Hivi unajua ni kiasi gani bosi wa ofisi anayofanyia mkeo anavyomla mkeo?

Hivi unajua ni kiasi gani bosi wa ofisi anayofanyia mkeo anavyomla mkeo?

Sijaona ulipoandika kukuhusu wewe mkuu, vipi hujapita pita na wake za watu na wewe!? Sio kwa ubaya, nauliza tu
Akijilengesha NAKULA.
Siwezi acha buku kisa Nina milioni.

Na ukisoma vizuri nimeandika "wanajileta wakidhani WATAPATA urahisi, akisikia Kuna kadili anataka urahisi"

Nini hasa zaidi ya KUMLA..!!!

#YNWA
 
Kwahiyo Bezos na Bill Gates waliachana na wake zao kwasababu walisaliti ndoa?
The point is wameona ndoa Zinawazingua.
Hopeless kabisa.
Ngoja Nikupe ushauri.....
Samahani lakini "Unapochangia hoja acha ku attack mtoa hoja, attack hoja. Na kama huna cha kuchangia ila hukubaliani na mtoa hoja, basi, just agree to disagree/kubali kutokukubaliana"

Amen.

Mungu atuongoze.

#YNWA
 
Wajumbe mpoo....

Is Mr. Liverpool onces again na ileile kauli mbiu yake MSIOE MSIOE MSIOE ...!!!

Twende kwenye mada;

1. 2007
Nilianza kufanya Kazi za ajira 2007 baada tu ya kumaliza form four niliajiriwa kama karani ofisi fulani Dar.

Wakati huo nikiwa mdogo (18Yrs) nilikutana na wakubwaa ofisini.

Kwenye ile ofisi nilikutana na wadada wazuri sanaa.

Ila asilimia kubwa walikua wanaliwa na mabosi.

Sasa nilikua najiulizaga Hawa mbona wazuri wanakosa nini kwa waume zao?

Yaani mabaharia mabosi walikula sanaa wale wake zenu mule ofisini..!!

Tena kuna mmoja alishawahi kunilimbikizia Kazi mpaka nikashindwa kwenda lunch time kumbe alienda na bosi kulana huko the whole day..!!!

Na alikua mke wa mtu na ukimuona unaona kweli mumewe kapata KUMBEEE akaoa mbususu ya wenye mamlaka zao ofisini..!!!

Matokeo yalitoka nikagoma kwenda advance nikaenda soma chuo cert >>> Diploma.

2. 2010
Nikarudi kwenye ile kampuni ya 2007.

Kwakuwa nilikua tayari Nina ka professional (Diploma) then niliajiriwa kama mwajiriwa kamili.

Asilimia kubwaa ya wadada niliowaacha 2007 niliwakuta bado wanafanya Kazi.

Ila nilichoshangaa mtindo ulikua ni uleule wa kukulana tuu..!!!

Kuna dada mmoja (PS) alikua rafiki yangu sana tulizoeana kwasababu ya kupenda kumsaidia kazi.

Alikua akinipa sanaa umbea wa wanayoendelea ofisini (Si unajua mbaya wa mwanamke ni mwanamke mwenzake).

Alikua akinipa chain yotee ya jinsi mabosi wanavyokula wanawake wa ile ofisi.

Kibaya zaidi asilimia kubwaa walikua wameolewa...!!!

Dah mi nikabaki kuonea huruma waume zao tu wa huko majumbani.

SIJUI NANI ALIWATUMA WAOE?

3. 2012
Niliingia serikalini na baada ya kusoma Bachelor >> Masters nilihamishwa Idara na nilikohamia nikawa mkuu wa Idara.

Hapa sasa nikawa nina access/closeness na mabosi wengi sanaa serikalini.

Nilichojionea na ninayojionea huku ....

1. DC/Mkuu wa Wilaya yetu anamla PS wake ambae ni mke wa mtu.
Na juzi kaenda nae Dar ili akamle vizuri (Tangu lini DC akasafiri na PS?)

ila kilichoniuma ni huyu mdada, "Yaani kagawa mbunye ya mumewe ila kaona haitoshi kampelekea DC Dar akalale nayo wiki..!!""

MLIOA POLENI SANA.

2. DED/Mkurugenzi wetu alimla na anamla PS wake.
Alimla wa kwanza mpaka akahama kwa kumfata mume..!!
Yaani kaliwaaa mpaka akaona Bora ampelekee mumewe kilicholiwa.

PS wa sasa nae analiwa na mkurugenzi.
Huyu sasa mumewe ni hakimu wa mahakama ya wilaya huko wilaya jirani.

Ila analiwa sanaaa na DED.

Na sometimes mumewe anakujaga huku kujionea mkewe anavyoishi.

Natamani atokee mtu amuhadithie afanyayo mkewe..!!!

MLIOA KAZI MNAYO.

3. HR wetu ni mwanamke.
Kiukweli huyu mama ana shape hasaa ila ukikomaa una mla.

Ni mke wa mtu ila anazoea sanaa wanaume vijana.

Hapa Ofisini waliomla ni vijana wengi tu.

Ila sasa cha ajabu mumewe ni mfanyabiashara hivyo anapesa mingi ila mkewe/HR hajatulia..!!!

Mimi mwenyewe siku hizi kanizoea huyo...

Jana ananipigia simu huku anafurahi Simba kufungwa..!!

Namchoraa tu "Siwezi acha kuokota buku kisa Nina milioni mfukoni"

MLIOA NAWAONEA HURUMA.

4. Huko kazini mtaani ni kabisaa Majanga.

Yanayoendelea kwa walimu, manesi, madokta na wengine wanaofanya kazi huko kwenye kata yanasikitisha na ndoa ZENU.....

Wake zenu wanaliwa sanaa na hasa nyie ambao wake zenu wako mbali na nyie.

Mwanamke analeta shida yake ofisini anaona ili asaidiwe haraka basi atoe mbususu..!!

Ofisi imetangaza offer ya kiji Kazi cha allowance, mkeo anaona ili apate anatoa mbunye..!!!

Kwakuwa tu anakuona wewe ni mkuu wa Idara yake na una mmamlaka ya juu yake kwenye Kazi zake basi lolote akiona lina kwama anaona Bora atoe Kipochi manyoya....!!!!!

Ni mengi aisee, mengine nitawaletea siku nyengine ila ......

ACHENI KUOA MTAKUFA.
ACHENI KUKUMBATIA HIZO SHIDA ZA NDOA.

Ndoa NDOANO ..
Ndoa MAJANGA...
Ndoa SHIDA .....
Ndoa KIFURUSHI CHA MATATIZO....

Any way:- Tuendelee kutafuta hela ili tule bata.

If you think money does not bring happiness then go and ask watumishi wa Umma WALIJISIKIAJE tarehe 24 NMB ilipowatumia sms..!!!

#YNWA
Unatisha wanaume boss. Mwanamke kugawa mbunye iko toka zama za machifu. Hata sasa manabii kina gwajiboy, mwingira, mapadri hasa katoliki nk wanawapiga mzigo wake za watu ile mbaya. Tatizo siyo wake kugawa mbunye, tatizo ni sisi wanaume hasa ambao hawajaoa, mbunye its always been for every man, hata uwe na matrilioni ya hela au umesoma na phd kama mbunge msukuma!🤤
Tuoe tuzae tuwapende wake zetu tuwasaidie pia wanaume wenzetu ambao wamekinai mbunye walizotolea mahari.
Mwenyezi Mungu endelea bariki wake zetu na maumbile yao. Aluta continua…Mbunye oyeee…
 
Mbususu zinapigwa mihuri sio poa yani, huo ni ukweli. Wanaochapwa sana ni wake za watu...wanachaapwa sana wake zetu huko maofisini, walivyo wajanja sasa, akitongozwa na mtu asompenda ndio atakuambia, akimpata anayemkubali kitu inamenywa kimya tu.

Ila sio sababu ya kuacha kuoa, ndoa tam sana mkuu
Wanaochapa wake za watu, ni Waume za watu. Kuna chance na wake zao pia huchapwa na wanaume wengine. Hii inaitwa nipe nikupe... tatizo nini?

Usipooa hizo pisi kali huko mtaani unazochapa unadhani unachapa peke yako.

Ili mradi hakuna mbususu isiyochapwa sioni tatizo ukichapiwa. Kuchapiwa ni siri ya ndani

Tufanye kazi tuache woga na vitu vidogo kama mbususu...
 
Hizi thread za namna hii zinaletwa na mtu mwenye Masters.... Hii nchi ngumu sana wallah
Nahangaika na Scholarship baharia mwakani niende PhD.
Kama una mconnection huko NIUNGE NAO BASI.

#YNWA
 
Nikuulize kama wewe ni mtoto kutoka kwa baba na mama ambao hawakuwahi kuoa wala kuolewa? Kama sivyo Basi unawatusi na kuwadharau wazazi wako kwa namna isivyoelezeka.
 
Nikuulize kama wewe ni mtoto kutoka kwa baba na mama ambao hawakuwahi kuoa wala kuolewa? Kama sivyo Basi unawatusi na kuwadharau wazazi wako kwa namna isivyoelezeka.

It's a MILLENIAL WORLD broo
Women are hungury for MONEY
Men are hungury for PUSSY.

Take care.
Never be a PREY.

#YNWA
 
It's a MILLENIAL WORLD broo
Women are hungury for MONEY
Men are hungury for PUSSY.

Take care.
Never be a PREY.

#YNWA
If so then you understand little about life. Marriage is more than sex, marriage is a measure of a man's perfection. If you can withstand all that you will be called a man.

Don't forget also marriage is for intelligent men only ..
 
Wanaochapa wake za watu, ni Waume za watu. Kuna chance na wake zao pia huchapwa na wanaume wengine. Hii inaitwa nipe nikupe... tatizo nini?

Usipooa hizo pisi kali huko mtaani unazochapa unadhani unachapa peke yako.

Ili mradi hakuna mbususu isiyochapwa sioni tatizo ukichapiwa. Kuchapiwa ni siri ya ndani

Tufanye kazi tuache woga na vitu vidogo kama mbususu...
Fact!
 
If so then you understand little about life. Marriage is more than sex, marriage is a measure of a man's perfection. If you can withstand all that you will be called a man.

Don't forget also marriage is for intelligent men only ..
FACT
 
Huuu ndio ule ujinga ambao SIUKUBALI Kabisaaa.

Kwamba nishikilie kaa la moto nikijua kabisa litaniunguza 😳😳😳

#YNWA
Usipoukubali wewe haimanishi ndio imekuwa sheria. Wapo walioukubali na wanasonga mbele. We fanya yako, acha wengine wafanye yao. Fyi kuna watu wako happy wakisikia wanachapiwa.... wewe inakuhusu nini?

Ishi maisha yako, pilipili iliyopo shambani isikuwashe
 
Usipoukubali wewe haimanishi ndio imekuwa sheria. Wapo walioukubali na wanasonga mbele. We fanya yako, acha wengine wafanye yao. Fyi kuna watu wako happy wakisikia wanachapiwa.... wewe inakuhusu nini?

Ishi maisha yako, pilipili iliyopo shambani isikuwashe
Jamaa anajifunza kutoka kwa waliofeli na anakupa mifano ya ndoa zilizoshindikana.
 
Back
Top Bottom