Hivi umewahi kumpiga girlfriend wako?

Hivi umewahi kumpiga girlfriend wako?

Na mwanamke kama wewe ni ngumu Sana kupigwa. Wanaume wengi hatuna hasira za juu kwa mwanamke anayejishusha.

My x alikuwa akiona amenikasirisha anaomba msamaha. Halafu Sasa baadae Sana au siku nyingine ndipo anaanza kunieleza kwa upole, kwa heshima na adabu kwa Nini alifanya vile.
Hakika kujishusha ni muhimu na si ujinga, wote mkipanda mtaishia kuumizana tu, wengine tunaogopa afu wanaume mlivokomaa hivo eti umletee jeuri si atakuua mmh ugali bado naupenda mimi🤪
 
Aisee niliwahi mpiga dem wangu Nikahisi nimeua sitowahi rudia, maana skuhyo ndo nlijua hasira hasara. Inshort wanawake ni kama watoto kuwaelewa ni kazi sana, Nakumbuka Nilikua naongea na mteja wangu alipiga cm usiku ni mwanamke kuna mzigo alihitaji kuupata alfajiri sana afu n hela nyingi kiasi. Ile naongea nae hatujamalizana dem kanipokonya cm anamtukana bila kuuliza aisee, mixer kukata cm. Nilimpiga makofi kwa hasira nakumbuka alikua mjamzito mimba ya wiki mbili. Iliharibika dam zinavuja analia tu nikaanza kuhangaika usiku ule kutafuta usafiri saa kuwahi hospital. Nilijua nimeua maana alizimia, Mpaka Leo sijawah kudhubutu tena . Akinikwaza huwa naondoka tu kukaa mbali kwa mda then narudi hasira zikiisha.
 
Sasa vita huiwezi mkuu na ukizembea unapigwa kweli, ni kujiongeza tu hadi ilikua akiona amekasirika anaanza kucheka tu maana anajua kitakachofuata ni bonge la kiss na kumbato😂😂

Mmh waafughanistans hawaelewi mambo ya makumbato na kisses ni mabomu tu akaa siendi😂
Hahah!njia yako ya usuluhishi nmeipenda.I wish I could be ur partiner!!!tutafanya namna tukupe kakitengo pale UN
 
Tupe na Experience alizingua nini?[emoji23]

Mimi niliiba simu yake nikazama kwenye Messages. Kufanya upembuzi nikakuta anachati na mwamba anamsifia eti ni mtamu! [emoji23][emoji23]

Nikamuuliza huyu nani? Akabaki kimya! Nilimrukia buti kama la Van damme [emoji2]. Nilimpiga mpaka akazima.

Eti akataka kunipeleka Polisi, baadaye familia ikaongea na familia yao wakayamaliza. Ikapita kama mwezi hivi tukaja kukutana nikamuomba msamaha akakubali tukarudiana [emoji2]
Siku hizi magonjwa mengi ukjona kama ana kuzingua unampiga chini.
 
Juzi nimekungunta mtoto wa watu mangumi vifuti vya kutosha akajivutavuta akaenda kwao,nilivyotulia kichwani nikaanza kirudunia jinsi nilivyokua nampiga aisee sikulala, nilikua nawaza anaweza kulata moto, nikawa nawaza jinsi navyofatwa na mapolisi napelekwa jera kulala mchongoma dah! + story za jera kua ukilegeza wanakulegeza, kulipokucha nikamtafuta dogo wa mtaani kwao nikampanga akaangalie kama fulani kaamka dogo naleta taarifa mimi niko mbali kweli namchungulia nilivyoona kuna usalama nkajitokeza kamuuliza vipi akanijibu kaamka yupo anafua, nikashusha pumzi

Nimeapa sitopiga mtoto wa watu tena mimi hata aniudhi vipi.
 
Aisee niliwahi mpiga dem wangu Nikahisi nimeua sitowahi rudia, maana skuhyo ndo nlijua hasira hasara. Inshort wanawake ni kama watoto kuwaelewa ni kazi sana, Nakumbuka Nilikua naongea na mteja wangu alipiga cm usiku ni mwanamke kuna mzigo alihitaji kuupata alfajiri sana afu n hela nyingi kiasi. Ile naongea nae hatujamalizana dem kanipokonya cm anamtukana bila kuuliza aisee, mixer kukata cm. Nilimpiga makofi kwa hasira nakumbuka alikua mjamzito mimba ya wiki mbili. Iliharibika dam zinavuja analia tu nikaanza kuhangaika usiku ule kutafuta usafiri saa kuwahi hospital. Nilijua nimeua maana alizimia, Mpaka Leo sijawah kudhubutu tena . Akinikwaza huwa naondoka tu kukaa mbali kwa mda then narudi hasira zikiisha.
Uliua mtoto tumboni unatakiwa ushtakiwe upigwe mvua mia saba.
 
Tupe na Experience alizingua nini?[emoji23]

Mimi niliiba simu yake nikazama kwenye Messages. Kufanya upembuzi nikakuta anachati na mwamba anamsifia eti ni mtamu! [emoji23][emoji23]

Nikamuuliza huyu nani? Akabaki kimya! Nilimrukia buti kama la Van damme [emoji2]. Nilimpiga mpaka akazima.

Eti akataka kunipeleka Polisi, baadaye familia ikaongea na familia yao wakayamaliza. Ikapita kama mwezi hivi tukaja kukutana nikamuomba msamaha akakubali tukarudiana [emoji2]
Mwanaume dhaifu tu ndio anapiga mwanamke
 
Back
Top Bottom