fatmanuria
JF-Expert Member
- Aug 26, 2017
- 440
- 701
Nilishafanya huo utafit ukiona mwanaume mweuc anakupet pet bac hapo ujue mwanamke anakaz yake anajielewa lkn kama huna kipato chochote unachoingiza utapetiwa mwanzo kama haruc bac miez ya mwanzo ukishazaa tu ndo mahaba by by..
Weupe ni 10 kwa wawili wanaowapa shida wenza wao