulani kitaa linamfukizia, nikafanya mitego yangu siku hyo usku nikaanza kumfutilia demu mwenyew hajui mpaka kakutana na yule mzee wameongea muda mrefu mi nawachora tu demu baadae akarudi kwao. Kwa ile picha nikaelewa hapa muda wowote mali yangu italiwa mzee yupo serious huyu. Huyu demu alikua n wale kweny siku saba za wiki siku sita anakuja kulala kwangu kam akiwa kabanwa sana atatoka kwao ata saa saba usku ili aje kulala kwa baharia. Usku huohuo demu kaja home nikahahakisha napiga show moja heavy sana. Na kweli usku ule nilipiga show ya kihistoria mpak namaliza demu ajielewi elewi sikumpa nafasi havute pumzi bado yupo na wenge la ile show nikamwambia sikutaki tena mim na wew basi. Naona mtu kapagawa kilio tatzo nin nikamwambia tu wew hujatulia sikutaki si akaanza swaga za kuwa kinganganizi, uongo mwingi lawama nyingi. Kitu huwa kinanipa hasira za haraka n mtu kunidanganya na najua ukweli nilipiga kerbu moja matata sana dogo alichoweza kusema tu naomba husiniache na naomba husinipige tena nakwambia ukweli wote. Basi akaanza kufunguka mwenyew kila kitu na mzee alikua amepanga kumpangia na kumwekea kila kitu ndani. Mzee bedui sana yule sijui kam hakumla maana demu mwenyew tulikuja kuachana baadae.
Zaidi ya hapo sijawah kupiga tena mwanamke na sipendi kabisa, haya matukio mawili nayajutia na nahisi hatia mpaka leo
Niliwahi mara moja tukiwa chuo kama mnavyojua room moja mnakaa wa4, sasa siku hiyo nililala na demu wangu double deka mi juu na jamaa yangu chini, sasa hatukua sawa na mpenzi wangu usiku ule akawa ananiomba msamaha nikakaza.
Basi alfajiri akamwita mwana wa chini ambae ni shem wake sasa kwamba naomba kuja kulala hapo jamaa akamwambia njoo. Basi akashuka akalala kwa jamaa mi nimetulia tu akaanza kuongea mi nasikia anamwambia nataka kuwa na wewe jamaa mimi ananizingua naona hanipendi hahahaa.
Mshkaji akamwambia yani umemkosea then unaongeza makosa mimi sitakutetea basi nikaamka nikatoka nje jamaa nae akaamka akasepa tukabaki wawili.
Hapo sina habari nae akaanza nisamehe nikamwambia jamaa kakukataa eti ooh nilitaka usikie uumie nikamwambia too late huwa siumii kizembe we sema kwako hataki, mi nikawa naondoka ananishika akapiga magoti akanishika miguu aisee nilipiga makofi ya kichwa haachii eti niue tu piga mikofi sana wapi. Toka hapo sijawahi tena na sitegemei.
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Sasa we unamuacha mtu kisa anatongozwa? Kuna mwanamke asiyetongozwa?Mwngne huyu nilisikia tetesi kuna Lizee fulani kitaa linamfukizia, nikafanya mitego yangu siku hyo usku nikaanza kumfutilia demu mwenyew hajui mpaka kakutana na yule mzee wameongea muda mrefu mi nawachora tu demu baadae akarudi kwao. Kwa ile picha nikaelewa hapa muda wowote mali yangu italiwa mzee yupo serious huyu. Huyu demu alikua n wale kweny siku saba za wiki siku sita anakuja kulala kwangu kam akiwa kabanwa sana atatoka kwao ata saa saba usku ili aje kulala kwa baharia. Usku huohuo demu kaja home nikahahakisha napiga show moja heavy sana. Na kweli usku ule nilipiga show ya kihistoria mpak namaliza demu ajielewi elewi sikumpa nafasi havute pumzi bado yupo na wenge la ile show nikamwambia sikutaki tena mim na wew basi. Naona mtu kapagawa kilio tatzo nin nikamwambia tu wew hujatulia sikutaki si akaanza swaga za kuwa kinganganizi, uongo mwingi lawama nyingi. Kitu huwa kinanipa hasira za haraka n mtu kunidanganya na najua ukweli nilipiga kerbu moja matata sana dogo alichoweza kusema tu naomba husiniache na naomba husinipige tena nakwambia ukweli wote. Basi akaanza kufunguka mwenyew kila kitu na mzee alikua amepanga kumpangia na kumwekea kila kitu ndani. Mzee bedui sana yule sijui kam hakumla maana demu mwenyew tulikuja kuachana baadae.
Zaidi ya hapo sijawah kupiga tena mwanamke na sipendi kabisa, haya matukio mawili nayajutia na nahisi hatia mpaka leo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mabinti wengine vichwa maji kweliNiliwahi mara moja tukiwa chuo kama mnavyojua room moja mnakaa wa4, sasa siku hiyo nililala na demu wangu double deka mi juu na jamaa yangu chini, sasa hatukua sawa na mpenzi wangu usiku ule akawa ananiomba msamaha nikakaza.
Basi alfajiri akamwita mwana wa chini ambae ni shem wake sasa kwamba naomba kuja kulala hapo jamaa akamwambia njoo. Basi akashuka akalala kwa jamaa mi nimetulia tu akaanza kuongea mi nasikia anamwambia nataka kuwa na wewe jamaa mimi ananizingua naona hanipendi hahahaa.
Mshkaji akamwambia yani umemkosea then unaongeza makosa mimi sitakutetea basi nikaamka nikatoka nje jamaa nae akaamka akasepa tukabaki wawili.
Hapo sina habari nae akaanza nisamehe nikamwambia jamaa kakukataa eti ooh nilitaka usikie uumie nikamwambia too late huwa siumii kizembe we sema kwako hataki, mi nikawa naondoka ananishika akapiga magoti akanishika miguu aisee nilipiga makofi ya kichwa haachii eti niue tu piga mikofi sana wapi. Toka hapo sijawahi tena na sitegemei.
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Kabisa yani nikapiga chini. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu uyo manzi alikuwa Amekuzarau sana
[emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mabinti wengine vichwa maji kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mabinti wengine vichwa maji kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ulikuwa fundi sana wa kupiga exileNiliwahi mara moja tukiwa chuo kama mnavyojua room moja mnakaa wa4, sasa siku hiyo nililala na demu wangu double deka mi juu na jamaa yangu chini, sasa hatukua sawa na mpenzi wangu usiku ule akawa ananiomba msamaha nikakaza.
Basi alfajiri akamwita mwana wa chini ambae ni shem wake sasa kwamba naomba kuja kulala hapo jamaa akamwambia njoo. Basi akashuka akalala kwa jamaa mi nimetulia tu akaanza kuongea mi nasikia anamwambia nataka kuwa na wewe jamaa mimi ananizingua naona hanipendi hahahaa.
Mshkaji akamwambia yani umemkosea then unaongeza makosa mimi sitakutetea basi nikaamka nikatoka nje jamaa nae akaamka akasepa tukabaki wawili.
Hapo sina habari nae akaanza nisamehe nikamwambia jamaa kakukataa eti ooh nilitaka usikie uumie nikamwambia too late huwa siumii kizembe we sema kwako hataki, mi nikawa naondoka ananishika akapiga magoti akanishika miguu aisee nilipiga makofi ya kichwa haachii eti niue tu piga mikofi sana wapi. Toka hapo sijawahi tena na sitegemei.
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Si mnasemaga Kofi la mpenzi haliumi?!!Yaani girlfriend unampiga ukimuoa si ndio utamtoa meno ya barazani kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mate we mbabe kumbe[emoji1787][emoji1787]Nimewahi kum'bonda boifrendi ..akaenda kunisemea kwa mama ake..dada zake wakaja kunichamba Hadi nikazimia.
🤣🤣🤣🤣
Mbona huwa mnavurugwa sura lkn bado mnatung'ang'ania?