Librarian 105
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 261
- 356
hatareeePale kati patam
Mm naona chenga πππMimi najua ni kwa sababu wapo wenye kumahabatika nayo na wapo wenye kuumia kwayo na wapo wenye kuishi kwayo baina ya mahaba na maumivu ya mapenzi.
Wewe je?!
Unazungumzia mahaba au ngono maana hivo ni vitu viwili tofautiMimi najua ni kwa sababu wapo wenye kumahabatika nayo na wapo wenye kuumia kwayo na wapo wenye kuishi kwayo baina ya mahaba na maumivu ya mapenzi.
Wewe je?!
Ubuntu πUbuntu mtamu bwashee[emoji4]
Evolution of man , kila mtu anahitaji kupendwa japo kwa sasa siyo mapenzi bali ni matamanio, mwanaume kama huna hela kaa pembeniMimi najua ni kwa sababu wapo wenye kumahabatika nayo na wapo wenye kuumia kwayo na wapo wenye kuishi kwayo baina ya mahaba na maumivu ya mapenzi.
Wewe je?!
ni baada ya kula mchele au?!Mm naona chenga πππ
Ndio π€£ni baada ya kula mchele au?!
Unazungumzia mahaba au ngono maana hivo ni vitu viwili tofauti
Ndio π€£
ni kanuni za kimapenzi tu zimerukwaMapenz sikuhiz ujitoe ufahamu tu πππ
Inawezekana kuna ukwelini kanuni za kimapenzi tu zimerukwa
endelea kutafakari kidogo tenaKijana hata sielewei apa unazungumzia nn ebu nipe maarifa kidogo maana sio kitu [emoji1787]
ππKijana hata sielewei apa unazungumzia nn ebu nipe maarifa kidogo maana sio kitu [emoji1787]
Kijana inabd atupe madin sijui hyo post maana alichoandika akiingi kwa kichwa[emoji3][emoji3]
Ngono sio mapenzi.Unazungumzia mahaba au ngono maana hivo ni vitu viwili tofauti