Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1][emoji2] alikuwa ana kupiga au alikuwa ana taka kukubaka.Kuna mshikaji aliniita kwake tuzungumze kuhusu issue ya pesa(Kuna biashara huwa tunafanya).Ghafla akanibadilikia anataka mzigo, nikamnyima na kutoka nje .
Akanifuata huku anabembeleza, nikakataa aise kilichofuata alinipiga mtama na ngumi na mimi nikaanza kumngata na kuminya makorodani yake mpaka mlinzi akaja kutuamulia...
Ila dah, unampiga mwanamke kisa umenyimwa mzigo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Kuna wanaume vilaza kweli.
Ananipima ngumi why nambania mbususu utafikiri ya kwake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1][emoji2] alikuwa ana kupiga au alikuwa ana taka kukubaka.
Labda alikuwa ana kusaidiaga vitu vingi kwa kutegemea na wewe uta mpatia mbususu kumbe akili yako na yake ina taka vitu viwili tofautiAnanipima ngumi why nambania mbususu utafikiri ya kwake[emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini haikuwa, na siwez kurudia tena.Uliua mtoto tumboni unatakiwa ushtakiwe upigwe mvua mia saba.
Hakuna kitu kama hicho.It was just business only.Labda alikuwa ana kusaidiaga vitu vingi kwa kutegemea na wewe uta mpatia mbususu kumbe akili yako na yake ina taka vitu viwili tofauti
Ange kuwa mvumilivu,kujitolea na upole unge muonea uhuruma Tu siku moja, kaka wawatu angekula mzigo tu kimasiala one day, sasa yeye ana tumia ubabeHakuna kitu kama hicho.It was just business only.
Mtoto anaendeleaje?Vichwa vya wanawake sijui vina nini yani!Mi bhana siku hiyo nilikuwa naenda mazoezi asubuhi alfajiri,nikasikia katoto kachanga kanalia kwenye migomba maana ni njia yangu nayopitia,basi bhana mi nikamchukua yule mtoto nikarudi naye nyumbn.Kufika hata sijaanza kuelezea imekuwaje nimerudi na mtoto nimemtoa wapi mtu mzima nikasukumwa ht sijui katoka wapi wife kama zimwi.Aise nilipiga kama naua nyoka.Mpaka leo hajawahi rudia upuuzi wake wa kunijaribu jaribu kama nguo ya kuvaa..
Mi sitarudia maana nilijitia ujasusi na ukomandoo alikuwa dada fulani hivi chibonge kiasi ktk kurukaruka taikondo na taichii zangu si nikakosea nikaachia korodani zikakaa usawa wake!,na alivyo na kiganja kilichojaa nyie acheni tu nilibinywa mpaka kibofu kilijaa ghafla niliutoa mkojo ulikuwa wabaridi ikabidi aniachie tu!.
Hiyo ndio siku niliyotumbua jicho mithiri ya Ng'ombe anaangalia kitu cha nyuma ila kaelekea mbele!. Ukitaka kupigana na ke jihadhari Sana na kende zako
Aise ni story ndefu maana kipindi hicho na mke wangu alikuwa na mtoto mchanga ila sijui huyu niliyemkuta mgombani alikuwa ana siku ngapi kwa haraka ukimuangalia ni kama wanalingana ila namshukuru Mungu wamekua pamoja na sasa hivi kama mapachaMtoto anaendeleaje?
[emoji28][emoji1][emoji2][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]ukomeeeeeMi sitarudia maana nilijitia ujasusi na ukomandoo alikuwa dada fulani hivi chibonge kiasi ktk kurukaruka taikondo na taichii zangu si nikakosea nikaachia korodani zikakaa usawa wake!,na alivyo na kiganja kilichojaa nyie acheni tu nilibinywa mpaka kibofu kilijaa ghafla niliutoa mkojo ulikuwa wabaridi ikabidi aniachie tu!.
Hiyo ndio siku niliyotumbua jicho mithiri ya Ng'ombe anaangalia kitu cha nyuma ila kaelekea mbele!. Ukitaka kupigana na ke jihadhari Sana na kende zako
Mimi huyu kabisa muoga balaa!Hakika kujishusha ni muhimu na si ujinga, wote mkipanda mtaishia kuumizana tu, wengine tunaogopa afu wanaume mlivokomaa hivo eti umletee jeuri si atakuua mmh ugali bado naupenda mimi[emoji2957]
Ina maana unamlea kama wako hapo nyumbani?mkeo alimkubali!Aise ni story ndefu maana kipindi hicho na mke wangu alikuwa na mtoto mchanga ila sijui huyu niliyemkuta mgombani alikuwa ana siku ngapi kwa haraka ukimuangalia ni kama wanalingana ila namshukuru Mungu wamekua pamoja na sasa hivi kama mapacha
😂 Vibonge vidogo mnashadadia sasaPopote alipo kibonge huyu awe soda jf watalipia!!!!
Unaijua taikondo wewe..😀[emoji28][emoji1][emoji2][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]ukomeeeee
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app