Hivi unamfahamu mtu mjinga kuliko wote? Ona hii

Mkuu mambo ya bahat nasibu ni sawa na kudumbukiza sh kwenye maji,unaweza ukaipata au usiipate,
Sawa, ila utadumbukiza mara ngapi hizo sh zako kwenye maji? huku ukitegemea kushinda wakati uhalisia ni kua unazidi kumtajirisha muhindi.
 
Yaani hawa wamekuja kutulemaza kiakili mtu hafanyi kazi anasubiri bahati nasibu eti ndoto zake zitimie kweli ni maajabu.
 
Watu wanashindwa kuelewa tu lakini mafanikio yana siri ndogo tu ambayo hata mm siijui ndio mana bado masikini

[emoji3][emoji3][emoji3] ulitaka nikudanganye?
 
Ukianza kuBet unapata arosto km vile kubwia unga .Kuacha inahitaji ushauru nasaha.Hiyo ni roho toka kuzimu!
 
Tutabeti milele daima! Kuna watu wanasomesha watoto kwa hela ya kubeti, kuna watu wamejenga nyumba kwa hela ya kubeti mm nina Altezza nimenunua kwa kubeti kitu kama hukijui ni heri ukae kimya [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wivu umekujaa mtoto wa kiume yani unaona watu wakibeti wanafaiiiidi ukiona mtu anabeti analiwa ujue huyo kaanza juzi
 
Halafu nani kawadanganya kubeti ni Bahati nasibu? Hivi Barcelona akicheza na Las palmas unafikiri kushinda ka Barcelona ni Bahati nasibu? Man city akicheza na Stoke city hivi unadhani man city kushinda ni bahati nasibu? Bahati nasibu ni Biko na Tatu mzuka ila kubeti kuacheni kama kulivyo tena msiingilie kabisa eti tena mnakuja na vifungu vya vitabu vitakatifu, yani watu Wanafirana huko daily hamuwaoni? Ila kubeti ndo mnaona dhambi kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ