[emoji849] yaani mimi hii Qnet naisikia tu na sijawahi kujua kuwa inaoperate vipi. Yaani wanawakamataje hawa jamaa waliolizwaKuna package ya vacation..misosi inakuwamo humo
Hata kwenye mabango ya ligi kuu pale taifa yapoMimi huwa najiuliza, hii Qnet ya bongo na huko nje ya nchi ni tofauti? Mbona matangazo ya Qnet yanaonekana mpaka kwenye ligi ya England!!!
Mi niliitwa na hao QNet , mwanangu mmoja alinipeleka, nikapigwa msasa day one hii huwa ni special Kwa kuonyeshwa fursa , day two ukirud ndo unaambiwa Gharama za kujoin na namna ya kuweza kumudu hzo Gharama (na hapa ndo sarakasi zilipo) ... Baada ya kupigwa msasa day one nikafatilia nikagundua miyeyusho , hvyo hata day two skurudi, Ila walivyonidokezea ni Sawa tu na hao alliance in motion , forever living and etc , sema QNet wao ni too cost na hawana bidhaa kama hao wengine Ila wao kwao unanunua package ambazo ni[emoji849] yaani mimi hii Qnet naisikia tu na sijawahi kujua kuwa inaoperate vipi. Yaani wanawakamataje hawa jamaa waliolizwa
Wale Alliance in Motion nilifahamu ni ya kuuza supplements, na nilikaribishwa kwenye matangazo yao lakini sikujiunga tu kifupi niliawaambia sintakuwa na muda wa kusupply hizo supplement wala kutafuta member wengine mama mmoja akanisumbua kidogo nikampotezea
Sasa hawa QNET wao wanauza nini? Hao wateja wanawapaje hizo hela, mfano hiyo hela ya msosi M5 wanaitoaje?
[emoji23][emoji23][emoji23] Duuh, yaani kifupi wanakushawishi au wanakupagawisha uwape pesa.Mi niliitwa na hao QNet , mwanangu mmoja alinipeleka, nikapigwa msasa day one hii huwa ni special Kwa kuonyeshwa fursa , day two ukirud ndo unaambiwa Gharama za kujoin na namna ya kuweza kumudu hzo Gharama (na hapa ndo sarakasi zilipo) ... Baada ya kupigwa msasa day one nikafatilia nikagundua miyeyusho , hvyo hata day two skurudi, Ila walivyonidokezea ni Sawa tu na hao alliance in motion , forever living and etc , sema QNet wao ni too cost na hawana bidhaa kama hao wengine Ila wao kwao unanunua package ambazo ni
1. Unanunua saa ( Wana prefer Rolex)
Unapewa inakuwa ya kwako, unavimba nayo mjin
2. Vacation , hapa unapelekwa hotel ya kitalii Nchini Kwa sku moja , unakula bata huko na misosi,
Package zingine nimesahau....
So unachagua package unayoona inafaa kwako , cost per package ni around Million 5, ukichagua ukalipia, account yako inakuwa activated , na chain yako inafunguliwa unaanza kutafuta maraia wengine wajiunge ili ule commission...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna wale madogo wa mbezi walikuwa wanahojiwa...mmoja akasema yeye amenunua centa kwa million tano, mi nikajua hiyo centa ni gari...
Kumbe chakula!![emoji23][emoji23][emoji23]
HahahaZina virutubisho muhimu Sana kwenye mwili wako, virutubisho hivyo vinakukinga dhidi ya maradhi [emoji23][emoji23][emoji23]
Ww inaelekea unawafahamu sana,. Au umeshlizwa.Hivi unaanzaje kuwashitaki QNET?
Kikwelikweli kabisa QNET ni matapeli wanaotumia 'FEARS' za mtu kupitia njia ngumu ya kuupanda mlima mkali na mrefu kuyafikia mafanikio kwa kumpa 'shortcut' hewa! ... LAKINI, KWELI KABISA, HAWASHITAKIKI!
Wanachofanya QNET ni biashara halali kabisa ya kumuuzia mtu bidhaa, kwa ridhaa yake kabisa, na kisha kumuambia mteja kuwatafutia wateja wengine ili wakupe cha juu! ... na kadri unavyo'WALETA'[emoji28] wengi zaidi ndo unvyozidi kunufaika! ... yaani nikinunua mali ya shillingi million tano, japo bei halisi ni elfu hamsini, na nikawashawishi wengine kibao, basi naweza kupata hata million mia moja ... na hawakunyimi!
BIDII YAKO TU! [emoji28] WALETEEE!
SASA WADAU HEBU NIAMBIENI, HASA WANASHERIA, TUNAWAFUNGULIA MASHITAKA QNET KWA VIFUNGU GANI VYA SHERIA?
NB: HAWA JAMAA WANA LESENI HALALI YA BIASHARA NA SERIKALI INAWATAMBUA! ... AMMA NIMELISHWA MATANGO-PORI?
WADAU, MJADALA HUO MEZANI HEBU LETENI HOJA TUKAWASEMEE HAWA QNET KWA MAMA!
UPDATE:
UKIPATA MUDA NA MB[emoji28]:
π π π π π β‘β¨π₯Ww inaelekea unawafahamu sana,. Au umeshlizwa.
Huu ndio uzwazwa ambao nchi inatakiwa kuondokana naoQ net sio matapeli,
Mwanzoni watu walipiga pesa Sana, unajiunga ,unachotakiwa ni kutafuta wateja, ukikosa pesa yako imepotea na ukipata wateja unapata pesa zaidi
Kinachowashinda watu ni namna ya kutafuta hao wateja.
We Nani,aliniambia unatoa mil 5? Au story za vijiweni,Huu ndio uzwazwa ambao nchi inatakiwa kuondokana nao
Unasema ukileta wateja unapata pesa, Je unapata bei gani kwa kila mteja, unapata hiyo fedha kwa muda gani
Je wanakueleza njia mbadala kama ukikosa hao wateja utaweza kuendelea kufaidika na huo mtandao wao
Navyojua mimi sidhani kama kuna hata mmoja aliewahi kulipia hiyo qnet akapewa risiti yenye malipo halali
Inashangaza sana kauona kijana anatoa mamilioni kwa ajili ya huu upuuzi, millioni tano si unafungua biashara kubwa tu ya mamia ya vifaranga
Hawana tofauti na Q net wanakupa order za matangazo kuanzia 50 uweke fedha uwatangazie bidhaa zao kwa gharama zako than wanakupa commision kwa kila tangazo unalofanya kwa sikuNdio nini?
Halafu unaaminishwa ni sa kipekee sana
... APEWE MAUA YAKE KWAKWELI! π πDawa yao nikuwafungulia kesi ya uhujumu uchumi wateme pesa zote kampuni ushwara kama hizi Jiwe ndiyo alikuwa anaweza kuwakaba man-to-man