Hasheem kule aliingia kucheza ila hakuwa star kule..hapa tunaongelea mastaa mzee..Hasheem Thabeet kaenda kucheza NBA akiwa na umri gani? Haujui? We Zombie?
Kutoboa kibongo-bongo au kidunia?Mkuu nilikuwa nishatoboa rayari nijiwa na miaka 24 Wasenge wakafanya yao. But I will bounve back πππ
Labda ungo.Hata ndege
Nyee nyeee nyeee hakua star kule alikua star wapi? Okay unamjua yule Mkongo aliyefariki juzi juzi hapa Mcheza basket anaitwa Dikembe Mutombo? Unajua records zake ambazo hazijavunjwa mpaka leo? Ni Mkongo sio MuamerikaHasheem kule aliingia kucheza ila hakuwa star kule..hapa tunaongelea mastaa mzee..
Ni kama diamond platnumz anavyojitahidi kuupenyeza mziki wake kule akifanikiwa kule amefanikiwa duniani kote watamtambua..
Haina maana kuwa hajui hapana anajua na anakipaji kikubwa ila kupenya kule ndio issue.
Wewe km umeshindwa kugundua hata pin ya chuma sio kwamba babu zako walikua hawashoni nguo utambue hilo walichoshindwa ni transfoma tuLabda ungo.
Hahahah Mkongo yule alifanikiwa yaani alitoboa na huwezi kumfananisha na hasheem thabiti.Nyee nyeee nyeee hakua star kule alikua star wapi? Okay unamjua yule Mkongo aliyefariki juzi juzi hapa Mcheza basket anaitwa Dikembe Mutombo? Unajua records zake ambazo hazijavunjwa mpaka leo? Ni Mkongo sio Muamerika
Kutoboa nini kitovu?Mkuu nilikuwa nishatoboa rayari nijiwa na miaka 24 Wasenge wakafanya yao. But I will bounve back πππ
Ndio yule Mkongo ni Mthailandi au Muesia? Tunazungumzia Afrika in general sio Tanzania specificallyHahahah Mkongo yule alifanikiwa yaani alitoboa na huwezi kumfananisha na hasheem thabiti.
Tena alitaka kujinyonga baada ya kumaliza kiinua mgongo akasema kabla cjafa ngoja nikasome any motivation books.Mzee wa mgahawa wa KFC alipata umaarufu baada ya kustaafu kupitia kupika kuku
Hakuna limitations
Hapa umetupiga kambaTena alitaka kujinyonga baada ya kumaliza kiinua mgongo akasemakabla cjafa ngoja nikasome any motivation books.
Hahah ingia kwenye website ya NASA utajua nani aligundua ndenge for the first time.Wewe km umeshindwa kugundua hata pin ya chuma sio kwamba babu zako walikua hawashoni nguo utambue hilo walichoshindwa ni transfoma tu
25 big 27Tupac alifariki akiwa na miaka 27 mkuu
Hii hoja naiunga mkono asilimia mia!umesahau aaliyyah alifariki na miaka 22 tu!, huku akiwa bado ni chachu kwenye muziki zaidi zaidi miondoko ya R&B!.
wakati akiendelea na muziki pia alikuwa ni muigizaji mwenye utamu wake, laiti angekuwepo mpaka leo hii sie mashabiki zake kindakindaki tungeendelea kunyunyuziwa burudani yenye tashtwitwi na nyamnyam isiyomithirika!.
Haitoshi bado angekuwa tishio kwa wasanii wenzake maana kama kwa ule ubichi tu asali iliyotoka kwake ilikuwa tamu,si kwa milindimo ya uchezaji wake tu bali hata sauti yake mwerere yakubembeleza nakunifanya nisinzie ingetosha kuwashurutisha watesi wake wajue yeye ndie alikuwa mwali wa R&B!.
Nakapenda sana haka ka dada...
View attachment 3143176
Sawa huku pia waligundua ila hawakuandika kwenye vitabuHahah ingia kwenye website ya NASA utajua nani aligundua ndenge for the first time.
Unawajua Wright Brothers?
Mwaka 1900-1903, unajua walifanya nini?
Majaribio yalichukua muda gani hadi kukamilisha kurusha kitu chenye mfano wa ndege ambacho kilitoa mwangaza kwa wanascience wanaojishughulisha na maswala ya utengenezaji wa ndege.
Usiongelee vitu kwa hisia mkuu tafuta facts elewa mambo, ukiwa na uthibitisho ongea hautopingwa ukiwa na fact mkuu na evidences mkuu.
Mbona hatuvioni na havina muendelezo?Sawa huku pia waligundua ila hawakuandika kwenye vitabu
Alikua Mwafrika au na sisi Wachina tumuweke Bruce Lee?Hii hoja naiunga mkono asilimia mia!
Wewe kwenu kule kijijini mnatumia Mitungi inayopoza maji yanakua km yametoka kwenye friji au hujui hilo unasikiasikia tu? Vikombe kabla ya kuanzishwa viwanda unajua vilikua vinatumika nini kuchotea maji? Au wewe mtoto wa Harufu 2 na 4?Mbona hatuvioni na havina muendelezo?
Viliishia wapi?