MtuloBM
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 595
- 555
MMOJA WA WANUFAIKA WA KAMPUNI YA MWENDOKASI
Who?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MMOJA WA WANUFAIKA WA KAMPUNI YA MWENDOKASI
Hebu tupe mapato ya mwendokasi tokea ilipoanzishwa, pamoja na mchanganuo wa matumizi tulinganishe na thamani ya huo mradi ndio upatikiwe majibu ya hayo maswali yako!
Halafu hivi Tanesco nayo inajiendesha kwa hasara...!?
Hizo ni kauli za wezi kuhadaa imma Ili waendelee kuiba. Gari zinajaa hadi unabanwa na mlango. Kama daladala tu zinapata faida sembuse wao.
Kiazi bila shaka utakuwa ni wewe! Tena kilaza, binafsi hata kuandika hujui unajidai mjanja wa kugoogle?Ndio maana nasema kama mtu huwezi kugoogle tu kuna shida. Tanesco hawajawahi kupata faida. Ulivyo kiazi unaanza kufikilia ni kiasi gani nyumba zilivyo nyingi zinatumia umeme na kununua kila siku.
Kama hata kugoogle ni shida msiwe mnaleta ujuaji.
Hata TTCLVipi Hawa TTCL?
Kiazi bila shaka utakuwa ni wewe! Tena kilaza, binafsi hata kuandika hujui unajidai mjanja wa kugoogle?
Wewe shupalia tu kwamba hao Tanesco wanapata hasara kwa kufanya reference za huko miaka ya nyuma ukidhani huo ndio uhalisia!
Kama wewe ujanja wako upo kwenye kugoogle, hebu fanya hivyo halafu ulete takwimu kwamba kwa mwaka uliopita hadi kufikia Dec 2021 mwendokasi waliingiza Tsh ngapi na hadi kufikia hapo walikuwa wamepata hasara au faida ya kiasi gani, kisha fanya hivyo kwa Tanesco pia.
Hata TTCL
Ina hasara hadi hapo, maana maji yanayopotea ni mengi, wateja wachacheHata Dawasco utakuta ina hasara
Waswahili Sisi bado Sana kwenye management
Ikiendeshwa kwa faida nauli mtaimudu?Kauli ya kamati ya bunge imeniacha hoi na mshangao sana kwamba eti kampuni ya mwendokasi inajiendesha kwa hasara
Hili nalipinga kwa nguvu zote, kwa jinsi wanavyojaza abiria na wateja wake ni wengi hakuna muda unakuta mwendokasi haijajaa sasa hizo kauli za kwamba wanajiendesha kwa hasara zinatoka wapi?