Hivi unaishi vipi na mwanaume miaka 2 bila ndoa?

aliye wadangany awatoto wa kitanzania kupendwa hadi uvishwe pete au kuvaa gauni ndo aliyewadanganya
 
Uko sahii kabisa [emoji106]
 
Kuna wale wanishi miaka hamna anayejua nyumbani kwa mwenzie alikozaliwa.
Unakuta mwanaume anajua kwa mwanamke ila mwanamke hakuui kiumeni au hakuna anayejua kwa mwenzie wanaishi tu yakitokea matatizo muhusika anaenda peke yake hata ndugu hawawajui.
Wanajua wale ndugu wa kimjini mjini kwakuwa tu ni kabila moja anaitwa shemeji au wifi lakini hata hawajatoka sehemu moja.
 
Anajikadiria kwenye pesa za mtu.....hahaha! Type hii ndio wanafanyiwa unyama kwasababu ya pesa.... tamaa kwenye pesa halafu unataka uolewe, akaolewe na Bank.

Nimeona kuna mwana jeiefu amefukua makaburi hapo,, huyu anaonekana ana stress sana na tamaa pia... Labda kama siredi zilikuwa sio za kweli
 
Msameheni Huyu dada jamani, baada ya mabomu mazito ameukimbia uzi
 
We una pesa? Jinga we idiot
 
Ujumbe ni mwanaume asiye na pesa hayo mengine ni geresha tu
 
Kumbe shda ni pete ili ukawaringishie wenzako kuliko kuthamini uwepo wake kwako,.mmmh! Hatar saana

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
"Unachezewa" kwani huwa wanachezewa nini hicho?
 
"Unachezewa" kwani huwa wanachezewa nini hicho?
 
Kuna shosti yangu yeye wana miaka 5 na watoto wawili… Hakuna ndoa wala engagement…
 
Toa maelekezo maana ya ndoa ili tukuelewe. Kuna ndoa na harusi. Kitendo cha kuishi na mtu zaidi ya miezi Sita hiyo ni ndoa tayari
 
Kichwa cha habari chonganishi sana kwanini? Kisingekuwa mwanaume/mwanamke mbona kimebase kwa wanaume pekee banah na sisi tunalogwagwa banah mtu unaishi na janamke alitaki kuolewa na bado umeliganda tu..
 
Unashangaa Hilo ndg yangu kuthibitishana sio jambodogo ukishangaa Hilo polisi kuthibitisha kazini Hadi ipite miaka 10 vumilia ndo nguzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…