Yani we ni kila za ndiyo umemaliza advance level unaelekea chuo au?Wewe kwenu kule kijijini mnatumia Mitungi inayopoza maji yanakua km yametoka kwenye friji au hujui hilo unasikiasikia tu? Vikombe kabla ya kuanzishwa viwanda unajua vilikua vinatumika nini kuchotea maji? Au wewe mtoto wa Harufu 2 na 4?
Lakinipia ungekutana na mengine mengi zaidi pia kule.Anyways.....
Mungu azidi kuniweka, maana ningepitwa na mengi sana aiseeee...π€¨
Hii motivational speakers wanaitumiaga kupotosha ummaMzee wa mgahawa wa KFC alipata umaarufu baada ya kustaafu kupitia kupika kuku
Hakuna limitations
Maskini umesoma zako Points za Afrocentric views ulizopewa na African Elites.Wewe kwenu kule kijijini mnatumia Mitungi inayopoza maji yanakua km yametoka kwenye friji au hujui hilo unasikiasikia tu? Vikombe kabla ya kuanzishwa viwanda unajua vilikua vinatumika nini kuchotea maji? Au wewe mtoto wa Harufu 2 na 4?
Tatizo sikua nimejipanga kwa safari ya kule..π€£Lakinipia ungekutana na mengine mengi zaidi pia kule.
Ukitaka kujua umri na elimu ya mtu, angalia anavyojibu kwa kitu ambacho hakijui. Ni negative tu.Labda ungo.
Charles Page anakuwa mtu wa kwanza mwenye Asili ya Africa kupewa hakimiliki ya uvumbuzi wa ndege 1906.Ukitaka kujua umri na elimu ya mtu, angalia anavyojibu kwa kitu ambacho hakijui. Ni negative tu.
KWELI - Mwafrika Charles Page alikuwa mtu wa kwanza Duniani kupata Hakimiliki ya Uvumbuzi wa Ndege
Natumaini mko njema kabisa,katika pita pita zangu kwenye makitaba za kimataifa nimekutana na hii kwamba mtu alie vumbua ndege wakwanza kabisa ni mwafrika amerika 1906 alikuwa anaitwa Charles Fredrick page Anaejua undani wastory hii anifafanulie maana mi nilijua ni wale watoto wa mchungaji...www.jamiiforums.com
Umenifanya nimkumbuke bibi cheka wa tmk alipata kaumaarufu kashakua bb, na yule mzee chilo toka me mdogo ni mzee nahis alitoboa uzeeniHata doto magar kapata umaarufuna miaka 45 ikiwemo na babu wa tiktok kapata umaaruf na mika 54 sisi huku watu wanapata unaaruf wakiwa na umri mara mbili yao big up sana
π€£π€£π€£ mzee chilo.Umenifanya nimkumbuke bibi cheka wa tmk alipata kaumaarufu kashakua bb, na yule mzee chilo toka me mdogo ni mzee nahis alitoboa uzeeni
sorry nimekoroga mafile..Hapa umetupiga kamba