Aisee niliwahi mpiga dem wangu Nikahisi nimeua sitowahi rudia, maana skuhyo ndo nlijua hasira hasara. Inshort wanawake ni kama watoto kuwaelewa ni kazi sana, Nakumbuka Nilikua naongea na mteja wangu alipiga cm usiku ni mwanamke kuna mzigo alihitaji kuupata alfajiri sana afu n hela nyingi kiasi. Ile naongea nae hatujamalizana dem kanipokonya cm anamtukana bila kuuliza aisee, mixer kukata cm. Nilimpiga makofi kwa hasira nakumbuka alikua mjamzito mimba ya wiki mbili. Iliharibika dam zinavuja analia tu nikaanza kuhangaika usiku ule kutafuta usafiri saa kuwahi hospital. Nilijua nimeua maana alizimia, Mpaka Leo sijawah kudhubutu tena . Akinikwaza huwa naondoka tu kukaa mbali kwa mda then narudi hasira zikiisha.