Hivi umewahi kumpiga girlfriend wako?

Hivi umewahi kumpiga girlfriend wako?

Sijawahi na wala hata kufikiria hilo jambo.

Lakini pia siwezi ku rule out kua sitakuja kufanya maana wanawake sio wazima kichwani[emoji23], anaweza kukuvuruga ukajikuta umefanya ambayo hukuyategemea. Never say never.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi kupiga mwanamke siwezi japo ni mkurya,sitaki kuwa kama wazee wangu ila niko radhi nimuachie mwanamke nyumba kama hanipi amani na nikaendelea na maisha mengine...kumpiga mwanamke sio sahihi ni kumuonea coz hawezi kupambana na wewe
Hahahaha Tata muraa Hawa viumbe wanauzi . Ila unamoyo wa pekee mkuu amani ya bwana iwe nawe
 
Tupe na Experience alizingua nini ..?[emoji23]

Mimi niliiba Simu yake nikazama wwenye Mmsg, kufanya upembuzi nikakuta anachati na mwamba anamsifia eti nimtamu! [emoji23][emoji23]

Nikamuliza Uyu nani?
Kimya, Nilimlukia buti kama la Vandamme[emoji2] Nilimpiga mpaka akazima

Eti akataka kunipeleka Police, Badaye familia ikaongea na Familia yao wakayamaliza. Ikapita kama mwezi hivi tukaja kukutana nikamuomba msamaha akakubali tukarudiana [emoji2]
Huo mwezi sasa ndio jamaa alipelekewa mzigo mzima mzima day and night
 
Kiasi kikubwa mazingira ya kupigwa mwanamke huwa anayatengeneza mwenyewe.
Wa kwanza nilimpiga baada ya kuwa kinganganizi, nakumbuka siku hyo nimemshtukiza nimemfuata kwao twende ghetto usiku. Tumetoka vzuri tupo njiani anapigiwa simu anakata, nikasimama nikamlazimisha apokee ile simu maana mpigaji alikua anaendelea kupiga. Kupokea nasikia sauti ya baharia analalamika demu kamuahidi akampe papuchi kamfuata home kwao hayupo. Dah kusikia yale mazungumzo sikutaka mambo mengi nikamwambia tu demu we rudi kwenu kamalizana na mwana alafu mim na wew ndo mwisho wetu huu. Demu akaanza kulia anajifanya ananipenda sana, nikitaka kuondoka anashika, mara avute shati hatak nimuache ikafikia hatua sijui hasira zilitokea wapi nilipiga yule demu nashukuru wapita njia walikuja kumuokoa maana ningemuumiza vbaya sana siku ile. Akaondoka analia huku anachechemea.
 
Mimi kupiga mwanamke siwezi japo ni mkurya,sitaki kuwa kama wazee wangu ila niko radhi nimuachie mwanamke nyumba kama hanipi amani na nikaendelea na maisha mengine...kumpiga mwanamke sio sahihi ni kumuonea coz hawezi kupambana na wewe
Weeeee wa siku hizi anakuvuta "biology" ukizubaa, sema the best ni kwamba hakuna sababu ya msingi kufanya hivyo, napenda amani sana! I hold issues to my heart na sipendi kelele!
 
Mwngne huyu nilisikia tetesi kuna Lizee fulani kitaa linamfukizia, nikafanya mitego yangu siku hyo usku nikaanza kumfutilia demu mwenyew hajui mpaka kakutana na yule mzee wameongea muda mrefu mi nawachora tu demu baadae akarudi kwao. Kwa ile picha nikaelewa hapa muda wowote mali yangu italiwa mzee yupo serious huyu. Huyu demu alikua n wale kweny siku saba za wiki siku sita anakuja kulala kwangu kam akiwa kabanwa sana atatoka kwao ata saa saba usku ili aje kulala kwa baharia. Usku huohuo demu kaja home nikahahakisha napiga show moja heavy sana. Na kweli usku ule nilipiga show ya kihistoria mpak namaliza demu ajielewi elewi sikumpa nafasi havute pumzi bado yupo na wenge la ile show nikamwambia sikutaki tena mim na wew basi. Naona mtu kapagawa kilio tatzo nin nikamwambia tu wew hujatulia sikutaki si akaanza swaga za kuwa kinganganizi, uongo mwingi lawama nyingi. Kitu huwa kinanipa hasira za haraka n mtu kunidanganya na najua ukweli nilipiga kerbu moja matata sana dogo alichoweza kusema tu naomba husiniache na naomba husinipige tena nakwambia ukweli wote. Basi akaanza kufunguka mwenyew kila kitu na mzee alikua amepanga kumpangia na kumwekea kila kitu ndani. Mzee bedui sana yule sijui kam hakumla maana demu mwenyew tulikuja kuachana baadae.
Zaidi ya hapo sijawah kupiga tena mwanamke na sipendi kabisa, haya matukio mawili nayajutia na nahisi hatia mpaka leo
 
Tupe na Experience alizingua nini ..?[emoji23]

Mimi niliiba Simu yake nikazama wwenye Mmsg, kufanya upembuzi nikakuta anachati na mwamba anamsifia eti nimtamu! [emoji23][emoji23]

Nikamuliza Uyu nani?
Kimya, Nilimlukia buti kama la Vandamme[emoji2] Nilimpiga mpaka akazima

Eti akataka kunipeleka Police, Badaye familia ikaongea na Familia yao wakayamaliza. Ikapita kama mwezi hivi tukaja kukutana nikamuomba msamaha akakubali tukarudiana [emoji2]

Kawaida sana hasa kwenye extreme cases.
 
Mimi kupiga mwanamke siwezi japo ni mkurya,sitaki kuwa kama wazee wangu ila niko radhi nimuachie mwanamke nyumba kama hanipi amani na nikaendelea na maisha mengine...kumpiga mwanamke sio sahihi ni kumuonea coz hawezi kupambana na wewe
Bas zamani nlikua na mawazo kama yako......ila sa iv nikikumbuka jinsi nlivyojenga kwa shida afu nimwachie mwanamke kisa utopolo wake bora nimnawe makofi tuu!
 
Mimi nilimpiga kwasababu ya wivu wake wa kijinga jinga. Kuna siku alinikuta na demu rafiki yangu kanishika mkono, akaanza matusi. Nilimpa kibano hadi demu rafiki akanisii nimwache
 
Back
Top Bottom