Hivi unaishi vipi na mwanaume miaka 2 bila ndoa?

Mbona unaongelea vitu vingne ambavyo sio vya muhimu sana mfano kuvishwa pete ya uchumba, kuna wajinga wanaishi kama mke na mme zaid ya miaka 2 na mwanaume hapajui kwao na mwanamke wala ndugu wa mwanamke nao wanajipa matumain ya ndoa.
 
yaani unawashauri wazae

kuongeza single parents


kama mwanaume haeleweki tupa kule

(NB ndio umuhimu wa mafiga matatu unapoonekana)
 
Shida inakuja mwanaume asiyeeleweka huwezi kumjua hasa ukiwa wanamke

Ukiona umeanza kumjua mwanaume asiyeeleweka ujue either wewe ni single mom au unamiaka zaidi ya 28.

Wengi wenu mna angalia vitu vya kijinga jinga tu Hana gari kwahiyo haeleweki,hana elimu kwahiyo haeleweki hana kazi kwahiyo haeleweki yaani hamna macho yakuona.Hilo jicho la hivyo mnapataga mkishakuwa wakubwa au mkizalishwa mkatekekezwa ndo mnapata akili ya kujua yupi ni mwanaume kweli yupo janja janja.

Huwezi kukaa na mwanaume mda mrefu ni kwasababu una chembe chembe za kaumalaya na sio vinginevyo.Wenzako wanaweza sababu akili zao zimetulia haziwazi kutumia uchi kujinufaisha
 
Ata mwaka mmoja inatosha kuona kama anafaa haina haja kurefusha mambo

Unataka tukupunguzie mda wa ku fake tabia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Una fake mwaka mmoja then unaolewa chapuuuu
 
Mnaangalia sana pesa na ndo Maana mnaishia kupotezewa muda

wewe Mwanamke unaanzaje kuishi na Mwanaume bila Ndoa, Mnaopoteza ni nyinyi sio Mwingine

We Mwanamke una wazazi unaanzaje Kwenda Kuishi kinyumba na Mwanaume kabla ya Ndoa, Hizo Drama zenu za "....amekuja Kujitambulisha" Sijui nini nini Basi Mtaishia kuchezewa tu Maana Mwanaume kama anapata Hitaji la Kimwili hiyo ndoa ya nini sasa?

Tulia kwenu uje Uolewe ndo Utoke

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Yaan wewe unaamini kuwa ndoa ni kale kachuma ka shaba au dhahabu kalikopinda mkavalishana kwenye kidole cha shahada??? na wala ndoa sio malengo mliyojiwekea nyie wawili ?? Hivi nikiamua kusoma shule na nisichukue cheti na nikakwambia cheti chako hakinisaidii kitu bali ninachotaka ni elimu kichwani wewe kwa akili yako si utaniona kichaa???
 
Mtoa mada
Wee Ni mdangaji unaejificha kwenye kichaka Cha mahusiano ya uchumba.

Ni Aina ile ya wanawake wanaingia kwenye mahusiano kwa timing za kuvuna vitu flan flan ila kwa kisingizio cha uchumba.

Akiona hujavuna ilivotarajiwa,
Unajiwahi kuvunja mahusiano ili ionekane jamaa hakua serious.

Hizi janja za nyani wamefanya Sana Bibi zako enzi zile za azimio la Arusha[emoji4]
 
Umalaya kitu kibaya sana.
Nakuambia na hayo makucha yako ya bandia usitegemee ndoa mwakani
Utanikumbuka
 
Haka kamtoa mada Ni kamalaya kaliko changamka.

Dawa ya vidada Kama hivi ni.
Unakiandalia pesa isiyokua na kazi.

Kinajaa mtegoni, unapiga Cha nyuki, unalala mbele. Kisha unapiga chini.

Unampasia rafki ako namba, unawatengenezea connection.

nae anakichojoa anapiga Cha nyuki analala mbele. Kisha nae anapiga chini.

Trend inaendelea mpk mnafika wanaume 10 au 15.

Afu siku ya birthday yake,
Mnafunga msafara wote na ving'ora kila mtu na gari yake mnampelekea zawadi ya dildo kubwa size ya gogo la mti ili akajichokonoe uko chini.[emoji4]
 
Aisee, wanaume mna kazi sana, sasa mtu kama mtoa mada ukikutana nae mtaani unaweza kuhisi umepata mwanamke wa maana kumbe ye kwake hata kubadilisha wanaume mpya kila siku kwake sio issue[emoji119]
Haka Ni kamalaya TU kakusuuzia rungu ukasepa.[emoji2]

Na cha ajabu Unaweza kuta hata hakana mbele Wala nyuma.

Kiukweli,
Zishukuliwe Sana Hizi feki I'd za bw.melo,
zinawasitiri wengi Sana Humu[emoji4]
 
Sasa mwanamke kama huyu anachezea kila aina ya mkuyenge siku unaoa unakuta kilomita nyingi sana kama gari za mikoani
Basi Za mikoani mbona Zina nafuu,
Sema tuite zile semitrela transit za dar-lubumbashi[emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…