Kweli kabisa, ndio maana tuliambiwa amri kuu ni upendo. Tatizo letu binadamu wabishiii tunapenda kutoka ktk misingi tuliyowekewa.Watabisha sana ila ndio kweli.. Kosa likiangaliwa na upendo reaction inakuwa tofauti kabisa.
Mmh yani unaolewa ila unaishia kuwa bi harusi afu mke ni mwingineeeeWako wapi wale wanaume walokuwa wanasema wanaume hawachepuki for love?
Cc Heaven Sent
MBITIYAZA
Nalendwa
demi
kapeace
Na ndoa za hivi siku hizi zimeshamiri kweli. Shetani yupo kazini kwelikweli.Mmh yani unaolewa ila unaishia kuwa bi harusi afu mke ni mwingineeee
Kwa kweli afanye tu amuache mkewe, afu auoe huo mchepuko afu ndo ajue kama the grass is greener kama alivyokuwa anaona mwanzoni. Maisha ya ndoa na ya dating/kuchepuka ni tofauti sanaSasa kwann usimwambii mwenzio kama humpend ili ajue na yy aanzishe maisha yake anaweza pata mtu atakae mpenda kuliko unavyomfanyia kumbuka huyo mchepuko wako nae ukimuoa utajikuta unamuona wakaida na hutompenda ...siku zote mapenz ya uhawara huwa hayaishi hamu hata mkae miaka 20 sababu kila mtu yupo kwake mkikutana kila mtu anakua hot hamjagusana kitu kimelegea ila ndoa uvumilivu mwenzio anashinda na wtt kaz za nyumban zote Zake stress kwenda mbele na bado mda wa tendo huwez kumpa maneno matamu yakumsahaulisha stress zake we ukigusa kiuno ukiona halegei unaweka mate unamaliza mchezo ..kwa stail hyo utamchukia mkeo maisha yako yote ...wanaume weus hamjui kuwapet pet wake zenu ni wabinafsi mnajijali nyie tu.
Ajaribu tu aone kama anafikiri ni mteremko namna hiyo.Kwa kweli afanye tu amuache mkewe, afu auoe huo mchepuko afu ndo ajue kama the grass is greener kama alivyokuwa anaona mwanzoni. Maisha ya ndoa na ya dating/kuchepuka ni tofauti sana
Haahahahahah jamaaniiii nimecheka saana eti wanaume weusi khaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uwiiiiiSasa kwann usimwambii mwenzio kama humpend ili ajue na yy aanzishe maisha yake anaweza pata mtu atakae mpenda kuliko unavyomfanyia kumbuka huyo mchepuko wako nae ukimuoa utajikuta unamuona wakaida na hutompenda ...siku zote mapenz ya uhawara huwa hayaishi hamu hata mkae miaka 20 sababu kila mtu yupo kwake mkikutana kila mtu anakua hot hamjagusana kitu kimelegea ila ndoa uvumilivu mwenzio anashinda na wtt kaz za nyumban zote Zake stress kwenda mbele na bado mda wa tendo huwez kumpa maneno matamu yakumsahaulisha stress zake we ukigusa kiuno ukiona halegei unaweka mate unamaliza mchezo ..kwa stail hyo utamchukia mkeo maisha yako yote ...wanaume weus hamjui kuwapet pet wake zenu ni wabinafsi mnajijali nyie tu.
ahhh maisha magumu haya shoga tuwazage kutafuta tu hela mengine mbwembwe!yaan ukitaka unikere andika kama hvyo !hahahahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimecheka hadi nimepaliwa na juice aisee!!
Kwakweli ndilo lililobaki.ahhh maisha magumu haya shoga tuwazage kutafuta tu hela mengine mbwembwe!yaan ukitaka unikere andika kama hvyo !hahahahahaha
hahahaha hata mie sijibu kwakweli !sipend kabisa pm za maneno haya !kuna mtu fudenge anazo ananiboaaaaaaaaaKwakweli ndilo lililobaki.
Naona wewe haukereki aisee!! Yaani ukinitumia text ya hivyo sikujibu.
Unaisoma tu unamkaushia.hahahaha hata mie sijibu kwakweli !sipend kabisa pm za maneno haya !kuna mtu fudenge anazo ananiboaaaaaaaaa
Du hii Kali ya mwaka aiseeDuh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
Ikitokea kuna msamaha wa watu wanaofikiri walikosea kuoa au kuolewa na walionao hivyo wanaruhusiwa kuwaacha bila sharti lolote sijui itakuwaje.......Nawasilisha mada,
Wanandoa wengi hudhani kwamba wakati mwingine mume au mke anayeishi naye bado si chaguo lake. Utakuta mtu anapofunga ndoa anasema kama atazingua tunaachana tu. Nadhani hii inasababisha watu wawe loose sana kwenye maisha ya ndoa. Na ukiwa loose endapo upepo utapita hata kama mwepesi basi utashangaa unaenda nao.
Maana yake ni kwamba ikitokea ametokea mtu akatongoza au kutongozwa basi hukubali kumwacha mtu anayempenda. Victim wakubwa ni wanawake na ndio maana wengi wakitongozwa hukubali haraka na huku tunasema ni wadhaifu.
Ninachojua especially mwanamke ukishaolewa basi jitahidi kujiweka sawa kisaikolojia kuwa huyo mwanaume ndio chaguo lako. Hata kama ni mvuta bangi ndo uliomchagua. Sasa kwa wapenzi na wachumba nadhani ndo balaa maana kutwa kucha wanachunguzana. Labda itokee mwanamke kapewa ujauzito.
Nawasilisha.
Duh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
Ndio maana ulikuwa unatafuta mke mdogo? Ulishikiwa bunduki kumuo
Wako wapi wale wanaume walokuwa wanasema wanaume hawachepuki for love?
Cc Heaven Sent
MBITIYAZA
Nalendwa
demi
kapeaceNdio maana ulikuwa unatafuta mke mdogo? Ulishikiwa bunduki kumuoa?
Nimeshindwa hata kumshangaa kwa kweli..