Hivi unamfahamu mtu mjinga kuliko wote? Ona hii

Hivi unamfahamu mtu mjinga kuliko wote? Ona hii

Alafu nikama wamegundua hii kitu inawangizia pesa sana maana sasa hivi vi kampuni vya kubet vimekuwa vingi sana
 
Halafu nani kawadanganya kubeti ni Bahati nasibu? Hivi Barcelona akicheza na Las palmas unafikiri kushinda ka Barcelona ni Bahati nasibu? Man city akicheza na Stoke city hivi unadhani man city kushinda ni bahati nasibu? Bahati nasibu ni Biko na Tatu mzuka ila kubeti kuacheni kama kulivyo tena msiingilie kabisa eti tena mnakuja na vifungu vya vitabu vitakatifu, yani watu Wanafirana huko daily hamuwaoni? Ila kubeti ndo mnaona dhambi kubwa
Umevuna milion ngapi hadi leo kupitia barcelona akicheza na las palmas?

[emoji3][emoji3][emoji3] Odd itakua 1.2 ukiweka milion 1 faida elf 5000


Acheni ubishi wa kijinga mkiambiwa ukweli

Hakuna mnacho kipata zaidi ya kumtajirisha Kanji.
 
Umevuna milion ngapi hadi leo kupitia barcelona akicheza na las palmas?

[emoji3][emoji3][emoji3] Odd itakua 1.2 ukiweka milion 1 faida elf 5000


Acheni ubishi wa kijinga mkiambiwa ukweli

Hakuna mnacho kipata zaidi ya kumtajirisha Kanji.
Wewe hesabu ulipta ngapi? Millioni 1 ukizidisha na 1.2 faida inakuwa 5000 [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hahahahaha Una F ya hesabu unataka kubishana na mm? Rudi QT kwanza ukarisiti Maths ndo uje ubishane na mm! Barca odd 1.2 , madrid odd 1.3, liverpool odd 1.35 ukizidisha hizo odd kwa M 1 unapata faida zaidi ya million
 
Kubet ni sawa na kupiga kura kwenye uchaguzi.

Ile kura unakua unamchangia yule unayempigia kura ili awe tajiri na wewe uendelee kunyonywa na kulimwa mikodi
Huu mfano wako upo tofauti.
 
Vijana tumechooooka[emoji22][emoji22] hooi kuliko hata wazee,akili zetu zimegota hazitaki kufikiri tena,...tunawaza utajiri wa haraka bila kuangalia kuwa tunazidi kufubaza bongo zetu na miili yetu kwa ujinga...eeh,mwenyezi Mungu utuhurumie na uturehemu...."vijana tunaangamia kwa kukosa maarifa"[emoji31][emoji31][emoji31]
 
Mimi dio mjinga kwakua sichezi kamari na sijawahi cheza kamari
 
Kwanin kila mmoja asiangalie maisha yake asee...wapo wanaopiga bia every damn day tena wakiwa na kampan anaebet naye ule ndo ulevi wake kikubwa kla mmoja anajua anachokipata. Hujui hela nakoipata utanipangiaje kuspend. Wengine kubet kwao ni simple kuliko unavozan na ukiona kila ukibet unaliwa ujue we mgeni kweny fani. Ngoja niwahi kutengeneza mkeka wa asubuh kwanza alafu ntarud
 
View attachment 682895


Hii nimeikuta mahali nami nikaamua kushare nanyi.

Mjinga ni vibarua Milioni moja wanao changa Tsh. 500 kila siku sawa na 500,000,000/= ambayo ni (Blioni 1.5) kwa mwezi na kumpa bilionea ambaye baadae huwashukuru kwa kumchagua kibarua mmoja na kumpa milioni 10 kama shukrani tena baada ya wiki.

Nadhani wale wakali wa KUBETI wanaweza kulithibitisha hili zaidi yangu.

Kundi kubwa la vijana limeendelea kuwa masikini kwa tamaa ya kupata utajiri wa haraka wakidhani watakuwa miongoni mwa watakaochaguliwa wapewe hiyo M 10.

Hebu mkumbushe Kijana wa Africa kwamba hakuna utajiri wa ghafla.
Ili aondokane na ndoto za kuwa bilionea kwa Kubeti. Mwambie aache kuibiwa kwa faida ya wachache.

Ukiachana na hilo kijana huyu anakuwa pia hajasalimika mbele ya mola wake ambae amemkataza yeye kwa kumuharamishia kijana huyo kwa kucheza kamari.

Mwenye zimungu anasema katika Quran katika suratul maida aya 90

( يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالْأَنصَابُ وَالْأَزْلَامُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ )

المائدة (90) Al-Maaida

Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shetani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.

Sasa Allah anatumbia vijana wa kiislam "Basi jiepusheni navyo ili mpate kufanikiwa, sasa wewe kijana wa kiislam acha kabisaa kucheza kamari, kwasababu aliekuumba amekukataza.

KUBET NI HARAMU, MUOGOPE MUNGU WAKO


Huwezi shinda bahati nasibu kama huchezi.....kama wewe unaona ujinga waachie wenzako watafute ridhiki zao. Kucheza bahati nasibu si haram na wala haijakatazwa, Mungu hajakataza watu kucheza huu mchezo. Ukiona kero wewe tuachie sie watafutaji ridhiki.
 
a04275ec20c70d34c70d431986cecd20.jpg


The above Quote shed a light.
Something being legally approved doesn't necessitate it to be the right thing.
You must have to scan it, think, reflect and ponder over it before being pertaken and drowned into it.

Nothing worthwhile of success has ever been easy, Tis solely by persistently working hard and smart whilst enjoying being busy.

Gambling, jackpots and betting is one amongst the titivated devils that which titilate the easy money seekers in vain.

God forbid I may never even tip my fingure on it.
 
Hakuna anaekupangia kwa sababu peza ni za kwako na uamuzi ni wa kwako. You are free to choose whatever you like.
Kama haya yote unayajua hebu rudia kupitia thread yako tena kuanzia kichwa hadi kwenye sentensi yako ya mwisho
 
cff54a20e8c89cee33c96a1c88f50982.jpg


The above Quote shed a light.
Something being legally approved doesn't necessitate it to be the right thing.
You must have to scan it, think, reflect and ponder over it before being pertaken and drowned into it.

Nothing worthwhile of success has ever been easy, Tis solely by persistently working hard and smart whilst enjoying being busy.

Gambling, jackpots and betting is one amongst the titivated devils that which titilate the easy money seekers in vain.

God forbid I may never even tip my fingure on it.
Gambling is an entertainment like as entertainment.
 
Back
Top Bottom