Hivi unajua ni kiasi gani bosi wa ofisi anayofanyia mkeo anavyomla mkeo?

Hivi unajua ni kiasi gani bosi wa ofisi anayofanyia mkeo anavyomla mkeo?

Punguza umbea wa maofisini.
Mm nashangaaga sana wanaume wa namna hii.
Nimeleta tu nayo yaona duniani...
Siwezagi kukaa chini na kupiga umbea NAPENDA SANAA KUTAFUTA HELA na MUDA MWINGI NAIWAZA na NIKIWA KAZINI HUWA SINA MUDA WA UMBEA ZAIDI YA KUIWAZA PESA.
Kama ww hutak kuoa ni sawa.
Na sitaki abadani.
Ila usibadili mawazo ya wanaume wanaotaka kuoa au kufanya watu wasiioa wasiamini wake zao.
Kwahiyo wewe upo tayari kukaa na mwanaume mzinzi ndani kwako kisa kakuoa?
By the end of the day, mke ni mke, na atarud tu nyumban.
Aaagh!
Kwahiyo agawe huko mbunyee wasugueee then amletee mumewe shahaw* za mwanaume mwengine, na mumewe nae aingize dude lake..!!!

Kum* ya mke sio SPERM DUSTBIN.

#YNWA
 
Mbona ume attack sanaa mtoa mada kuliko ku attack mada?

Kwa dunia ya sasa kuoa ni shida tu.
Huoni maagizo aliyotoa Ummy Mwalimu kuhusu Ma DED?

Kumfatilia lazima...
We huogopi kuletewa magonjwa ndani?

Siku hizi unazaa bila ndoa na utamu unakula bila ndoa...

NDOA HAINA UMUHIMU WOWOTEE.

#YNWA
Asante ila wakati na umri vitaamua
 
Acha kuwaza sana bro." Biblia inasema hiki ni kizazi cha uzinzi". Uzinzi ni mbele kwa mbele na shetani hapo kapatia kweli. Alichofanya ni kushushua roho ya tamaa. Wanafanya hivyo ili wapate hukumu iliyo fair. Siku si nyingi hasira ya Mungu itashuka na kutakuwa hakuna pa kukimbilia.
 
2007 - 4m4

2007/Oct - 2010/July = Cert = 1 Yr + Dip 2 Yrs.

Sijasema lolote kuhusu lini nilipata Bach + Masters.

Ila .........

2014 - 2019 niliunga bachelor + masters
Bach = 3Yrs (Oct/2014 - Aug/2017)
Masters = 2Yrs (Nov/2017 - Oct/2019).

Hapa nilipo Kuna mazaga zaga nafanya ili 2022 au 2023 nikishindwa kabisa basi 2024 lazima = Nipande ndege nikaingie darasani kusoma PhD.

Soma kijana somaaaa
Tafuta hela kijana tafuta helaaa.

Achana na KUOA.

#YNWA
Wewe jamaa ni Muhaya??.
 
Kwahiyo mnaoa mkijua kabisa Kuna KUTOMBEW*?

Yaani unabet ukijua kabisa NALIWA..!!!


Nilizaliwa familia ya mfanyabiashara mwenye ndoa.
Umasikini uliingia alivyokufa baba na baadae mama (mama alimfata baba after 1 Yr).

Waliniacha nikiwa mdogo sanaa (darasa la pili).

Maisha ya uyatima nyoko sanaa, pale ndio nilijifunza kutafuta hela Kuna umuhimu sanaaa ila SIO KUOA...!!!

#YNWA
Unaogopa Ukimwi itakuwa.
 
Back
Top Bottom