Jiandaeni kwa kupandishiwa nauli ,hizi ni za chini ya kapeti nauli itskuwa kati ya tsh 800 na tsh1000 wanafunzi sh400Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara
Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23] Kwahiyo Atcl inavyopata hasara haina wateja? Kwahiyo Tanesco pia haina wateja? Kijana uwe ugoogle hata mara moja moja kwa mwezi uondoe hizi aibu ndogo ndogo.
Na namna wanavyowaacha abiria vituoni na kupitisha magari matupu kutoka Kimara hadi Jangwani, ni lazima kweli hasara iwepo.Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara
Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?
Wateja ndo input namba moja kwenye biashara , kama una wateja halafu unapata hasara maana yake ni kuwa una mfumo dhaifu.[emoji23][emoji23][emoji23] Kwahiyo Atcl inavyopata hasara haina wateja? Kwahiyo Tanesco pia haina wateja? Kijana uwe ugoogle hata mara moja moja kwa mwezi uondoe hizi aibu ndogo ndogo.
[emoji23][emoji23][emoji23] Kwahiyo Atcl inavyopata hasara haina wateja? Kwahiyo Tanesco pia haina wateja? Kijana uwe ugoogle hata mara moja moja kwa mwezi uondoe hizi aibu ndogo ndogo.
MMOJA WA WANUFAIKA WA KAMPUNI YA MWENDOKASI
ATCL haina wateja wengi[emoji23][emoji23][emoji23] Kwahiyo Atcl inavyopata hasara haina wateja? Kwahiyo Tanesco pia haina wateja? Kijana uwe ugoogle hata mara moja moja kwa mwezi uondoe hizi aibu ndogo ndogo.
ATCL haina wateja wengi