Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Umeachwa mkuu?ngono sio mapenzi.....
ngono haina mahaba ila mapenzi yana mahaba ((sikumaanisha haya mapenzi yanayoimbwa kwenye mziki)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeachwa mkuu?ngono sio mapenzi.....
ngono haina mahaba ila mapenzi yana mahaba ((sikumaanisha haya mapenzi yanayoimbwa kwenye mziki)
Hapana. Ni tafakuri tuUmeachwa mkuu?
yanaimbwa kwa mana wenye kuyafurahia wanayasifia kwa kila sifa nzuri na wenye kuyachukia wanayachukia kwa kila chuki mbaya na wengine wapo kati na kati.Kijana hata sielewei apa unazungumzia nn ebu nipe maarifa kidogo maana sio kitu [emoji1787]
Apo na mwanga kidogo, ila mapenzi huwa hata siyelew kwamba yanataka nn kwa kweli ni kama paper la necta vileyanaimbwa kwa mana wenye kuyafurahia wanayasifia kwa kila sifa nzuri na wenye kuyachukia wanayachukia kwa kila chuki mbaya na wengine wapo kati na kati.
Halafu angalia maajabu yake, hayana furaha ya kudumu wala chuki ya kudumu, na kuvumiliana ndo silaha ya kudumu nayo.
Umeyapatia picha au?!
na iyo ndo mantiki yangu ya kuuliza. Huenda kuna mwenye majibu kamili atakuja kutoa majibu siku mojaApo na mwanga kidogo, ila mapenzi huwa hata siyelew kwamba yanataka nn kwa kweli ni kama paper la necta vile
Hakuna atayetoa jibu sahihi maana siku izi mapenzi yamejaa unafiki sana hakuna true love hata kidogo yaani pesa ndo imekuwa chanzo cha maangaiko na uharibu mwingi katika kuaminiana kwenye mahusiano.na iyo ndo mantiki yangu ya kuuliza. Huenda kuna mwenye majibu kamili atakuja kutoa majibu siku moja
Sehemu ya majibu kumbe unayo?! Kumbe watu wakiacha unafiki..,true love imo kumoyo?!Hakuna atayetoa jibu sahihi maana siku izi mapenzi yamejaa unafiki sana hakuna true love hata kidogo yaani pesa ndo imekuwa chanzo cha maangaiko na uharibu mwingi katika kuaminiana kwenye mahusiano.
Ndiyo, maana pesa ndiyo inafanya watu waishi maisha ya inafiki sana, hasa wanawake utakuta anapewa kila kitu lakin anachepuka kwenda kwa mtu hata aeleweki ila yule ambaye uko nae ni pesa ila kwa upande wa wanaume ss ni tamaa tu za kutaka kupata laza mpya ile ya zamani inkiwa old imeshapita kwa hiyo tunatafuta new ambayo changa ya motoSehemu ya majibu kumbe unayo?! Kumbe watu wakiacha unafiki..,true love imo kumoyo?!
wewe oa tu ndugu. Usisite wala usiogope,nataka nioe