Hivi unajua kuna watu wapo kwenye ndoa lakini hawaamini kama ni chaguo lao

Hivi unajua kuna watu wapo kwenye ndoa lakini hawaamini kama ni chaguo lao

e531c13a40685711b218d7467e1a1fb6.jpg
 
Tatizo ni kuwa watu hawaamini kuwa ndoa huja kwa wakati MUAFAKA (mara lipatikanapo chaguo sahihi) na sio kwa sababu umefikia umri au hatua fulani ya maisha. Wengi zaidi ya 90% huoa/kuolewa kwa sababu ya shinikizo la jamii. Yaani akiona agemates wake wanaoana wanaisha na jamii inaanza kumuuliza wewe lini basi anaolewa/anaoa (na yeyote anayekuja mbele yake) na majuto yanaanza MARA TU baada ya kiapo cha ndoa.
 
Ulichokiongea ni ukweli mtup kwamba unakuta mume kaoa lakini anakuwa hajaridhika na mke huku akiamini huyo si chaguo lake na upande wa mke hivyo hivyo
 
Wengine wanafata pesa au status kuitwa mrs flani unakuta mmoja anatoka royal family hivi
 
Mtu mmekutana mkiwa mnamiaka kuanzia 20 au 30....mmekaa kidogo mmeoana.....ulikua unahisi umemuelewa kumbe ndo hata asilimia 1 hukufika..ukikaa nae unaona mambo mengi ya ndani ambayo huyajui....upendo wa kudumu utatoka wapi hapo?.
Watu kwenye ndoa wanavumiliana tu na kupotezea..hamna jipya...
Kudefine neno upendo ni kazi sana.
Yaan wewe sogea pale kibanda umiza tuangalie movie ya ndoa kha watu wanaoana hawajuani tena wale unakuta jamaa anafanya kazi demu yupo chuo akimaliza tu ndoa hapo mmeajuanaje tabia kwa mfano????
 
Duh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
Kama ni kweli usemayo, unafanya mambo ya kipumbavu sana mkuu.

Thamini mke, mchepuko ni mapito tu.
 
Wapo sana tu, tena ana fall haswa!
Si tunawaona hadi wanatelekeza familia kabisa!! Alafu wanajichetuaga eti huwa wanachepuka kufuata papuchi tu sio kama wanawake. Sijui ndio kukariri mamabo au wanatuandaa kisaikolojia ilibtukubaliane na upuuzi wao!!
 
Duh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
Dah! Hii imeniuma, na imagine mkeo anavyokupenda na kukujali, anavyokuthamini kwa moyo wake wote. Anavyohangaika kwa kila hali kutamani uwepo wako, akitamani japo umwambie unampenda, akitamani kuspend quality time with u bila mafanikio!!!! Anavyosononeka unavyompotezea!

Mungu akashughulike nawe aisee
 
Dah! Hii imeniuma, na imagine mkeo anavyokupenda na kukujali, anavyokuthamini kwa moyo wake wote. Anavyohangaika kwa kila hali kutamani uwepo wako, akitamani japo umwambie unampenda, akitamani kuspend quality time with u bila mafanikio!!!! Anavyosononeka unavyompotezea!

Mungu akashughulike nawe aisee
That's an emotional thing, usimlaani.
 
Duh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
Natamani nikutusi ila acha tu nikuache cuz wanaume kama nyinyi ndio mnaosababisha nchi inakua jangwa kwa kukosa mvua kweli unaishi na mtoto wa mtu kama mnyama cyo poa ndoa ni furaha na amani ila kama huwez kuishi nae waweza mwacha aendeleee na mambo yake. binadamu unakua na roho mbya utazani hujazaliwa na mwanamke sema inaonekana kwa tabia zako umekosa malezi mazuri yawazaz au maisha unayoishi ndio maisha ya wazaz wako walikua wanaishi vby bila upendo na ndio maaana unaishi kwa visasi na roho mbya.
 
Yani ukisikia ninge huja likishatokea,kipind namuoa nilijua nimepata kwel,mpole,msikivu,mwelewa,ushung 24hrs after kuoa tu sio mapichapicha hayo gubu,wivu Wa kijinga usisalimiane na Jirani ohh demu wako haijarish at a awe bibi.kinacho nisikitisha ananyota ya kupotze mwanzo mwisho,Ila ndo ivo nishakubal matokeo.
 
Back
Top Bottom