mwidaddy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2022
- 357
- 658
Yani we ni kila za ndiyo umemaliza advance level unaelekea chuo au?Wewe kwenu kule kijijini mnatumia Mitungi inayopoza maji yanakua km yametoka kwenye friji au hujui hilo unasikiasikia tu? Vikombe kabla ya kuanzishwa viwanda unajua vilikua vinatumika nini kuchotea maji? Au wewe mtoto wa Harufu 2 na 4?
Utafananisha mtungi na refrigerator?
We history one imekuchanganya ety??