Hivi unajua kuwa Rais Magufuli huwa ni mtu wa kufika bei haraka sana?

Hivi unajua kuwa Rais Magufuli huwa ni mtu wa kufika bei haraka sana?

Rostam kuchangia sh 20m ujenzi wa Kanisa imekuuma sana bwashee?

Ni Rostam huyu huyu aliwanunulia vyombo vya muziki kwaya ya KKKT kinondoni labda utakuwa umesahau bwashee!
Ila pia ni miongoni mwa magamba matatu ndani ya ccm
 
Magufuli sina shaka kabisa ni mtu anaependa hela kwa kutumia ubabe wa Madaraka.
Ndo maana ACACIA walimpa dola milioni 100 badala ya dola milioni 400 akachukua.
Mafisadi waoga walimpa hela kupitia DPP akawasamehe.

Waliobaki gerezani wanajielewa...hawataki kuwa wasaliti wa mioyo yao..wakafa na dhambi
 
Jiulize kwanini kina Harbinder na Rugemarila bado wapo mahabusu! Ni kwasababu wamegoma!
Kusema kweli hili la hawa wazee linaumiza sana sana, inaonekana ni visa zaidi kuliko ukweli ulivyo. Mbona mafisadi wengi tu wameachiwa ila hawa waliochukua fedha zao wanakaa gerezani bila sababu zozote.
 
..nani asiyependa kusifiwaa..ata mtoa mada....

ukitaka bosi wako akuwaze sanaa we msifieee

ukitaka kula/kuliwa tunda kimasihara we msifie hata ka hajapendeza
 
Kusema kweli hili la hawa wazee linaumiza sana sana, inaonekana ni visa zaidi kuliko ukweli ulivyo. Mbona mafisadi wengi tu wameachiwa ila hawa waliochukua fedha zao wanakaa gerezani bila sababu zozote.
Wanasimamia kile wanachokiamini mkuu
 
Kimei alimjengea tawi ka CRDB Chato akaahidiwa CHEO.

Leo kapitishwa kugombea VUNJO, walioshinda KURA ya maoni wamepigwa chini.


Mbatia na Mrema wametumikaa ila leo ni kama wamegeukwa.


Graduates wenzangu tuchukue vitamvulisho vya machinga tuchape kazi kweriiii kweriiiiii
Hahaha kwani Vunjo ilikuwa mali ya Mrema na Mbatia?!

Wale walidanganywa wakaingia wazima wazima kama nyama za soseji.

Mbatia alizoea viti maalum, sijui kama anajua kwa sasa hatokuwa mbunge.
 
Magufuri n mtu ambae hapendi kusikia kuwa hakubaliki,yaan anafarijika sana akiona au akihis anakubalika na watz wote
 
Back
Top Bottom