Hivi unaishi vipi na mwanaume miaka 2 bila ndoa?

Hivi unaishi vipi na mwanaume miaka 2 bila ndoa?

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,397
Ujue kuna mambo mengine tunajitakia wenyewe. Hivi mwanamke unaanzaje kuishi na mwanaume miaka mi2 bila ndoa hata Pete ya uchumba tu hajakuvisha mnaishi pamoja miaka yote mi2. Hamtaki kuoana basi zaeni lakin ata kuzaa mmegoma. Unachezewa. Unapotezewa mda. Mtu uko nae toka uko mdogo mpk unazeeka bado uko nae afu unahisi unapendwa 😂

Ndo kama dada mmoja ameishi na boyfriend wake miaka 7 hakuna ndoa wala engagement. Wanaishi nyumba moja. Juzi wameenda wote likizo Paris. Dada wa watu akajua mkaka ata propose kumbe nehi nehi jamaa ameenda kustarehe tu 🤣🤣 Dada ameondoka kwa furaha drama kibao kila kona kurudi amerudi kimya kimya 😂 ata ham ya kushika simu hana 😅 Hapa navoandika dada ameamua kumuacha kaka ati anampotezea muda wake. Miaka yote 7 hukustuka ndo unastuka leo ati unachezewa? We hamnazo 🙃

Mimi nikiona mdada wa hivi sijui namuonaje namuona kama hana akili. Mtu mwenye akili awezi kukaa kwenye relation ya hivi miaka yote hiyo. Alafu mwanaume ukikaa nae mwaka mmoja unajua tu kama yko serious au sio. Kama hayupo serious bora uachane nae mapema kuliko kupotezeana muda.

Mimi bora waniite malaya kuliko kukaa kwenye relationship isiokuwa na nyuma wala mbele kwa kisingizo cha mapenzi. Nilikaa na mjinga mmoja hvi miaka mi3 tena kwa sababu kipindi icho nilikuwa teenager. Baada ya apo nikiona mwanaume yupo yupo namtupia kule tena ndo akiwa hana pesa ata simtazami mara mbili. Mwanaume asiekua na pesa wa nini sasa? Kwanza mwanaume asiekua na pesa anakua hana mapenzi ata kidogo. Mapenzi yake yote anamaliza kwa mama ake na dada zake. Kwa sasa nko engaged na mwakani summer tunaoana Mungu akipenda.

Acheni kuwa na wanaume wasioeleweka msiogope kuanza upya. Saa nyingine kuanza upya kuna heri kuliko kukaa kwa zamani kusipokua na faida yoyote kwako zaidi ya kupoteza mda.
 
tena ndo akiwa hana pesa ata simtazami mara mbili. Mwanaume asiekua na pesa wa nini sasa? Kwanza mwanaume asiekua na pesa anakua hana mapenzi ata kidogo. Mapenzi yake yote anamaliza kwa mama ake na dada zake.

Hapa ndio ulipokosea...

Mwanamke ukiingiza pesa mbele unakuwa ni malaya ambae hajachangamka....
 
Mbona vyuoni mabinti wanakaa kinyumba na maboifurendi wao kwa miaka mitatu na zaidi; na kutoa mimba kibao? Si yale yale tu?

Hawa wako field wanafanya kazi ya kujitolea...na mara nyingi mabaharia baada ya kufaudu mbususu ya bure kwa miaka na miaka mwisho wa siku wanapiga chini na kwenda kuoa mabinti wapya ambao hawajachakazwa sana leaving behind bitter, revengeful, desperate, psychologically damaged, sexually abused, stubborn for nothing creatures. Inasikitisha sana!
 
kama huna kizazi sikuoi ng'ooo
kwanza mahusiano halafu naona tumbo linajibu ndio napeleka posa
Manunga yembe siku hizi wengi
wanataka ukajiLOCK Kanisani halafu linaanza kutamba ngoja nikaome miaka m3 au mtoto mmoja basi na sinyonyeshi nitachuja
 
Mbona vyuoni mabinti wanakaa kinyumba na maboifurendi wao kwa miaka mitatu na zaidi? Si yale yale tu?

Hawa wako field wanafanya kazi ya kujitolea...na mara nyingi mabaharia baada ya kufaudu mbususu ya bure kwa miaka na miaka mwisho wa siku wanapiga chini na kwenda kuoa mabinti wapya ambao hawajachakazwa sana leaving behind bitter, revengeful, psychologically damaged, sexually abused, stubborn for nothing creatures. Inasikitisha sana!
Kwa namna yoyote ile mwanamke anekaa na mwanaume tena nyumba moja zaidi ya mwaka mmoja huyo mwanamke ni mjinga
 
Ujue kuna mambo mengine tunajitakia wenyewe. Hivi mwanamke unaanzaje kuishi na mwanaume miaka mi2 bila ndoa hata Pete ya uchumba tu hajakuvisha mnaishi pamoja miaka yote mi2. Hamtaki kuoana basi zaeni lakin ata kuzaa mmegoma. Unachezewa. Unapotezewa mda. Mtu uko nae toka uko mdogo mpk unazeeka bado uko nae afu unahisi unapendwa [emoji23]

Ndo kama dada mmoja ameishi na boyfriend wake miaka 7 hakuna ndoa wala engagement. Wanaishi nyumba moja. Juzi wameenda wote likizo Paris. Dada wa watu akajua mkaka ata propose kumbe nehi nehi jamaa ameenda kustarehe tu [emoji1787][emoji1787] Dada ameondoka kwa furaha drama kibao kila kona kurudi amerudi kimya kimya [emoji23] ata ham ya kushika simu hana [emoji28] Hapa navoandika dada ameamua kumuacha kaka ati anampotezea muda wake. Miaka yote 7 hukustuka ndo unastuka leo ati unachezewa? We hamnazo [emoji854]

Mimi nikiona mdada wa hivi sijui namuonaje namuona kama hana akili. Mtu mwenye akili awezi kukaa kwenye relation ya hivi miaka yote hiyo. Alafu mwanaume ukikaa nae mwaka mmoja unajua tu kama yko serious au sio. Kama hayupo serious bora uachane nae mapema kuliko kupotezeana muda.

Mimi bora waniite malaya kuliko kukaa kwenye relationship isiokuwa na nyuma wala mbele kwa kisingizo cha mapenzi. Nilikaa na mjinga mmoja hvi miaka mi3 tena kwa sababu kipindi icho nilikuwa teenager. Baada ya apo nikiona mwanaume yupo yupo namtupia kule tena ndo akiwa hana pesa ata simtazami mara mbili. Mwanaume asiekua na pesa wa nini sasa? Kwanza mwanaume asiekua na pesa anakua hana mapenzi ata kidogo. Mapenzi yake yote anamaliza kwa mama ake na dada zake. Kwa sasa nko engaged na mwakani summer tunaoana Mungu akipenda.

Acheni kuwa na wanaume wasioeleweka msiogope kuanza upya. Saa nyingine kuanza upya kuna heri kuliko kukaa kwa zamani kusipokua na faida yoyote kwako zaidi ya kupoteza mda.
Niwe na Ela nisiwe nazo dada na mama watapendwa kuliko mke

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ulikaa na mwanaume miaka mitatu ukiwa teenager. Means ulikuwa nae ukiwa na miaka 17 mpk 19. Na huyo hakukuta bikra, kwa mana iyo kuanzia miaka 16 ulishaanza michezo mibaya aka mizuri. Aisee iyo k si imetembea km nyingi sana. Yani kama gari ni sklepa haliuziki jooh
 
Ujue kuna mambo mengine tunajitakia wenyewe. Hivi mwanamke unaanzaje kuishi na mwanaume miaka mi2 bila ndoa hata Pete ya uchumba tu hajakuvisha mnaishi pamoja miaka yote mi2. Hamtaki kuoana basi zaeni lakin ata kuzaa mmegoma. Unachezewa. Unapotezewa mda. Mtu uko nae toka uko mdogo mpk unazeeka bado uko nae afu unahisi unapendwa [emoji23]

Ndo kama dada mmoja ameishi na boyfriend wake miaka 7 hakuna ndoa wala engagement. Wanaishi nyumba moja. Juzi wameenda wote likizo Paris. Dada wa watu akajua mkaka ata propose kumbe nehi nehi jamaa ameenda kustarehe tu [emoji1787][emoji1787] Dada ameondoka kwa furaha drama kibao kila kona kurudi amerudi kimya kimya [emoji23] ata ham ya kushika simu hana [emoji28] Hapa navoandika dada ameamua kumuacha kaka ati anampotezea muda wake. Miaka yote 7 hukustuka ndo unastuka leo ati unachezewa? We hamnazo [emoji854]

Mimi nikiona mdada wa hivi sijui namuonaje namuona kama hana akili. Mtu mwenye akili awezi kukaa kwenye relation ya hivi miaka yote hiyo. Alafu mwanaume ukikaa nae mwaka mmoja unajua tu kama yko serious au sio. Kama hayupo serious bora uachane nae mapema kuliko kupotezeana muda.

Mimi bora waniite malaya kuliko kukaa kwenye relationship isiokuwa na nyuma wala mbele kwa kisingizo cha mapenzi. Nilikaa na mjinga mmoja hvi miaka mi3 tena kwa sababu kipindi icho nilikuwa teenager. Baada ya apo nikiona mwanaume yupo yupo namtupia kule tena ndo akiwa hana pesa ata simtazami mara mbili. Mwanaume asiekua na pesa wa nini sasa? Kwanza mwanaume asiekua na pesa anakua hana mapenzi ata kidogo. Mapenzi yake yote anamaliza kwa mama ake na dada zake. Kwa sasa nko engaged na mwakani summer tunaoana Mungu akipenda.

Acheni kuwa na wanaume wasioeleweka msiogope kuanza upya. Saa nyingine kuanza upya kuna heri kuliko kukaa kwa zamani kusipokua na faida yoyote kwako zaidi ya kupoteza mda.
Sawaa
 
liMwanaume asiekua na pesa wa nini sasa? Kwanza mwanaume asiekua na pesa anakua hana mapenzi ata kidogo.

Haya mabaharia wenzangu kujeni hapa...
Madam amesha wathibitishia, ili muwape mapenzi, ili waamini kuwa mna mapenzi, Basi PESA MUHIMU.
Kifupi mabaharia; TAFUTENI hela ili mfaidi raia kama Hawa.

Halafu narudi kwako madam my name is my name KWANI WE KILA ALIYEKUNYANDUA AMEKUOA?

Kwahiyo tukiwa tu wapenzi zaidi ya miaka 2 basi tuonane..!!
Sasa madam kwa kigezo hiki ungekuwa na ndoa ngapi?

#YNWA
 
Back
Top Bottom