Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
- #81
Na napenda kusoma HasaaaNaona umeoa elimu...
Ila usisahau KUTAFUTA PESA.
MONEY IS EVERYTHING, TO PROVE THIS GO AND ASKA THE HOMELESS AND THE JOBLESS.
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na napenda kusoma HasaaaNaona umeoa elimu...
Amen.Pole mno kaka![emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Na napenda kusoma Hasaaa
Ila usisahau KUTAFUTA PESA.
MONEY IS EVERYTHING, TO PROVE THIS GO AND ASKA THE HOMELESS AND THE JOBLESS.
#YNWA
Nimeleta tu nayo yaona duniani...Punguza umbea wa maofisini.
Mm nashangaaga sana wanaume wa namna hii.
Na sitaki abadani.Kama ww hutak kuoa ni sawa.
Kwahiyo wewe upo tayari kukaa na mwanaume mzinzi ndani kwako kisa kakuoa?Ila usibadili mawazo ya wanaume wanaotaka kuoa au kufanya watu wasiioa wasiamini wake zao.
Kwahiyo agawe huko mbunyee wasugueee then amletee mumewe shahaw* za mwanaume mwengine, na mumewe nae aingize dude lake..!!!By the end of the day, mke ni mke, na atarud tu nyumban.
Aaagh!
Asante ila wakati na umri vitaamuaMbona ume attack sanaa mtoa mada kuliko ku attack mada?
Kwa dunia ya sasa kuoa ni shida tu.
Huoni maagizo aliyotoa Ummy Mwalimu kuhusu Ma DED?
Kumfatilia lazima...
We huogopi kuletewa magonjwa ndani?
Siku hizi unazaa bila ndoa na utamu unakula bila ndoa...
NDOA HAINA UMUHIMU WOWOTEE.
#YNWA
Nione halafu nianze zile kauli "mwache tu, hata agawe ila nyumbani atarudi, mi ili mradi aniheshimu"Asante ila wakati na umri vitaamua
Maneno magumu ya kujipa faraja ya uongo...!!!Ukimchunguza sana bata, huwezi kumla.
Kama sura yako.Uzi wa hovyooooo
Hoya October imepita.
Umesoma vizuri?Vipi boss akiwa yeye ndio mwanamke??
Inawezekana aliwahi kuumizwa na kutokana na kuwa na hisia dhaifu ameshindwa ku move on, kila mara anakumbuka alivyogongewa.
Wewe jamaa ni Muhaya??.2007 - 4m4
2007/Oct - 2010/July = Cert = 1 Yr + Dip 2 Yrs.
Sijasema lolote kuhusu lini nilipata Bach + Masters.
Ila .........
2014 - 2019 niliunga bachelor + masters
Bach = 3Yrs (Oct/2014 - Aug/2017)
Masters = 2Yrs (Nov/2017 - Oct/2019).
Hapa nilipo Kuna mazaga zaga nafanya ili 2022 au 2023 nikishindwa kabisa basi 2024 lazima = Nipande ndege nikaingie darasani kusoma PhD.
Soma kijana somaaaa
Tafuta hela kijana tafuta helaaa.
Achana na KUOA.
#YNWA
Unaogopa Ukimwi itakuwa.Kwahiyo mnaoa mkijua kabisa Kuna KUTOMBEW*?
Yaani unabet ukijua kabisa NALIWA..!!!
Nilizaliwa familia ya mfanyabiashara mwenye ndoa.
Umasikini uliingia alivyokufa baba na baadae mama (mama alimfata baba after 1 Yr).
Waliniacha nikiwa mdogo sanaa (darasa la pili).
Maisha ya uyatima nyoko sanaa, pale ndio nilijifunza kutafuta hela Kuna umuhimu sanaaa ila SIO KUOA...!!!
#YNWA
Hapana ila napenda sanaa shule na HELA.Wewe jamaa ni Muhaya??.
Nishaoa Mkuu since 22/10Hoya October imepita.
Hebu tupia mipicha tuone ubwabwa..!!!
#YNWA
Hongera.