Hivi umewahi kumpiga girlfriend wako?

Hivi umewahi kumpiga girlfriend wako?

Tupe na Experience alizingua nini?[emoji23]

Mimi niliiba simu yake nikazama kwenye Messages. Kufanya upembuzi nikakuta anachati na mwamba anamsifia eti ni mtamu! [emoji23][emoji23]

Nikamuuliza huyu nani? Akabaki kimya! Nilimrukia buti kama la Van damme [emoji2]. Nilimpiga mpaka akazima.

Eti akataka kunipeleka Polisi, baadaye familia ikaongea na familia yao wakayamaliza. Ikapita kama mwezi hivi tukaja kukutana nikamuomba msamaha akakubali tukarudiana [emoji2]

We nae inabd uliwe tu unaomba msamaha wa nini sasa ...hamna uanaume hapa
 
Bas zamani nlikua na mawazo kama yako......ila sa iv nikikumbuka jinsi nlivyojenga kwa shida afu nimwachie mwanamke kisa utopolo wake bora nimnawe makofi tuu!
Hahah mimi nina mdomo mchafu yaani nikimgombeza analia bila kupigwa...sasa mtu analia bila kupigwa,ukipiga si anakufa.Plus nina vitimbi ambavyo nikifanya yeye mwenyewe ataiacha nyumba na kuondoka bila kupigwa
 
Hahah mimi nina mdomo mchafu yaani nikimgombeza analia bila kupigwa...sasa mtu analia bila kupigwa,ukipiga si anakufa.Plus nina vitimbi ambavyo nikifanya yeye mwenyewe ataiacha nyumba na kuondoka bila kupigwa
[emoji23][emoji23]
 
Hahah mimi nina mdomo mchafu yaani nikimgombeza analia bila kupigwa...sasa mtu analia bila kupigwa,ukipiga si anakufa.Plus nina vitimbi ambavyo nikifanya yeye mwenyewe ataiacha nyumba na kuondoka bila kupigwa
vitimbi gani hivyo?
 
Back
Top Bottom