Hivi unafahamu kwamba unaweza kuuza Kitu Ulaya bila kodi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti hakuna ccm,nyie watu nyieee!!!yeye anafikiria kuvaa tshirt la kijani lenye nembo Chagua(M)kwamba watu wa ushuru watampita tu
 
Sasa mbona unarudia yale yale???au kwa sababu jamaa hakuandika kizungu???maana wewe umeongeza kizungu tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti hakuna ccm,nyie watu nyieee!!!yeye anafikiria kuvaa tshirt la kijani lenye nembo Chagua(M)kwamba watu wa ushuru watampita tu
hahahaha


swissme
 
Mmmmmmhhh
 


Mkuu Barbarosa,

ungeweka ushahidi wa agreements between EU na THIRD COUNTRIES ingekua vizuri zaidi kuliko maneno matupu me naanza na UK kuweka kama link ambayo unaweza kufollow ili kujua Duties na VAT unatakiwa kulipa kwa kila bidhaa na kiwango chake : Import Duties and Taxes when Importing to the UK - Shippo

Nonetheless, unaweza pata relief kwa baadhi ya bidhaa ila kuna kiwango kila mwaka kama link inavyosema hapa: Imports from outside the EU - Detailed guidance - GOV.UK

Please hebu tupe faida za document ama hata article ya EU na sisi ili wateja wetu wapate faida zaidi.
 
Hata mihadarati? Labda bidhaa zinazozalishwa ndani ya EU au EEA lakini sio nje ya EU, labda tena kama kuna bilateral agreement. Labda Dr. Mahiga, waziri wa foreign affairs atatueleza hili.
 
Hata mihadarati? Labda bidhaa zinazozalishwa ndani ya EU au EEA lakini sio nje ya EU, labda tena kama kuna bilateral agreement. Labda Dr. Mahiga, waziri wa foreign affairs atatueleza hili.


hahahaha UK wana concider kama class C drug ukiingia wazee wakikudaka basi una fine ama:

If you are caught, the police will take action and there is a risk of prosecution. As a Class C drug it
will be illegal to supply, possess with intent to supply and import khat. Sanctions for these offences
for Class C drugs are up to 14 years imprisonment, an unlimited fine or both.

https://www.gov.uk/government/uploa..._data/file/341917/Khat_leaflet_A4_v12__2_.pdf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…