Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sijawahi na wala hata kufikiria hilo jambo.
Lakini pia siwezi ku rule out kua sitakuja kufanya maana wanawake sio wazima kichwani[emoji23], anaweza kukuvuruga ukajikuta umefanya ambayo hukuyategemea. Never say never.
Hahahaha Tata muraa Hawa viumbe wanauzi . Ila unamoyo wa pekee mkuu amani ya bwana iwe naweMimi kupiga mwanamke siwezi japo ni mkurya,sitaki kuwa kama wazee wangu ila niko radhi nimuachie mwanamke nyumba kama hanipi amani na nikaendelea na maisha mengine...kumpiga mwanamke sio sahihi ni kumuonea coz hawezi kupambana na wewe
Sure.mwamba anayumba sana.
Duuh wanawake wanazingua sana...Mimi nilimkata makofi hata kaa asahau sababu alizidisha dharau na sipendagi ujinga na mahusiano yakafa hapo hapo. Sasa hivi ni single mother full kunipigia simu anaomba hela ya maziwa ya mtoto.Sipokeagi wala sijibu text zake.
Huo mwezi sasa ndio jamaa alipelekewa mzigo mzima mzima day and nightTupe na Experience alizingua nini ..?[emoji23]
Mimi niliiba Simu yake nikazama wwenye Mmsg, kufanya upembuzi nikakuta anachati na mwamba anamsifia eti nimtamu! [emoji23][emoji23]
Nikamuliza Uyu nani?
Kimya, Nilimlukia buti kama la Vandamme[emoji2] Nilimpiga mpaka akazima
Eti akataka kunipeleka Police, Badaye familia ikaongea na Familia yao wakayamaliza. Ikapita kama mwezi hivi tukaja kukutana nikamuomba msamaha akakubali tukarudiana [emoji2]
Weeeee wa siku hizi anakuvuta "biology" ukizubaa, sema the best ni kwamba hakuna sababu ya msingi kufanya hivyo, napenda amani sana! I hold issues to my heart na sipendi kelele!Mimi kupiga mwanamke siwezi japo ni mkurya,sitaki kuwa kama wazee wangu ila niko radhi nimuachie mwanamke nyumba kama hanipi amani na nikaendelea na maisha mengine...kumpiga mwanamke sio sahihi ni kumuonea coz hawezi kupambana na wewe
Tupe na Experience alizingua nini ..?[emoji23]
Mimi niliiba Simu yake nikazama wwenye Mmsg, kufanya upembuzi nikakuta anachati na mwamba anamsifia eti nimtamu! [emoji23][emoji23]
Nikamuliza Uyu nani?
Kimya, Nilimlukia buti kama la Vandamme[emoji2] Nilimpiga mpaka akazima
Eti akataka kunipeleka Police, Badaye familia ikaongea na Familia yao wakayamaliza. Ikapita kama mwezi hivi tukaja kukutana nikamuomba msamaha akakubali tukarudiana [emoji2]
Bas zamani nlikua na mawazo kama yako......ila sa iv nikikumbuka jinsi nlivyojenga kwa shida afu nimwachie mwanamke kisa utopolo wake bora nimnawe makofi tuu!Mimi kupiga mwanamke siwezi japo ni mkurya,sitaki kuwa kama wazee wangu ila niko radhi nimuachie mwanamke nyumba kama hanipi amani na nikaendelea na maisha mengine...kumpiga mwanamke sio sahihi ni kumuonea coz hawezi kupambana na wewe
HakikaMimi kupiga mwanamke siwezi japo ni mkurya,sitaki kuwa kama wazee wangu ila niko radhi nimuachie mwanamke nyumba kama hanipi amani na nikaendelea na maisha mengine...kumpiga mwanamke sio sahihi ni kumuonea coz hawezi kupambana na wewe
Yaani girlfriend unampiga ukimuoa si ndio utamtoa meno ya barazani kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app