Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Nimelishangaa sana [emoji15][emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimelishangaa sana [emoji15][emoji15]
Mtu kama huyo nyumbani kuna watu wanamuita babaNimelishangaa sana [emoji15][emoji15]
Dah!!!,hapo kuna mawili,moja yawezekana una nidhamu sana kiasi kwamba jamaa haoni shida yoyote kwako,hilo nasema kwasababu ndivyo mke wangu alivyo,kwa hiyo sijawahi kumpiga;Pili inawezekana wewe ni mbabe sana kiasi kwamba kidume hakohoi kwako,akishaingia ndani ni kufyata mkia mwanzo mwisho.Nasema sijui kwa sababu sijawahi kupigwa, nje na mzazi wangu hakuna mtu aliyewahi kunipiga, kunifokea wala kuninyooshea kidole
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah wapi..Sina hasira hizo..Mimi nakubonda haswaaWewe ndiyo wale ugomvi ukitokea mnaovunjavunja vyombo na tv zetu, tunaanza upya hasira zikiisha
None of the aboveDah!!!,hapo kuna mawili,moja yawezekana una nidhamu sana kiasi kwamba jamaa haoni shida yoyote kwako,hilo nasema kwasababu ndivyo mke wangu alivyo,kwa hiyo sijawahi kumpiga;Pili inawezekana wewe ni mbabe sana kiasi kwamba kidume hakohoi kwako,akishaingia ndani ni kufyata mkia mwanzo mwisho.
Dah!!!,kwa hiyo nimelamba galasa???.Basi limbwata linahusika au huna kidume wa kupoza injini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah!!!,kwa hiyo nimelamba galasa???.Basi limbwata linahusika au huna kidume wa kupoza injini.
Tena anaheshimika, two kids for now....mwanamke yeyote huwa anakupima aone una msimamo au unamfata fata yeye,ukimsikiliza basi atakupanda kichwani
Hamna mwanaume,baba wa familia haongei na mkewe...mwanamke ni kama mtoto kama hutompiga lazima uongee nae kwa kila namna mpaka akueleweNimelishangaa sana [emoji15][emoji15]
Hahah wewe umpige mwanaume labda hujazaa,wanawake wa sasa hivi wanazaa kwa kisu ukimgusa kidogo analia mshono na akifanya kazi kidogo analia mgongoAah wapi..Sina hasira hizo..Mimi nakubonda haswaa
Ndio umtukane?Hamna mwanaume,baba wa familia haongei na mkewe...mwanamke ni kama mtoto kama hutompiga lazima uongee nae kwa kila namna mpaka akuelewe
🤔Hahah wewe umpige mwanaume labda hujazaa,wanawake wa sasa hivi wanazaa kwa kisu ukimgusa kidogo analia mshono na akifanya kazi kidogo analia mgongo
Hahah sio kumdhalilisha hapana,ushawahi kushikwa hasira maneno kama mjinga,huna akili wewe yanakuja ghafla tu
Unajua maana ya mdomo mchafu?Hahah sio kumdhalilisha hapana,ushawahi kushikwa hasira maneno kama mjinga,huna akili wewe yanakuja ghafla tu
Tupe na Experience alizingua nini?[emoji23]
Mimi niliiba simu yake nikazama kwenye Messages. Kufanya upembuzi nikakuta anachati na mwamba anamsifia eti ni mtamu! [emoji23][emoji23]
Nikamuuliza huyu nani? Akabaki kimya! Nilimrukia buti kama la Van damme [emoji2]. Nilimpiga mpaka akazima.
Eti akataka kunipeleka Polisi, baadaye familia ikaongea na familia yao wakayamaliza. Ikapita kama mwezi hivi tukaja kukutana nikamuomba msamaha akakubali tukarudiana [emoji2]
Kwa upande wangu nilimaanisha nina maneno makali ya kuliza kabisa sio ya kudhalilisha jinsia fulani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Nyie jisifieni ujinga tu.
Siku tukiyakamata hayo makende tutaning'inia nayo.
Issue siyo kutongozwa mkuu, ila ni kuona dalil zote za manz kumkubalia huyo mtu.Sasa we unamuacha mtu kisa anatongozwa? Kuna mwanamke asiyetongozwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe dalili sio kwamba amemkubalia.. kwa nini usipiganie penzi lako na uhakikishe anaahirisha kumkubalia?Issue siyo kutongozwa mkuu, ila ni kuona dalil zote za manz kumkubalia huyo mtu.