Hivi unajua kuna watu wapo kwenye ndoa lakini hawaamini kama ni chaguo lao

Hivi unajua kuna watu wapo kwenye ndoa lakini hawaamini kama ni chaguo lao

madia madia

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2017
Posts
717
Reaction score
701
Nawasilisha mada,

Wanandoa wengi hudhani kwamba wakati mwingine mume au mke anayeishi naye bado si chaguo lake. Utakuta mtu anapofunga ndoa anasema kama atazingua tunaachana tu. Nadhani hii inasababisha watu wawe loose sana kwenye maisha ya ndoa. Na ukiwa loose endapo upepo utapita hata kama mwepesi basi utashangaa unaenda nao.

Maana yake ni kwamba ikitokea ametokea mtu akatongoza au kutongozwa basi hukubali kumwacha mtu anayempenda. Victim wakubwa ni wanawake na ndio maana wengi wakitongozwa hukubali haraka na huku tunasema ni wadhaifu.

Ninachojua especially mwanamke ukishaolewa basi jitahidi kujiweka sawa kisaikolojia kuwa huyo mwanaume ndio chaguo lako. Hata kama ni mvuta bangi ndo uliomchagua. Sasa kwa wapenzi na wachumba nadhani ndo balaa maana kutwa kucha wanachunguzana. Labda itokee mwanamke kapewa ujauzito.

Nawasilisha.
 
Duh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
Duuuuh
 
Duh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
Inavoelekea mkuu hiyo mimba siyo yako mkuu chunguza. Halafu anza kumpenda mkeo utayafurahia maisha.
 
Duh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
Sasa kwann usimwambii mwenzio kama humpend ili ajue na yy aanzishe maisha yake anaweza pata mtu atakae mpenda kuliko unavyomfanyia kumbuka huyo mchepuko wako nae ukimuoa utajikuta unamuona wakaida na hutompenda ...siku zote mapenz ya uhawara huwa hayaishi hamu hata mkae miaka 20 sababu kila mtu yupo kwake mkikutana kila mtu anakua hot hamjagusana kitu kimelegea ila ndoa uvumilivu mwenzio anashinda na wtt kaz za nyumban zote Zake stress kwenda mbele na bado mda wa tendo huwez kumpa maneno matamu yakumsahaulisha stress zake we ukigusa kiuno ukiona halegei unaweka mate unamaliza mchezo ..kwa stail hyo utamchukia mkeo maisha yako yote ...wanaume weus hamjui kuwapet pet wake zenu ni wabinafsi mnajijali nyie tu.
 
Nahisi kupenda hakulazimishwi.. Na kuoana hakuguarantee upendo.. Kudumu kwa ndoa kuna mengi..
Wengine wanadumu kwa kuwa washare a cause( kulea watoto)
Wengine wadumu kwakuwa wanaogopa aibu
Wengine wanadumu kwa kuwa wanaelewana..
Wachache wanadumu kwa kuwa wanapendana!

Sababu zingine zote zina changamoto... Kwa mfano watoto wakishajitegemea mnaanza kuishi kama strangers... Au kisa mnaelewana tabia na kuchukuliana muda ukienda inakuwa kama kitendo tu kisichokuwa na emotional attachment.. Unaanza kushangaa mwenzako anashukuriwa akimuamsha mmewe.. Wewe haupewi shukrani hata ufanye kubwa kiasi gani.

Kikubwa mpendane.. Muongeze Furaha home, muishi maisha marefu.. Na kukiwa na upendo kwanza hakuna zito litawashinda. Maswala ya moyo mwili hauna nafasi.. Ukisikia mtu anajifunza kupenda MTU..basi Huyo anajifunza kumvumilia MTU.
 
Km kuna ukweli flan hivi kuna wanaoa km ushahid tu na waolewaji pia we mtu umeoa miaka tisa mna watoto wawil ila huonyesh mapenz kwa mke wala watoto wao n wakukaa nyumban mon to sund kutwa upo buze na kazi au marafiki unyumba kwa mke kwa mwez mara moja au hamna kabisa matunzo ya mke ni chakula tu unacho nunua nyumbani nothing else jaman hapo pana ndoa ama ushahid tu si muachane sasa mmbaki km single parents
 
Duh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
umeshampiga mimba mkuu huyo mkeo wa pili
na kama ni muslim fanya uoe kabla haujajifungua
 
Sasa kwann usimwambii mwenzio kama humpend ili ajue na yy aanzishe maisha yake anaweza pata mtu atakae mpenda kuliko unavyomfanyia kumbuka huyo mchepuko wako nae ukimuoa utajikuta unamuona wakaida na hutompenda ...siku zote mapenz ya uhawara huwa hayaishi hamu hata mkae miaka 20 sababu kila mtu yupo kwake mkikutana kila mtu anakua hot hamjagusana kitu kimelegea ila ndoa uvumilivu mwenzio anashinda na wtt kaz za nyumban zote Zake stress kwenda mbele na bado mda wa tendo huwez kumpa maneno matamu yakumsahaulisha stress zake we ukigusa kiuno ukiona halegei unaweka mate unamaliza mchezo ..kwa stail hyo utamchukia mkeo maisha yako yote ...wanaume weus hamjui kuwapet pet wake zenu ni wabinafsi mnajijali nyie tu.
kwann unasema wanaume weusi? kwani ushawahi ishi na mzungu?
 
Mtu mmekutana mkiwa mnamiaka kuanzia 20 au 30....mmekaa kidogo mmeoana.....ulikua unahisi umemuelewa kumbe ndo hata asilimia 1 hukufika..ukikaa nae unaona mambo mengi ya ndani ambayo huyajui....upendo wa kudumu utatoka wapi hapo?.
Watu kwenye ndoa wanavumiliana tu na kupotezea..hamna jipya...
Kudefine neno upendo ni kazi sana.
 
Duh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
Ndio maana ulikuwa unatafuta mke mdogo? Ulishikiwa bunduki kumuoa?
 
Duh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
Wako wapi wale wanaume walokuwa wanasema wanaume hawachepuki for love?

Cc Heaven Sent
MBITIYAZA
Nalendwa
demi
kapeace
 
Nahisi kupenda hakulazimishwi.. Na kuoana hakuguarantee upendo.. Kudumu kwa ndoa kuna mengi..
Wengine wanadumu kwa kuwa washare a cause( kulea watoto)
Wengine wadumu kwakuwa wanaogopa aibu
Wengine wanadumu kwa kuwa wanaelewana..
Wachache wanadumu kwa kuwa wanapendana!

Sababu zingine zote zina changamoto... Kwa mfano watoto wakishajitegemea mnaanza kuishi kama strangers... Au kisa mnaelewana tabia na kuchukuliana muda ukienda inakuwa kama kitendo tu kisichokuwa na emotional attachment.. Unaanza kushangaa mwenzako anashukuriwa akimuamsha mmewe.. Wewe haupewi shukrani hata ufanye kubwa kiasi gani.

Kikubwa mpendane.. Muongeze Furaha home, muishi maisha marefu.. Na kukiwa na upendo kwanza hakuna zito litawashinda. Maswala ya moyo mwili hauna nafasi.. Ukisikia mtu anajifunza kupenda MTU..basi Huyo anajifunza kumvumilia MTU.
Upendo ndio nguzo, niliwahi kuongelea hilo nikapingwa.
 
Back
Top Bottom