Hivi unaendaje kuweka karakana ya Mwendokasi katikati ya mji? Bado hamjajifunza kwa kilichotokea Jangwani?

Hivi unaendaje kuweka karakana ya Mwendokasi katikati ya mji? Bado hamjajifunza kwa kilichotokea Jangwani?

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Bado hamjajifunza tu, mwanzo mlifosi mkaweka karakana pale Jangwani, kilichowapata kila mtu anajua.

Mwaka huu tena mmeamka na akili zenu finyu mnataka kwenda kuweka karakana pale Simu 2000 a.k.a Mawasiliano. Hivi ni mnatumia akili kufikiri au mnatumia mgongo?

Kwa sasa mradi wa mwendokasi umefika mpaka Kibaha, kwa nini msipeleke karakana huko nje ya mji ambako kuna maeneo ya wazi makubwa yasiyo na shughuli zozote za kiuchumi?

Kwa nini muende kuwasumbua wafanyabiashara na wananchi wa katikati ya mji ambako tayari wamesettle kimaisha na kiuchumi, mnataka tena waanze kuhangaika maeneo mengine ya ku settle, kwani inawashinda nn nyie kutafuta eneo lisilo na kelele nyingi kama huko nje ya mji?

Ifike mahali hawa Wakurugenzi na Wakuu wa Mikoa au Wilaya wateuliwe kwa kuangalia ufanisi wao katika kufikiri.

 
Bado hamjajifunza tu, mwanzo mlifosi mkaweka karakana pale Jangwani, kilichowapata kila mtu anajua.

Mwaka huu tena mmeamka na akili zenu finyu mnataka kwenda kuweka karakana pale Simu 2000 a.k.a Mawasiliano. Hivi ni mnatumia akili kufikiri au mnatumia mgongo?

Kwa sasa mradi wa mwendokasi umefika mpaka Kibaha, kwa nini msipeleke karakana huko nje ya mji ambako kuna maeneo ya wazi makubwa yasiyo na shughuli zozote za kiuchumi?

Kwa nini muende kuwasumbua wafanyabiashara na wananchi wa katikati ya mji ambako tayari wamesettle kimaisha na kiuchumi, mnataka tena waanze kuhangaika maeneo mengine ya ku settle, kwani inawashinda nn nyie kutafuta eneo lisilo na kelele nyingi kama huko nje ya mji?

Ifike mahali hawa Wakurugenzi na Wakuu wa Mikoa au Wilaya wateuliwe kwa kuangalia ufanisi wao katika kufikiri.

View attachment 3036624
Rushwa tupu
 
Kama kweli ni mkaaji wa BONGO hii usishangae sana, miradi yetu ya leo ni mitego ya mapigo ya miaka ijayo.
 
Makongo ni camp ya makundi

Nauliza pale njia panda ya Kwa Genta 😂
Pale sijajua hata wanachojenga..... Alafu inakuwaje maeneo nyeti kama yale wanajengajenga tu, pale si ndiyo siri zote za ulinzi za nchi ziliko?
 
Serkali ya Chura kiziwi inatumia ugwe mgongo kung'amua mambo
 
Bado hamjajifunza tu, mwanzo mlifosi mkaweka karakana pale Jangwani, kilichowapata kila mtu anajua.

Mwaka huu tena mmeamka na akili zenu finyu mnataka kwenda kuweka karakana pale Simu 2000 a.k.a Mawasiliano. Hivi ni mnatumia akili kufikiri au mnatumia mgongo?

Kwa sasa mradi wa mwendokasi umefika mpaka Kibaha, kwa nini msipeleke karakana huko nje ya mji ambako kuna maeneo ya wazi makubwa yasiyo na shughuli zozote za kiuchumi?

Kwa nini muende kuwasumbua wafanyabiashara na wananchi wa katikati ya mji ambako tayari wamesettle kimaisha na kiuchumi, mnataka tena waanze kuhangaika maeneo mengine ya ku settle, kwani inawashinda nn nyie kutafuta eneo lisilo na kelele nyingi kama huko nje ya mji?

Ifike mahali hawa Wakurugenzi na Wakuu wa Mikoa au Wilaya wateuliwe kwa kuangalia ufanisi wao katika kufikiri.

View attachment 3036624
Jamaa anashusha nondo zilizojitosholeza na kutema madini ya uhakika.
 
Kama ni eneo la serikali,Wacha wafanye watakavyo,wakaweke karakana kibaha ambako huenda trip nne kwa siku!!?..hela ya mafuta na kukokota gari mpaka kibaha utawapa wewe!?
 
Bado hamjajifunza tu, mwanzo mlifosi mkaweka karakana pale Jangwani, kilichowapata kila mtu anajua.

Mwaka huu tena mmeamka na akili zenu finyu mnataka kwenda kuweka karakana pale Simu 2000 a.k.a Mawasiliano. Hivi ni mnatumia akili kufikiri au mnatumia mgongo?

Kwa sasa mradi wa mwendokasi umefika mpaka Kibaha, kwa nini msipeleke karakana huko nje ya mji ambako kuna maeneo ya wazi makubwa yasiyo na shughuli zozote za kiuchumi?

Kwa nini muende kuwasumbua wafanyabiashara na wananchi wa katikati ya mji ambako tayari wamesettle kimaisha na kiuchumi, mnataka tena waanze kuhangaika maeneo mengine ya ku settle, kwani inawashinda nn nyie kutafuta eneo lisilo na kelele nyingi kama huko nje ya mji?

Ifike mahali hawa Wakurugenzi na Wakuu wa Mikoa au Wilaya wateuliwe kwa kuangalia ufanisi wao katika kufikiri.

View attachment 3036624
Nadhani waweke.pale urafiki viwandani kwanza kuna reli in case kuna vitu vinatoka bandarini inakuwa poa
 
Back
Top Bottom