Hivi umewahi kumpiga girlfriend wako?

Hivi umewahi kumpiga girlfriend wako?

Nimemlamba vibao majirani wakaanza Maneno eti nampiga sana mke wangu.

Dah. Baada ya kuona anadamu ukeni, niliona ametoa mimba, wkt huo anakunywa vidonge flan vya kutibu ndani kwa ndani.

Baadae niliona nimemtendea kosa.

Sent from my itel A44 using JamiiForums mobile app
 
Tupe na Experience alizingua nini?[emoji23]

Mimi niliiba simu yake nikazama kwenye Messages. Kufanya upembuzi nikakuta anachati na mwamba anamsifia eti ni mtamu! [emoji23][emoji23]

Nikamuuliza huyu nani? Akabaki kimya! Nilimrukia buti kama la Van damme [emoji2]. Nilimpiga mpaka akazima.

Eti akataka kunipeleka Polisi, baadaye familia ikaongea na familia yao wakayamaliza. Ikapita kama mwezi hivi tukaja kukutana nikamuomba msamaha akakubali tukarudiana [emoji2]
Ha ha haa,buti la van damme .Ulitaka kuua
 
Mi sitarudia maana nilijitia ujasusi na ukomandoo alikuwa dada fulani hivi chibonge kiasi ktk kurukaruka taikondo na taichii zangu si nikakosea nikaachia korodani zikakaa usawa wake!,na alivyo na kiganja kilichojaa nyie acheni tu nilibinywa mpaka kibofu kilijaa ghafla niliutoa mkojo ulikuwa wabaridi ikabidi aniachie tu!.
Hiyo ndio siku niliyotumbua jicho mithiri ya Ng'ombe anaangalia kitu cha nyuma ila kaelekea mbele!. Ukitaka kupigana na ke jihadhari Sana na kende zako
 
Dah naogopa kupigwa, nakumbuka nilikua nikiona nimemuudhi mwenzangu kanuna na kuna dalili zisielewi kama kipigo kinanukia hivi, nilikua namkumbatia kwa nguvu namkiss shavuni, anaishia kucheka na kunisema unajidai mjanja wakati muogaaa😂😂
Hahahah!hizi mbinu za kupooza vita wkt wa mabomu yanarushwa umezitolea wapi?....itabidi tukupeleke Afghanistani huko.
 
Hahahah!hizi mbinu za kupooza vita wkt wa mabomu yanarushwa umezitolea wapi?....itabidi tukupeleke Afghanistani huko.
Sasa vita huiwezi mkuu na ukizembea unapigwa kweli, ni kujiongeza tu hadi ilikua akiona amekasirika anaanza kucheka tu maana anajua kitakachofuata ni bonge la kiss na kumbato😂😂

Mmh waafughanistans hawaelewi mambo ya makumbato na kisses ni mabomu tu akaa siendi😂
 
Mimi nilimkata makofi hata kaa asahau sababu alizidisha dharau na sipendagi ujinga na mahusiano yakafa hapo hapo. Sasa hivi ni single mother full kunipigia simu anaomba hela ya maziwa ya mtoto.Sipokeagi wala sijibu text zake.
Usiwe na roho mbaya hivyo mkuu, mtoe Mara moja moja
 
Mimi nilimkata makofi hata kaa asahau sababu alizidisha dharau na sipendagi ujinga na mahusiano yakafa hapo hapo. Sasa hivi ni single mother full kunipigia simu anaomba hela ya maziwa ya mtoto.Sipokeagi wala sijibu text zake.
Hahahaa Mangi
 
Dah naogopa kupigwa, nakumbuka nilikua nikiona nimemuudhi mwenzangu kanuna na kuna dalili zisielewi kama kipigo kinanukia hivi, nilikua namkumbatia kwa nguvu namkiss shavuni, anaishia kucheka na kunisema unajidai mjanja wakati muogaaa[emoji23][emoji23]
Na mwanamke kama wewe ni ngumu Sana kupigwa. Wanaume wengi hatuna hasira za juu kwa mwanamke anayejishusha.

My x alikuwa akiona amenikasirisha anaomba msamaha. Halafu Sasa baadae Sana au siku nyingine ndipo anaanza kunieleza kwa upole, kwa heshima na adabu kwa Nini alifanya vile.
 
Back
Top Bottom