Hivi unajua ya kwamba hawa wote wamepata umaarufu wao wakiwa nje ya nchi?

Hivi unajua ya kwamba hawa wote wamepata umaarufu wao wakiwa nje ya nchi?

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
-Tupac Amaru Shakur, Yote aliyoyafanya ikumbukwe kuwa alifariki akiwa na miaka 25 tuu😃

-Michael Jackson akiwa na miaka 24 aliunda Album ya Thriller ambayo ndo albamu bora zaidi kwenye historia ya Muziki Duniani😃...

-Bob Marley alipata umaarufu duniani kote... akitamba na nyimbo kama 'One Love' aliyoitoa akiwa na miaka 20 tuu mnamo mwaka 1965😃

-Usain Bolt nae alitwaa tuzo yake ya riadha katika mashindano ya Olimpiki akiwa na miaka 21 tuu😃

-Lil Wayne alipata umaarufu duniani kote akiwa na miaka 25, baada ya kutoa albamu yake ya Carter III mwaka 2008

-Serena Williams alipata umaarufu kimataifa kama mcheza tennis akiwa na miaka 17 na kutwaa tuzo za kimataifa😃

-Nguli, Mike Tyson alipata umaarufu kimataifa katika masumbwi akiwa na miaka 20 tuu mwaka 1986...Akishinda tuzo mbalimbali za kimataifa😃

-Muhammad Ali alitwaa tuzo ya kimataifa ya World Heavyweight title akiwa na miaka 22 tuu akijizolea umaarufu duniani kote akiwa na umri mdogo tuu😃

-Pia ikumbukwe kuwa Yamal ni mtoto wa 2007šŸ˜‚

😃Hao wote hakuna hata mmoja aliyepata umaarufu na ukuu aliyeishi Afrika...Sasa sijui ni kweli hili ni bara lenye Laana auuuušŸ˜‚

āœšŸ¾Umaarufu wao wote wameupata nje ya Afrika
 
Wasiwatishe Hao Tafuteni Kitabu cha Walter B. Pitkin kinaitwa Life Begins at Forty

Kwamba maisha Halisi yanaanza ukifikisha 40..
91sd-deAUUL._AC_UF894,1000_QL80_ (2).jpg
 
-Tupac Amaru Shakur, Yote aliyoyafanya ikumbukwe kuwa alifariki akiwa na miaka 25 tuu😃

-Michael Jackson akiwa na miaka 24 aliunda Album ya Thriller ambayo ndo albamu bora zaidi kwenye historia ya Muziki Duniani😃...

-Bob Marley alipata umaarufu duniani kote... akitamba na nyimbo kama 'One Love' aliyoitoa akiwa na miaka 20 tuu mnamo mwaka 1965😃

-Usain Bolt nae alitwaa tuzo yake ya riadha katika mashindano ya Olimpiki akiwa na miaka 21 tuu😃

-Lil Wayne alipata umaarufu duniani kote akiwa na miaka 25, baada ya kutoa albamu yake ya Carter III mwaka 2008

-Serena Williams alipata umaarufu kimataifa kama mcheza tennis akiwa na miaka 17 na kutwaa tuzo za kimataifa😃

-Nguli, Mike Tyson alipata umaarufu kimataifa katika masumbwi akiwa na miaka 20 tuu mwaka 1986...Akishinda tuzo mbalimbali za kimataifa😃

-Muhammad Ali alitwaa tuzo ya kimataifa ya World Heavyweight title akiwa na miaka 22 tuu akijizolea umaarufu duniani kote akiwa na umri mdogo tuu😃

-Pia ikumbukwe kuwa Yamal ni mtoto wa 2007šŸ˜‚

😃Hao wote hakuna hata mmoja aliyepata umaarufu na ukuu aliyeishi Afrika...Sasa sijui ni kweli hili ni bara lenye Laana auuuušŸ˜‚

āœšŸ¾Umaarufu wao wote wameupata nje ya Afrika
Hata doto magar kapata umaarufuna miaka 45 ikiwemo na babu wa tiktok kapata umaaruf na mika 54 sisi huku watu wanapata unaaruf wakiwa na umri mara mbili yao big up sana
 
umesahau aaliyyah alifariki na miaka 22 tu!, huku akiwa bado ni chachu kwenye muziki zaidi zaidi miondoko ya R&B!.
wakati akiendelea na muziki pia alikuwa ni muigizaji mwenye utamu wake, laiti angekuwepo mpaka leo hii sie mashabiki zake kindakindaki tungeendelea kunyunyuziwa burudani yenye tashtwitwi na nyamnyam isiyomithirika!.
Haitoshi bado angekuwa tishio kwa wasanii wenzake maana kama kwa ule ubichi tu asali iliyotoka kwake ilikuwa tamu,si kwa milindimo ya uchezaji wake tu bali hata sauti yake mwerere yakubembeleza nakunifanya nisinzie ingetosha kuwashurutisha watesi wake wajue yeye ndie alikuwa mwali wa R&B!.

Nakapenda sana haka ka dada...
 
Hao wote hakuna hata mmoja aliyepata umaarufu na ukuu aliyeishi Afrika...Sasa sijui ni kweli hili ni bara lenye Laana auuuu
Bolt unaemsema ni Mweusi tii
MJ unaemsema ni Mweusi tii
Muhammed Ali ni Mweusi tii
Mike Tyson ni Mweusi tii
Bob Marley ni Mweusi tii

Yaan list yako imejaa weusi tii mpaka huyo Yamin Yamale ni Mweusi tii

Namaanisha wote hao chimbuko lao ni Africa na wengine wanaanza kurudi unamjua yule Mwanamuziki kipofu wa Marekani ambae amechukua uraia wa Ghana rasmi unajua anaitwa nani? Steve Wonder
Screenshot_20241104-122158.png
 
-Tupac Amaru Shakur, Yote aliyoyafanya ikumbukwe kuwa alifariki akiwa na miaka 25 tuu😃

-Michael Jackson akiwa na miaka 24 aliunda Album ya Thriller ambayo ndo albamu bora zaidi kwenye historia ya Muziki Duniani😃...

-Bob Marley alipata umaarufu duniani kote... akitamba na nyimbo kama 'One Love' aliyoitoa akiwa na miaka 20 tuu mnamo mwaka 1965😃

-Usain Bolt nae alitwaa tuzo yake ya riadha katika mashindano ya Olimpiki akiwa na miaka 21 tuu😃

-Lil Wayne alipata umaarufu duniani kote akiwa na miaka 25, baada ya kutoa albamu yake ya Carter III mwaka 2008

-Serena Williams alipata umaarufu kimataifa kama mcheza tennis akiwa na miaka 17 na kutwaa tuzo za kimataifa😃

-Nguli, Mike Tyson alipata umaarufu kimataifa katika masumbwi akiwa na miaka 20 tuu mwaka 1986...Akishinda tuzo mbalimbali za kimataifa😃

-Muhammad Ali alitwaa tuzo ya kimataifa ya World Heavyweight title akiwa na miaka 22 tuu akijizolea umaarufu duniani kote akiwa na umri mdogo tuu😃

-Pia ikumbukwe kuwa Yamal ni mtoto wa 2007šŸ˜‚

😃Hao wote hakuna hata mmoja aliyepata umaarufu na ukuu aliyeishi Afrika...Sasa sijui ni kweli hili ni bara lenye Laana auuuušŸ˜‚

āœšŸ¾Umaarufu wao wote wameupata nje ya Afrika
America ndio duniani kwenyewe ukitoboa kule umetoboa duniani..
Hapa tunawasanii wetu wanzuri tu sema sababu ya mazingira wameishia kutamba humuhumu tu..
Ndio dunia ilivyoo..!
 
America ndio duniani kwenyewe ukitoboa kule umetoboa duniani..
Hapa tunawasanii wetu wanzuri tu sema sababu ya mazingira wameishia kutamba humuhumu tu..
Ndio dunia ilivyoo..!
Hasheem Thabeet kaenda kucheza NBA akiwa na umri gani? Haujui? We Zombie?
 
Back
Top Bottom