Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Halafu unaaminishwa ni sa kipekee sanaKwamba unanunua tambi shilingi million 8
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu unaaminishwa ni sa kipekee sanaKwamba unanunua tambi shilingi million 8
Angalau hao wanakuachia virutubisho , Q-Net wanakuchapa kitu kinaitwa Total Loss
Ukitaka kujua kama Bongo hata 'kekundu-kale-kapesa' ni wadau wa serikali we jichanganye tu!🤡Serikali ndo inapaswa iwafutie leseni, kama nchi nyingine, tatizo wanapiga sana pesa na kuipoza serikali .
Wameshavurugwa mixer kuuza mashamba ya wazee kijijini alooohYaan hataree tupu, afu sasa ni wabishi hawaelewi yaan.
Huko mbona bado ni usukumani... kabisa kabisa, Kishimbe wa Kishimbe ni msukuma! ... shida ni kwamba mimi ni msukuma born town, yaani nimezaliwa mtaa wa Karuta, Mwanza city, Primary school Nyakabungo, Secondari Mwanza seko, High school Tambaza .... !
UTANIPATA WAPI?
😅😅😅😅
Kodi gani mkuu? Msikariri kila kitu mnasema kodi, haya hapo kodi gani inatakiwa kulipwa?Hawa jamaa TRA wakikaa vizuri wanaweza kuwadai record ya mauzo yao ili waangalie kama hizo million 5-5-5 kama huwa zinalipiwa kodi
Sasa Saambaya, Bashite na Jiwe wana tofauti gani mkuu?Walimu ndo wahanga wa Q net sabaya alikuwa anapambana nao mkamuona mtu mbaya
Hahaha hatari sana.Walinionesha hii pcha nkawaamini [emoji28] , ... Nkawaambia hyo 4.8m sina cash hapa , wakanshauri nkauze mbao za mzee nije niwape , eti nkishakua tajiri ntamrudishia mzee mbao zake [emoji28].. dah ningekua nalia sahivView attachment 2271667
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Nilipo bold unamaanisha nini[emoji23][emoji23][emoji23] kuna ndugu yangu mmoja alinipigia Simu akaniambia niende Mikocheni kuna jambo anataka kuniambia akanielekeza karibu na kwa Mch. Mtikila nafika pale nakaribishwa aisee na watu waliofanikiwa wamenunua magari ya kifahari (sound) jamaa wanaongea wale acha, uzuri nilikua nishakutana nao watu jamii hiyo kama Forever Living nikawasikiliza tu.
Nilipotoka pale yule ndugu yangu nilimtukana acha kabisa. Yaani pamoja na usomi wangu lakini alikamatwa kipuuzi, hadi leo huwa analia.
Maisha ni kuchagua.
Watakuwa wamerogwa wale vijana maana wanaongea vitu vya ajabu[emoji3][emoji3][emoji3]Nilimsikia yule dada ni kiazi kweli kweli
Hawawezi kushitakiwa nchi imefunguliwa atawewe unaweza ukaagiza kuku wa kienyeji kutoka singida ukauza kuku mmoja laki 6 na mteja akinunua utakuwa hujafanya kosa lolote.Wakati wa Mchonga na Sokoine (RIP) Mwaka 1984 serikali ilikuja na kamata kamata ya wafanyabiashara waliokuwa wanauza bidhaa zaidi ya bei kikomo.. Wakaitwa WALANGUZI na kitendo chenyewe kikaitwa ULANGUZI
Mashushushu wa serikali walitawanywa nchi nzima kuwakamata walanguzi.. Ni kosa kisheria kumuuzia mtu kitu juu ya bei kikomo. Qnet wanaweza kushtakiwa kwa hilo
Ulifanikiwa kuwa tajiri?Oriflame ni afadhali kwani kujiunga ilikuwa ni 9000elfu tu nami nilishawahi jiunga
Dawa yao nikuwafungulia kesi ya uhujumu uchumi wateme pesa zote kampuni ushwara kama hizi Jiwe ndiyo alikuwa anaweza kuwakaba man-to-manSerikali ndo inapaswa iwafutie leseni, kama nchi nyingine, tatizo wanapiga sana pesa na kuipoza serikali .